Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Rage aapa kutokanyaga Kinshasa | ||
| ||
|
Rage aapa kutokanyaga Kinshasa | ||
| ||
|
Naunga mkono hoja...............
Rage aapa kutokanyaga Kinshasa
"Tungeshinda tusingetoka hapa uwanjani, wangetuua hawa," alisisitiza kiongozi huyo, ambaye amependekeza ianzishwe vita dhidi ya raia wote wa DR Congo wanaoishi nchini kinyume cha sheria
Watanzania tuna mambo ya ajabu sana ambayo inabdi yakemewe kwa nguvu zote. tuna mtindo wa kuwahusudu sana wageni wakati ukienda kwao wewe wanakudharau na kukuona kuwa wewe si lolote si chochote. kuanzia kwenye ajira hatupendi kuweka uzalendo mbele ,wakongo wamejazana humu nchini na sisis tunawahusudu na kuwapigia makofi kila siku na dada zetu wakiwa mstari wa mbele kutoka na hawa wapata wanja wanaojichubua...tusipopendana wenyewe na kulindana hatutafika mabali.(ukiondoa ushabiki wa mpira)Naunga mkono hoja...............
huu kweli si usanii uleule, wa siku zote na wa aina ileile wa maha-RAGE ya "gamba party"??maana maha-RAGE kwa visingizio........
NOte: vita anayomaanisha hapa ni kuwakamata wakongo wanaoishi kinyume na sheria.wazamiajitukianzisha vita na wakongo ikiisha tugeukie Wasomali pia! Hivi huyu Rage ataweza kweli Ubunge na Uenyekiti wa simba!??? Time for excuses is no more!!