somalia wanaonyesha hawana mazoezi lakini wana mipango mizuri ya kuche. zanzibar hiki kipindi cha pili fowadi wa zanz wakipata mpira wanalenga goli moja kwa moja.
huyu fowadi wa zanz hamadi wamempasia mpira yeye na kipa alichofanya akaurudisha ulipotoka kama anaokoa vile. sijaelewa alikuwa na maana gani.suleiman kasi ametolewa nje
agrey morris anafungia zanzibar goli la tatu kwa mpira wa kona aliopiga kichwa ukaingia moja kwa moja goli.mohamad mohamed kafunga goli la nne limekataliwa kwa sababu alikuwa kaotea.
zanzibar 3 - somalia 0
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.