Hivi kweli soka ni mchezo maarufu tanzania?

Liwolo

Member
Apr 11, 2011
13
2
Kwa mtizamo ambao sio timamu sana wabongo wengi tunafikiri soka ni mchezo maarufu sana,upande wa serikali ndio kabisa hakuna mipango endelevu kabisaa chukua mfano,tunawanunua makocha kwa pesa ya kutupwa kufundi mpira watu wenye miaka zaid ya 25 wakati kwa wale wanaojua soka la kimataifa mchezaji akitimiza umri huo maana yake ndio amezeeka.Bado hata hao makocha wakifika hakuna jipya tunaloliona zaid ya ule ule mpira wetu wa Anao,anao BUSARA ingekuwa kuwachukua wazawa kuwapeleka nje kwenye koz za ukocha na warudi kuimarisha kwanza soka la watoto mfano tunao kwenye nchi kama GHANA &NIGERIA kuliko kupoteza mapesa mengi kwa kuwalipa hao makocha wa nje.Tukirudi katika mfumo wa lig yetu ndio kichekesho hakuna soka la maana linalochezwa uwanjan zaid ya majigambo kwenye vyombo vya habari.Lig imekosa matangazo kitaifa na kimataifa ingawa sisi wenyewe tunajivunia utumbo huu.Ukija kwenye zawad! Masikini utatamani kulia kwan lig inachezwa zaid ya miezi 6 lakini bingwa anapata kombe na fedha isiyozid 50mil wakati huo huo mshindi mmoja wa BONGO STAR SEARCH(BSS) anapewa zaidi ya 30mil,hv kweli soka litakuwaje maarufu kwa mtizamo wetu dhaifu usio na hoja angavu na zenye mantiki.?,nadhani tunahitaji mabadiliko.
 
Kwa maelezo uliyotoa hapa naona heading ingesomeka vingine, lakini kwa umaarufu, soka ni mchezo maarufu sana hapa Tz, kwa vile ndio unapendwa sana, unavuta hisia za watu, unajaza watu viwanjani, timu ikifanya vizuri mapokezi yake yanafunika vibaya mno, hata mkitofautiana kwenye siasa kwenye soka mnakuwa wamoja, wasanii wa kisiasa wanagawa mipira na jezi na ufadhili wa kimagumash ili wapate umaarufu kupitia soka, hebu jiulize jinsi gulamali, dewji(azim),virani, manji(yusuph), hata Juma Nkamia umaarufu wao unatokana na soka.

Kasoro ulizotaja hazipunguzi umaarufu wa soka ndo maana watu wakichoshwa na soka ya bongo wanashushia maumivu ughaibuni!
 
Kwa mtizamo ambao sio timamu sana wabongo wengi tunafikiri soka ni mchezo maarufu sana,upande wa serikali ndio kabisa hakuna mipango endelevu kabisaa chukua mfano,tunawanunua makocha kwa pesa ya kutupwa kufundi mpira watu wenye miaka zaid ya 25 wakati kwa wale wanaojua soka la kimataifa mchezaji akitimiza umri huo maana yake ndio amezeeka.Bado hata hao makocha wakifika hakuna jipya tunaloliona zaid ya ule ule mpira wetu wa Anao,anao BUSARA ingekuwa kuwachukua wazawa kuwapeleka nje kwenye koz za ukocha na warudi kuimarisha kwanza soka la watoto mfano tunao kwenye nchi kama GHANA &NIGERIA kuliko kupoteza mapesa mengi kwa kuwalipa hao makocha wa nje.Tukirudi katika mfumo wa lig yetu ndio kichekesho hakuna soka la maana linalochezwa uwanjan zaid ya majigambo kwenye vyombo vya habari.Lig imekosa matangazo kitaifa na kimataifa ingawa sisi wenyewe tunajivunia utumbo huu.Ukija kwenye zawad! Masikini utatamani kulia kwan lig inachezwa zaid ya miezi 6 lakini bingwa anapata kombe na fedha isiyozid 50mil wakati huo huo mshindi mmoja wa BONGO STAR SEARCH(BSS) anapewa zaidi ya 30mil,hv kweli soka litakuwaje maarufu kwa mtizamo wetu dhaifu usio na hoja angavu na zenye mantiki.?,nadhani tunahitaji mabadiliko.

serikali na viongozi wake imeweka kipaombele kwenye ule mchezo wa kuongeza kujilimbikizia mali na kuongeza umasikini kwa wanyonge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom