Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Premier League fixtures 2011-12: Manchester United start defence at WBA • Champions play Spurs, Arsenal and Chelsea in first five games • Kenny Dalglish...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ligi ya mkoloni wetu, english premier league imesimama. Timu zinajiimarisha kwa kusajili wachezaji wapya. Mi natabiri top 4 itakuwa chelsea, man u, man city na liverpool. We unasemaje khs top 4
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fifa risks war with Europe's clubs over international friendlies • Fifa could increase number of international dates from 12 to 17 • Europe's leading clubs angry with 'ridiculous' expansion...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Jerry Santo: In Tanzania players are kingsBy Patrick Korir Former Tusker skipper Jerry Santo is amazed at football in Tanzania. Across the border, players are held in much higher regard...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninavyoelemwa mimi chombo cha umma lazima kitumike kwa maslahi ya wote.TBC1 inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote,kwanini inashindwa kuwapa furaha wapenzi wa mpira wa miguu kote nchini kupitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya wadau wa soka..ligi kuu ulaya zimekwisha lakini fursa ya kushuhudia kandanda safi na maridadi bado ipo..hii game inachezwa leo tarehe 12/06/2011 mishale ya saa tatu na dk 45 saa za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ushindi walio upata Simba sc ni ushahidi kwamba wanaweza! jaman tuwaunge mkono bila kujali itikadi zetu za kitimu kwani inawakilisha taifa. With cofidence every thing is possible
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna siku nilicheki kipindi cha mahojiano cha George Weah na mwandishi, kuna baadhi ya clips walikuwa wanazionesha,Weah alicheza mipira ya ajabu sana, naona hata Ronadinho hajawahi kuvionesha...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Huyu mchezaji ni kati ya wachezaji wa kwanza kwanza wa afrika aliyewai kucheza mpira wa kikakpu USA. Yuko wapi siku hizi?
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Watanzania tuna kasumba mbaya sana ya kudharau vyetu na kutukuza vigeni tukiamini ni vizuri kuliko vyetu. Mbaya zaidi sasa hivi hata viongozi nao wanayo hii kasumba. Mwaka 1980 tuliposhiriki kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Pius Msekwa, amekutana na viongozi watatu wa chama hicho wanaotuhumiwa kwa ufisadi, katika utekelezaji wa uamuzi wa kujivua gamba uliofanywa na Mkutano wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Beefed-up Bolt labours to win on reappearance Before settling into his starting blocks here last night, Usain Bolt flexed his new Popeye muscles and mouthed to the television camera...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kawa mnene kwa kweli YouTube - ‪Despedida do Ronaldo - Brasil X Romênia - O Fenômeno em campo - dos 30 aos 47 do 1º tempo‬‏
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WACHEZAJI na viongozi wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars waliwasili juzi usiku wakitokea Bangui walipokuwa wakicheza mechi ya kuwania kufuzu Fainali za afrika zitakazoanyika mwakani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mtizamo ambao sio timamu sana wabongo wengi tunafikiri soka ni mchezo maarufu sana,upande wa serikali ndio kabisa hakuna mipango endelevu kabisaa chukua mfano,tunawanunua makocha kwa pesa ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Entire football team (From Senegal) being hunted by immigration officials after they disappear in France. They were due to fly home to Africa on Sunday, but haven’t been seen since leaving their...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tuesday, 07 June 2011 LILLESTROM midfielder, Nosa Igiebor, has declared that the nation's U-23 team underrated Tanzania in last Sunday’s Olympic Games qualifier in Dar-es-Salaam which culminated...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
taifa staz inateremka leo dimbani kukutana na jamhuri ya africa ya kati huku kocha mkuu wa timu ya taifa Mr poulsen akijisafisha na kutotaka kubeba lawana m, huyu kocha amejihakikishia kabisa kuwa...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
Sosthenes Nyoni KLABU ya Yanga ipo katika hatua za mwisho kumsajili mshambuaji wa timu ya Mbabane Highlenders ya Swaziland, Mohamed Suleiman kuimarisha zaidi safu yake ya ushambuliaji msimu ujao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…