Timu ya vijana chini ya miaka 20 leo jioni imetufurahisha watanzania kwa kuibajua Sudan magoli 3 kwa 1.Keep up vijana natunaomba dua muweze kulinda ushindi huu kwenye mechi ya ugenini
magoli ya madrid uamefungwa na sami khedira na christino Ronaldo wakati la baka akifunga sanchez, madrid wako kileleni kwa jumla ya point 88 tofauti ya point 7 na barca
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
Leo Arsenal HAFUNGWI, Madrid INASHINDA, Ronaldo atakuwa MAN OF THE MATCH, mechi ya ARSENAL na CHELSEA kuna uwezekano wa RVP kutengeneza rekodi nyingine leo! Barca na Madrid je hii ni mechi yao ya...
Ndugu, wadau, natamani sana siku moja kuwe na mechi ya mastaa wa La Liga na wenzao wa UK Premier League. Kwanza mechi iwe mwisho wa msimu, pili iongozwe na makocha waliochukua makombe pande zote...
tunafahamu kuwa timu itakayoshika nafasi ya kwanza ktk hatua ya Makundi ya UEFA champions league basi tunapoingia ktk raundi ya pili anatakiwa aanzie ugenini kisha anakuja kumalizia nyumbani...
Simba ilisogea jirani zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania 2012 kwa ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana, huku watetezi Yanga wakilitema...
Jose Mourinho: "I don't see Chelsea in the final it might be Real Madrid v Barcelona or Bayern v Barcelona but i don't see Chelsea going through to the final."
Timu ya Yanga imeendelea kuboronga kwenye ligi kuu baada ya leo kukubali kulala kwa goli moja mbele ya Kagera Sugar.Pia ndani ya uongozi wa Yanga kumeibuka sintofaham kutokana na vipigo...
kwa tetesi nilizozipata hivi punde,ile rufaa ya yanga ya kupinga kupokwa point3 imepigwa chini leo na kamati ya rufaa ya tff chini ya kamanda Tibaigana,ikiwa na maana kwamba yale maamuzi ya...
Hayo yalitokea wiki hii pale mtangazaji wa clouds,aka Simba tv alipojipendekeza kwenye kikao cha waandishi wa habari kwenye jengo la klabu ya YANGA.....very nice nawapongeza wanachama wa Yanga kwa...