Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mpaka sasa kili stars 0,na zimbabwe 2!TZ tunasogea kweli kisoka?
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu hawa jamaa tunacheza nao international friendly ya kufungua uwanja wao kule Maputo vipi matokeo? Nakumbuka jamaa walitufunga 1-0 kwa bao la Tico Tico ikiwa mechi ya mwanzo kabisa kwenye...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Loh assume ujamvua hata bibie ushamwaga mbili alafu wakati unaitafuta ya tatu mwenzio anaitafuta moja na wakati umemaliza cha tatu mwenzio anataka cha pili we uko hoi unaitaji kuendelea na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cotto vs Margarito: A loaded question By George Ogier, MirrorSport boxing blogger 2/12/2011 Decrease...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Socrates, the ex-Captain of the Brazilian soccer team, is dead. R.I.P Sócrates Brasileiro Sampaio de Souza Vieira de Oliveira, 19 February 1954 – 4 December 2011. Picture below: Socrates...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
hadi sasa hivi matokeo ni zimbabwe 2 - kili 0. mia
1 Reactions
138 Replies
11K Views
Wanamichezo humu JF! Mi kama mimi naona mchezo wa Tanzania Vs Zimbabwe kama nilivyoifuatilia Mi naona huyu (PM) wa serikali tawala anafaa kulalamikiwa mpk mwisho. KISA NI AHADI YAKE KWA WACHEZAJI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shirikisho la soka Ulimwenguni(FIFA) limetoa majina 55 ya wachezaji wafuatao kwa ajili ya mmoja wao kutangazwa mchezaji bora wa soka wa Dunia ha[po Januari 9,2012.Nani kiboko yao hapo? Kama wewe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Beckham plays football with Filipino street children - picture special Published 14:41 02/12/11 By MirrorFootball Recommend
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninavofahamu mie ajira ya utangazaji tbc ulizingatia sana ueledi, sasa nashangaa kuona katika mashindano haya ya cecafa tbc kwenye tv yao wanaandika "kilimanjaro" badala ya tanganyika au tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sasa hivi ni kipindi cha pili. mechi zote zimefungana goli moja.goli la ethiopia limefungwa kwa njia ya penati na ADEN GRIMA anaye chezea al malek. Na goli la malawi limefungwa na HENRY KABICHI...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hatimaye manchester united yatolewa kwenye kombe la carling na timu ndogo!haya yote yanatokana na kocha kupanga makinda makinda tu,natoa angalizo sir.alex ferg asipoangalia atakuja stafu kwa aibu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Floyd Mayweather Jr. challenges Manny Pacquiao to sign contract Found 5 hours ago on NESN.com: Via NESN: Floyd Mayweather Jr. has turned the tables on the Mayweather-Pacquiao storyline...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tatizo la soka Tanzania na Afrika mashariki kuporomoka linatokana na TFF na SECAFA,hii inatokana na kulenga kwenye mapato zaidi kuliko kukuza mpira.Tuliona kagame timu moja ikipelekwa fainali kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hadi sasa hivi mpira bado unaendelea. zanzibar 2 - somalia 0. over
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?.Usemi huu wa mzee ruksa unaonekana haujatupa fundisho lolote walimu na wachezaji wa timu yetu ya taifa. Jana tumecheza na msumbiji mechi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
sasa hivi ni kipindi cha pili. sudan wanashambulia sana na malawi wanazuia. Sudan wanacheza kwa malengo na mpira wa akili zaidi. hadi sasa hivi dak 21 kipindi cha pili MALAWI 0 - SUDAN 0. Mia
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KUPIGA MIPIRA MINGI KWA KUTUMIA KICHWA KUNAHARIBU UBONGO. Footballers: Too many headers 'can damage the brain'BBC News - Footballers: Too many headers 'can damage the brain'
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wales manager Gary Speed found dead | Mail Online
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani leo tumiminika kwa wingi kuishangilia kilimanjaro stars uwanja wa taifa saa 10 jioni ikipambana na Djibout.Nawaombeni wadau msiangalie matokeo ya nyuma kwani mtoto kama ni wako hata akiwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom