Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kesho mtanange wa kukata gebe na majigambo ya watani wa jadi utapigwa uwanja wa Taifa kati ya Yanga na Simba. Timu zote tayari zipo mafichoni. Kama kawaida yangu karata naidondosha kwa watoto wa Papic makutano ya mtaa wa Twiga na Jangwani.
Kila la kheri Tegete, Assamoah, Chuji,Mbuna, Nsajigwa, Nsa Job, Mwasika, Babi, Nurdin, Shamte, Kiggi kesho vijana mtatupa raha.
Kila la kheri Tegete, Assamoah, Chuji,Mbuna, Nsajigwa, Nsa Job, Mwasika, Babi, Nurdin, Shamte, Kiggi kesho vijana mtatupa raha.