Sizijui sana hizo states lakini nadhani unaongelea matokeo ya NBA finals: Natamani King? James asiitwe KING tena maana ameprove si KING. I hate him the most as I lost lots of money all because I never believed James could be that bogus.
Hii kiboko.
Mkuu this is real, ipo kwene website ya ofisi ya Gavana.If this is real, basi huyu gavana atakuwa amedata completely.
Mkuu I have the feeling huyu gavana ni white supremacist. Mtu kuhama timu sio ishu kivile na hakuna sheria aliyovunja. Huyu gavana ameonesha utoto wa hali ya juu, yeye pamoja na mmiliki wa Cavs.
Hapana sio racism, wapo wachezaji wengi sana NBA weusi kama kina Billy Russel, magic, Jordan, Karim Abdulj, Backley,Kobe, Garnet, Regie Miller n.k wanaheshima kubwa sana. Ile tuzo ya MVP wa NBA final aliyopewa Dirk N inaitwa Billy Russel.
LeBron alipokuwa Cleav walimlea sana na kumpa mapesa hata kuna wakati alishauri mchezaji gani awe traded. Well, ameichukua timu hadi fainali mara mbili kama sikosei na walikuwa wanamjazia mapesa tu. Tatizo alipoondoka alifanya kitu hata ma-hall of fame wengine hawakuwahi kufanya, yaani kuwa na saa nzima akihojiwa na kutangaza anakwenda south beach Miami. Halafu akasema amegundua he can't do it alone, yaani timu ilikuwa yeye, dharau kubwa kwa wenzake, management na washabiki. Ndio nyodo za akina ze comed. Alipofika Miami akakubali pay cut ili awe na akina Chris Bosh na Wade eti anautaka ubingwa.
Huyu dogo na wenzake walikuwa na nyodo kama vile NBA ni yao, mimi nilitaka timu yoyote ishinde si Miami. He sucks!
If this is real, basi huyu gavana atakuwa amedata completely.
Abdulhalim;2096809] Le Bron alikuwa akilipwa pesa based on his performances na hata alipoondoka Cavs we all know what happened there, Cavs came back to their hole of obscurity and a team no one cares about
Ha ha ha!!! Abd punguza jwazba mufti wangu, performance miaka 7 no ring halafu uondoke kwa matusi. Le Bum sucks! He is the best player lakini too much nyodo, asubiri another 7 yrs kama akina Kidd, Dirk, Terry. Yeye ni mmoja wa best NBA players of all time, du hana ring! shame.
Abdul jana nilikuwa happy. Tulichoka na tambo big 3 etc sasa LeBron na Heat sawa na Cavs tu! Mji umetulia.
Kobe anazo 4 hana nyodo, Duncan anazo kibao hana nyodo, akina Billups etc
Niambie katika historia ya NBA nani alishakwenda kwenye TV kutangaza trade kama LeB.
All the people that was rooting on me to fail, at the end of the day they have to wake up tomorrow and have the same life that they had before they woke up todayThey have the same personal problems they had today. I'm going to continue to live the way I want to live and continue to do the things that I want to do with me and my family and be happy with that. They can get a few days or a few months or whatever the case may be on being happy about not only myself, but the Miami Heat not accomplishing their goal. But they have to get back to the real world at some point.