najiuliza sana na sasa niwaulize wadau wa soka, hivi stars imeimprove ama Chad ni vibonde? Poulsen atatatetea kibarua kesho maana nahisi kama ugenini ilikuwa kakobe!
na Dina Ismail
HABARI ndiyo hiyo! Mabingwa wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, Yanga imemsajili kiungo wa zamani wa Simba, Athuman Idd Chuji kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo katika...
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani...
Leo majira ya saa 12jioni Taifa Stars inakipiga na CHAD mechi ya mchujo wa kuwania tiketi ya kombe la dunia 2014 kule kwa wazee wa Samba. Timu inataraji kuwa hici,
Juma Kaseja,
Shomari Kapombe...
3 Reasons Why youre Not Losing Weight at the Gym
You go to the gym, work out, but you still aren't losing any weight. What gives? It's a frustrating scenario but not an impossible one to...
Wachezaji wetu bwana wana tabia ya ajabu, pindi bunge likiwa kazini wanashinda mechi huko nje. Sasa waje j3 ili wapokelewe mjengoni kama ilivo desturi ya mjengoni.
jamani huyu rais wa tff tangu achaguliwe kuwa rais wa tff hajawahi hata siku moja kutembelea mikoa yake hata kujua matatizo yanayoikabili ili kukuza soka la tanzania mikoa ambayo hajawahi kufika...
Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu...
Uongozi wa yanga umepiga marufuku mtindo ulliotumiwa na mmojawa mwanachama mpenda yanga
david mosha..katika waraka wao walioutoa na mmoja wa waandishi wetu kuuona wamesema kitendo
cha mosha...
PHILADELPHIA (AP) - Joe Frazier, the former heavyweight champion who handed Muhammad Ali his first defeat yet had to live forever in his shadow, has died after a brief final fight with liver...
Wadau wa JF kwa yoyote mwenye taarifa kuhusu huyu mbunge wa Tabora mjini na mwenyekiti wa Simba sc, kwamba aliwahi kuichezea Simba sc kwa mafanikio naomba anisaidie, kwani uchunguzi wangu...
Kenya's Geoffrey Mutai Wins the New York Marathon in Course Record Time
Seven months after a turbo-charged tailwind helped propel him to the fastest marathon time in history, Geoffrey Mutai...
TFF yamuengua Michael Wambura kungombea uongozi FAM
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemuengu Michael Wambura kugombea nafasi ya uenyekiti katika kinyanganyiro...
hey wapenzi na wapendwa wa michezo ..
ningependa kuwa nanyi na kuwaletea taarifa zote za RWC 2011..
Nyote mnakaribishwa... pictures, updates, match zote na kila kitu rugby kita kuwa hapa ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.