Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Wakuu hawa jamaa tunacheza nao international friendly ya kufungua uwanja wao kule Maputo vipi matokeo? Nakumbuka jamaa walitufunga 1-0 kwa bao la Tico Tico ikiwa mechi ya mwanzo kabisa kwenye uwanja mpya wa Taifa