Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Leo majira ya saa 12jioni Taifa Stars inakipiga na CHAD mechi ya mchujo wa kuwania tiketi ya kombe la dunia 2014 kule kwa wazee wa Samba. Timu inataraji kuwa hici,
Juma Kaseja,
Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Juma Nyoso, Idrisa Rajab,
Shabani Nditi, Henry Joseph, Abdi Kassim,
Nizar Khalfan, Mrisho Ngassa na Mbwana Samata.
Ushindi lazima, Mungu Ibariki Tanzania, nitawajuza yanayojiri huko....
Juma Kaseja,
Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Juma Nyoso, Idrisa Rajab,
Shabani Nditi, Henry Joseph, Abdi Kassim,
Nizar Khalfan, Mrisho Ngassa na Mbwana Samata.
Ushindi lazima, Mungu Ibariki Tanzania, nitawajuza yanayojiri huko....