Taswa na aibu hii

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Kuna aibu zingine ni za kushangaza sana...........

Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo
zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa.

Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali michezo........

Siku zote walikuwa wapi?????
Ni mpaka kampeni zianze ndio waje na tuzo yao?????

Mimi ningekuwa mwanachama wa taswa ningejitoa..

Upuuuzi gani huuuu????????????
 
Huyo Mwenyekiti ni kibaraka analipa fadhila chama kimevamiwa na kutekwa na wanasiasa. Anajali michezo gani maana juzi tu mabondia wamegoma kuzijapa kutokana na ukata ?.
 
Zege limelala hilo
kuna aibu zingine ni za kushangaza sana...........

Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo
zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa.

Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali michezo........

Siku zote walikuwa wapi?????
Ni mpaka kampeni zianze ndio waje na tuzo yao?????

Mimi ningekuwa mwanachama wa taswa ningejitoa..

Upuuuzi gani huuuu????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom