Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

najiuliza sana na sasa niwaulize wadau wa soka, hivi stars imeimprove ama Chad ni vibonde? Poulsen atatatetea kibarua kesho maana nahisi kama ugenini ilikuwa kakobe!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Carlos Tevez ameshindwa kufika mazoezini katika klabu yake ya Manchester City siku ya Jumatano asubuhi. Tevez akwepa mazoezi na kwenda kwao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
na Dina Ismail HABARI ndiyo hiyo! Mabingwa wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, Yanga imemsajili kiungo wa zamani wa Simba, Athuman Idd ‘Chuji’ kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani...
1 Reactions
65 Replies
20K Views
Joe Frazier poses in February 1968 during a workout for his title bout against Buster Mathis at the new Madison Square Garden
1 Reactions
57 Replies
16K Views
Welcome to WEMBLEY, the friedly between the two has just begun. updates to come!
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Game imeanza, dakika ya 17, bado kufungana. more updates to come.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo majira ya saa 12jioni Taifa Stars inakipiga na CHAD mechi ya mchujo wa kuwania tiketi ya kombe la dunia 2014 kule kwa wazee wa Samba. Timu inataraji kuwa hici, Juma Kaseja, Shomari Kapombe...
2 Reactions
115 Replies
14K Views
Game inataka kuanza hapa Stade de France, more updates to come.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Dennis Bergkamp Magic - YouTube
0 Reactions
5 Replies
1K Views
3 Reasons Why you’re Not Losing Weight at the Gym You go to the gym, work out, but you still aren't losing any weight. What gives? It's a frustrating scenario but not an impossible one to...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wachezaji wetu bwana wana tabia ya ajabu, pindi bunge likiwa kazini wanashinda mechi huko nje. Sasa waje j3 ili wapokelewe mjengoni kama ilivo desturi ya mjengoni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani huyu rais wa tff tangu achaguliwe kuwa rais wa tff hajawahi hata siku moja kutembelea mikoa yake hata kujua matatizo yanayoikabili ili kukuza soka la tanzania mikoa ambayo hajawahi kufika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uongozi wa yanga umepiga marufuku mtindo ulliotumiwa na mmojawa mwanachama mpenda yanga david mosha..katika waraka wao walioutoa na mmoja wa waandishi wetu kuuona wamesema kitendo cha mosha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PHILADELPHIA (AP) - Joe Frazier, the former heavyweight champion who handed Muhammad Ali his first defeat yet had to live forever in his shadow, has died after a brief final fight with liver...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau wa JF kwa yoyote mwenye taarifa kuhusu huyu mbunge wa Tabora mjini na mwenyekiti wa Simba sc, kwamba aliwahi kuichezea Simba sc kwa mafanikio naomba anisaidie, kwani uchunguzi wangu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kenya's Geoffrey Mutai Wins the New York Marathon in Course Record Time Seven months after a turbo-charged tailwind helped propel him to the fastest marathon time in history, Geoffrey Mutai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TFF yamuengua Michael Wambura kungombea uongozi FAM KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemuengu Michael Wambura kugombea nafasi ya uenyekiti katika kinyang’anyiro...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hey wapenzi na wapendwa wa michezo .. ningependa kuwa nanyi na kuwaletea taarifa zote za RWC 2011.. Nyote mnakaribishwa... pictures, updates, match zote na kila kitu rugby kita kuwa hapa ...
9 Reactions
427 Replies
45K Views
Back
Top Bottom