Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Media nyingi Kwa maono yangu ya karibu na ya mbali zinajitenga na bwanah Mwakinyo sijui ila nahisi ni Kwa ajili ya mikataba au wadhamini wake na mashabiki pia wanajigawa Siku za hivi karibuni...
0 Reactions
2 Replies
112 Views
Mshambuliaji hatari wa kimataifa wa Namibia, Peter Shalulile, alihitimisha msimu wa 2025/26 wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini akiwa na mabao matatu katika mechi 13 alizoichezea klabu ya Mamelodi...
3 Reactions
12 Replies
472 Views
Mpango wa FIFA wa kuuza sehemu ya umiliki katika kampuni mpya ya kibiashara yenye thamani ya dola bilioni 20 umezua mjadala mkubwa kuhusu uendeshaji na uwajibikaji katika soka duniani. Pendekezo...
1 Reactions
0 Replies
136 Views
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, leo Julai 27, 2026, itashuka dimbani kuivaa Afrika Kusini katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (Women's AFCON...
1 Reactions
14 Replies
398 Views
Kiukwel naona kabisa mabos pale viunga vya Chamaz wamechafukwa sana sio kwa sajili hizi tunazoziona Wana kocha MZURI mwenye uzoefu wa kutosha na soka la vilabu AFRIKA hii amefundisha timu kubwa...
0 Reactions
4 Replies
328 Views
Klabu ya Jamus baada ya kuwaduwaza Singida BS mechi iliyopita, leo anakutana na Mnyama Simba SC aliyetoka sare mechi iliyopita dhidi ya Mogadishu. Je, nani kuondoka na alama tatu?...
4 Reactions
18 Replies
561 Views
Niliwah kuleta Uzi humu na nikasema mwamnyeto, Edmund john , n.k hawafai kubaki Yanga sc, nikaishia kutukanwa na kuitwa mjinga. Leo nitawasanua Tena , max nzengeli,anacheza nafasi isiyokua yake...
6 Reactions
22 Replies
795 Views
Tanzania imepiga hatua nyingine katika juhudi za kuendeleza mchezo wa uogeleaji kufuatia kuwasili kwa kocha wa kimataifa, Ben Lee, ambaye atatoa mafunzo ya kiwango cha kimataifa kwa waogeleaji...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Miongoni mwa maamuzi ya hovyo zaidi kuwahi kuyaona basi hili la Assemahle Wellem kutoka South Africa kutoka huko kwao kuja Tanzania kupigana kwa bendera ya Tanzania chini ya Mafia boxing...
2 Reactions
3 Replies
142 Views
Hawa ndio makocha wote waliofanikiwa kushinda Kombe la Dunia (FIFA World Cup) tangu mwaka 1930 hadi 2026: 1. 1930 – Alberto Suppici (Uruguay) 2. 1934 – Vittorio Pozzo (Italia) 3. 1938 –...
5 Reactions
10 Replies
272 Views
Timu za Tanzania zinaongoza kwa kuzoazoa wachezaji mseto kutoka Drc, Senegal, Nigeria, Mali nk...tukifuatiwa na Al Hilal ondurmana ya Sudan.na kule Libya. Nilichokuja kugundua Wachezaji wengi...
5 Reactions
9 Replies
421 Views
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limeripotiwa kukataa pendekezo la Shirikisho la Soka la Misri (EFA) lililotaka kuongeza idadi ya klabu za Misri zinazoshiriki CAF Champions League na Kombe...
4 Reactions
20 Replies
891 Views
Huyu ni mtangazaji wa mpira wa miguu kutoka Azam TV.Ana staili yake tofauti anapotangaza mpira wa miguu kwa wanawake.Hakika huwa anaburudisha sana maana humtaka kila mchezaji kwa majina yake...
1 Reactions
0 Replies
94 Views
  • Featured
Kaizer Chiefs imemtangaza rasmi Adolf Mtasingwa kuwa kiungo wao mpya kutoka Azam FC. Inaelezwa Azam FC wamemuuza nyota huyo kwa $500,000 sawa na Tsh. 1,318,696,000 akiwa amesaini mkataba wa...
14 Reactions
27 Replies
1K Views
  • Poll Poll
================================= Hatimaye mwisho umefika, nani anaenda kutwaa ubingwa? Sijui niweke bet na Mods eti Wakuu? Team Messi mbondwe tu🤣🤣
7 Reactions
277 Replies
5K Views
Hakika hawa ni 𝐖𝐀𝐓𝐀 𝐏𝐋𝐄𝐘𝐀𝐀𝐀 Klabu ya Young Africans SC (Yanga SC) imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya kwa kuwasajili wachezaji wa kigeni, huku ikieleza matarajio makubwa kutoka...
4 Reactions
15 Replies
557 Views
  • Featured
Lamine Yamal ameshinda Kombe la Dunia – lakini je, nyota huyo chipukizi wa Hispania amefanya vya kutosha kumpiku Harry Kane, Kylian Mbappé, Ousmane Dembélé katika mbio za Ballon d'Or?, Baada ya...
7 Reactions
102 Replies
2K Views
Rais wa TFF, Wallace Karia, amesema ana mpango wa kuifuta Ligi ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 (U-20) kutokana na changamoto ya udanganyifu wa umri wa wachezaji. Akizungumza katika kipindi...
4 Reactions
33 Replies
595 Views
Leo Jumamosi Julai 25 ni zamu ya Tanzania ambapo vigogo wawili, Simba SC na Singida BS kutoka Kundi B watakuwa dimbani kwa nyakati tofauti. Anaanza Singida BS dhidi ya Jamusi FC kutoka Sudan...
2 Reactions
19 Replies
497 Views
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kikosi bora cha Kombe la Dunia 2026 (FIFA Dream XI), ambacho kimepatikana kupitia kura za mashabiki kutoka sehemu mbalimbali duniani. Kikosi hicho...
14 Reactions
44 Replies
1K Views
Back
Top Bottom