JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,552
kuna gazeti moja nimesoma kuhusiana na safari ya T. Stars Algeria, limeandika msafara una wachezaji 20 na viongozi 8. hivi ni akina nani( vyeo vyao) ambao ndio hao viongozi 8? nadhani kuna umuhimu pia wa kupunguza msururu wa viongozi wengine ambao wanakuwa kama ''watalii'' tu na kupunguza gharama.