Asante sana Azam tv

Asante sana Azam tv

Wataje hao walokejeli kwa ushahidi usipofanya hivo huu ni umbea tuu
 
Bei ya king'amuzi cha azam ni sawa na dstv enzi hizo
 
Wataje hao walokejeli kwa ushahidi usipofanya hivo huu ni umbea tuu
Labda kama wewe ni mgeni hapa,ila kama ni mwenyeji utakua ushasoma uzi uliletwa hapa mara tu azam walipotangaza kuonesha mechi 104,kuwa ni waongo na hawana huo uwezo
 
Labda kama wewe ni mgeni hapa,ila kama ni mwenyeji utakua ushasoma uzi uliletwa hapa mara tu azam walipotangaza kuonesha mechi 104,kuwa ni waongo na hawana huo uwezo
Mimi ni mmojawapo. Hata ule uzi ukiletwa nadhani nilikataa kabisa kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom