Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Nimesoma makala moja iliyotolewa na kocha wa zamani S Mziray kwa kupongeza kuitwa kwenye timu kwa Mchezaji J Kaseja na Chuji. Sina hakika kama kweli kocha wa timu ya taifa anachagua wachezaji au anachaguliwa wachezaji, kama anachagua wachezaji basi atakuwa anajua anachofanya, kama anachaguliwa wachezaji basi atakuwa hajui undani wa wachezaji hao, hasa yule aliyeshangilia kuona timu ya taifa inafungwa.
Kitendo cha Mziray kusifu uamuzi huo kinaonesha ufinyu wa mawazo, yeye kama kocha alitakiwa kuwa kiongozi au kuwasaidia makocha wageni kuweka nidhamu kwenye timu.
Nitasikitika sana kuona kuwa Maximo ameondoka na nidhamu yake, sisi tunabakia na mafamba.
Kitendo cha Mziray kusifu uamuzi huo kinaonesha ufinyu wa mawazo, yeye kama kocha alitakiwa kuwa kiongozi au kuwasaidia makocha wageni kuweka nidhamu kwenye timu.
Nitasikitika sana kuona kuwa Maximo ameondoka na nidhamu yake, sisi tunabakia na mafamba.