Spain 2026 ni yenu; congratulations

Spain 2026 ni yenu; congratulations

Kikosi cha Messi kimetufelisha sana
 
kwel sio kila siku ni siku njema,jumapili ya jana ilikuwa sio ya bahati kwa wana ajentina
 
Kikosi cha Messi kimetufelisha sana
Sio wao tu mkuu. Kwa mataifa mengi kwa jinsi kikosi cha spain kilivyo ni ngumu sana kupambana nao na ukawashinde. Ni bora sana kwa sasa hawa jamaa. Ukicheza nao lazima tu wadominate mchezo kukuzidi.

Tuliwapima kwa ufaransa kutaka kuona watachezaje ila walimchafua vibaya. Hata hivyo Argentina wamepambana sana
 
Back
Top Bottom