Collina alikuwa ni mwamuzi wa kiitaliano anayechukuliwa na wadau wa soka duniani kama muamuzi bora aliyewahi kutokea. Nguli huyu alikuwa ni mwamuzi mwenye haiba na mwenye kuogopwa na wachezaji...
Thu Jun 30 03:40pm EDT
‘My dearest Laquette': A high school love letter written by Michael JordanBy Dan Devine
Michael Jordan's tough-guy reputation will no doubt survive this revelation...
Ukiwatizama Azam msimu huu ni mojawapo ya timu ambazo zimefanya usajili makini sana, wanaye mshambuliaji hatari Kipre Tchetche ambaye naamini hataifaidi Azam kwa umahiri wake tu bali hata kiuchumi...
Mwanamama aitwaye Donna Powell ametengeneza historia huko nchini Uingereza ya kuwa mwanamama wa kwanza kuwa kocha wa timu ya soka, na hii yote ni baada ya kushinda shindano la kumtafuta kocha...
Kenneth Mwaisabula
KABLA ya kuanza makala yangu leo, yenye kichwa cha habari kinachosema Amasha jina langu la soka utotoni. Kwanza niwapongeze wapenzi wote wa Kona ya Mwaisabula na...
Joster Mwangulumbi katika gazeti la MwanaHALISI la Juni 22-28, 2011 anauliza swali hilo.
Kajitahidi sana kutoa mifano ya huko nyuma tulipokuwa tunafanya vizuri mno lakini sasa tunazidi kudidimia...
Under 21 wachukua Euro 2011. CL iko kwao, Euro kwao. World cup kwao. Natamani Tanzania ingekuwa SPAIN.
Hii timu ya under 21ya spain kuna wachezaji sita wa barcelona. Hii inatisha hapo ndio...
Wana JF na wapenzi wote wa medani ya soka nawaletea taarifa ya kusikitisha kwamba Mchezaji wa zamani wa African Sports ya Tanga, Majimaji ya Songea, Mtibwa Sugar ya Morogoro, Mirambo ya Tabora na...
http://www.twitvid.com/RUTLW
Wanajamii, kuna taarifa zinazoendelea kuvuma kwamba timu ya Taifa ya Libya imedefect na kujiunga na wapinzani huko Bengazi. Nadhani hali sio shwari huko kwa papa Ghadafi.
Re. Makocha/walimu wa michezo wanahitajika UTANGULIZI
TAFADHALI REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU,.
TUNA PROGRAM YA MICHEZO KWA NCHI NZIMA CHINI YA KAMPUNI YA TCARC NA CSR INTERNATIONAL YA USA...
ROBERTO CARLOS has demanded action from football chiefs after being victim of another racist attack in Russia.The Brazil legend had helped his team Anzhi Makhachkala build a 3-0 lead over Krylya...
Cavaliers take Irving with No. 1 pick in NBA draft
By BRIAN MAHONEY, AP Basketball Writer
NEWARK, New Jersey (AP)-The Cleveland Cavaliers have selected Kyrie Irving with the No. 1...
Hivi Why Is It That World Class Players Wakienda Real Madrid Wanaflop Big Time?? Its Happend To Countless Players More Recently Kaká. This Is A Proven World Class Player With A Ballorn Dor And A...
mi nashindwa kuelewa maana hapa nchini imekuwa kama vile nchi ni ya wacheza mipira ya miguu tu,watu wanaocheza basketball,volleyball hata hawathaminiwi kama wacheza mipiira ya miguu,maana hata...
Rage aapa kutokanyaga KinshasaMwenyekiti wa Simba, Ismail Aden RageMICHAEL MOMBURI, KINSHASA MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, ameapa kwamba timu hiyo haitakanyaga Kinshasa milele na...
Wakala wa kiungo raia wa Kenya Victor Wanyama amethibitisha kuwa klabu ya Celtic ya Uskochi wamekubali kumsajili mchezaji huyo.
Wanyama ambaye ni mdogo wake kiungo wa Inter Milan MacDonald Mariga...
Alexis Sanchez ameipiga chini Manchester City baada ya kukataa kupanda ndege kwenda kufanya mazungumzo ya kujiunga na Matajiri wa Premier League kwa dili lenye thamani ya £30 million.
Superstar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.