Maamuzi mabovu ya mwamuzi Mathew Akrama yamepelekea timu ya Azam FC kupoteza mchezo wake wa pili dhidi ya Simba SC kwa kuruhusu kufungwa 2-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa Mkwakwani, Tanga...
Wanajamii;
Iwapo kama kuna mtu anamjua mtu yeyote aliyemaliza form four na amefaulu, na huyo mtu ni mwanamichezo wa; mpira wa miguu, mpira mikono, mpira wa kikapu au riadha basi awasiliane na...
Wandungu hivi humu hakuna wapenzi wa F1?Naona RED BULL(Mark Webber na Seb Vettel) wanadominate sana,nafikiri mwaka huu wanaweza kushinda DRIVER'S na CONSTRUCTOR'S CHAMPIONSHIP.
Ukiachilia mbali kuwa matokeo ya suluhu dhidi ya Ageria mchezo uliofanyika Ijumaa katika mjia wa BILDA, Algeria utaacha kumbukumbu nyingine ambayo pengine itachukua kipindi kirefu kufutika. Kikosi...
Jioni hii serikali imeuandikia rasmi uongozi wa YANGA Afrika uamuzi wa kuipatia timu hiyo uwanja mpya wa Taifa kama uwanja wao wa nyumbani...hatua hiyo inakuja baada ya SIMBA ambayo nayo...
Physicists have explained one of football's most spectacular goals.
Brazilian Roberto Carlos's 1997 free-kick against France curved so sharply that it left goalkeeper Fabian Barthez...
ENGLAND footie ace Wayne Rooney flew out to Switzerland today after begging wife Coleen to forgive him for romping with a £1,200-a-night hooker.
Proud ... Wayne and Coleen with son...
Inasemekena kwamba A. Kassim (mfungaji wa goli pekee la stars) alivaa jezi namba 10 ya J. Tegete ambaye kwasasa ametemwa na Kocha mpya (Paulsen).My Take: Kama mchezaji akitemwa katika timu ya...
Klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni na klabu ilopata kusajili nyota weeengi wa ukweli hapa Duniani yaani AC Milan imefanikiwa kumnyaka kiungo mwenye tashtiti na pilika zenye mafanikio...
The Liverpool defender, who completed his transfer from Fulham to Anfield on deadline day last week, enjoyed a second half run-out for the Reds in Jamie Carragher's testimonial on Saturday...
Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwenye sehemu michezo nikashangazwa sana na aibu ambayo Tanzania imetuletea kwenye mchezo wa Ngumi(boxing).
Tanzania kama nchi mwenyeji wa mashindano ya...
Katika kile kinachoonekana kuumwa na utaifa wao na shauku ya kujitegemea yenyewe nchi ya zanzibar ipo mbioni kuukwaa uwanachama wa shirikisho la vyama vya mpira wa miguu duniani (FIFA).
Hatua...
Hivi leo katika uwanja wa Taifa hapo Dar, Simba na Gor Mahia watakutana katika mechi ya kirafiki.
Yanga Na Gor Mahia watakutana huko Arusha kesho kutwa.
NYON, Switzerland UEFA has banned fans from bringing vuvuzelas into stadiums for European Championship and Champions League matches.
UEFA said Wednesday it wanted to protect the culture and...
Kwa wale wapenzi wa Soka Bongo,naomba tulijadili hili.
Binafsi sioni kama kuna ulazima wa kuwa na kocha wa kigeni ktk youth ranks e.g U17 au U 20,kwa sababu naamini tunao makocha wa hapa nyumbani...
INTER VS ATLATICO MADRID
Broadcast date: Friday 27th August, 2010 @ 21h40 on MBC 3 kwa wale wenye GTV DECODER inapatikana Eutelsat W3A @ 7° East freq 11192 V - SR 3210 1/2
Haya kwa wapenzi wa soka ndio hivyo zimebaki dakika 20 kabla dirisha halijafungwa kwa haraka haraka,
Robinho kutoka Manchester City kwenda AC Milan kwa 15M Euros
Asamoah Gyan kutoka Rennes...
kuna gazeti moja nimesoma kuhusiana na safari ya T. Stars Algeria, limeandika msafara una wachezaji 20 na viongozi 8. hivi ni akina nani( vyeo vyao) ambao ndio hao viongozi 8? nadhani kuna umuhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.