Kombe la dunia lazima liheshimiwe

Kombe la dunia lazima liheshimiwe

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,194
Reaction score
4,938
Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende.

To my side really I can't complain as long as am sure of smoking it's something am overwhelming grateful.

Faster kwenye mada watu wangu. Hiki kitu kinanikera sana. Sasa hivi kombe la dunia linaendelea huko Mexico, Canada na Marekani. Lakini cha kushangaza kuna ligi zingine zinaendelea duniani.

Yani hata kwetu ligi kuu bara inaendelea. Hata huko Argentina, Brazil, Australia, nchi za Asia, ulaya na Africa kuna mashindano ya pira yanaendelea wakati huu.

Hii siyo sawa kabisa wakati huu hadi kombe la dunia liishe inatakiwa kuwe na marufuku ya mashindano yoyote ya mpira.

Ni mwezi mmoja tu kwanini wasivumilie tu. Hii inashusha hadhi ya kombe la dunia.

MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA LAZIMA YAHESHIMIWE.

adriz de mbusii
 
Hakuna Ligi ya maana inaendelea wakati wa WC. Ukiona ligi inaendelea wakati wa WC ujue ni ligi isio na maana kama kombe la mbuzi tu kule Buza.
Screenshot_20260620_140933_Chrome.jpg
Screenshot_20260620_140948_Chrome.jpg
 
Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende.

To my side really I can't complain as long as am sure of smoking it's something am overwhelming grateful.

Faster kwenye mada watu wangu. Hiki kitu kinanikera sana. Sasa hivi kombe la dunia linaendelea huko Mexico, Canada na Marekani. Lakini cha kushangaza kuna ligi zingine zinaendelea duniani.

Yani hata kwetu ligi kuu bara inaendelea. Hata huko Argentina, Brazil, Australia, nchi za Asia, ulaya na Africa kuna mashindano ya pira yanaendelea wakati huu.

Hii siyo sawa kabisa wakati huu hadi kombe la dunia liishe inatakiwa kuwe na marufuku ya mashindano yoyote ya mpira.

Ni mwezi mmoja tu kwanini wasivumilie tu. Hii inashusha hadhi ya kombe la dunia.

MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA LAZIMA YAHESHIMIWE.

adriz de mbusii
Inchi ina matatizo kibao kubwa zima umetoka kuvuta bange unakuja na mada kama hizi Nyabumbu ?
 
Hakuna Ligi ya maana inaendelea wakati wa WC. Ukiona ligi inaendelea wakati wa WC ujue ni ligi isio na maana kama kombe la mbuzi tu kule Buza.
Mkuu hadi kwenye kubet huko kuna mikeka 24/7
 
Hakuna Ligi ya maana inaendelea wakati wa WC. Ukiona ligi inaendelea wakati wa WC ujue ni ligi isio na maana kama kombe la mbuzi tu kule Buza.
Imagine 🤣
 
Na Brazil na Egypt Misri Ligi zao za soka pia huwa zinaisha January, Fifa club world cup mwaka Jana inachezwa Marekani na Chelsea kuchukua Ubingwa, Brazil Ligi Yao ilisimama Kwa muda, wakati Ligi karibia zote Duniani mwezi huo 6 zilikuwa zishaisha.. ila bongo Afcon, kuwadekeza Simba na Yanga mechi za Kimataifa Caf, kombe la mapinduz na muungano lilivuruga ratiba nzima
 
Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende.

To my side really I can't complain as long as am sure of smoking it's something am overwhelming grateful.

Faster kwenye mada watu wangu. Hiki kitu kinanikera sana. Sasa hivi kombe la dunia linaendelea huko Mexico, Canada na Marekani. Lakini cha kushangaza kuna ligi zingine zinaendelea duniani.

Yani hata kwetu ligi kuu bara inaendelea. Hata huko Argentina, Brazil, Australia, nchi za Asia, ulaya na Africa kuna mashindano ya pira yanaendelea wakati huu.

Hii siyo sawa kabisa wakati huu hadi kombe la dunia liishe inatakiwa kuwe na marufuku ya mashindano yoyote ya mpira.

Ni mwezi mmoja tu kwanini wasivumilie tu. Hii inashusha hadhi ya kombe la dunia.

MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA LAZIMA YAHESHIMIWE.

adriz de mbusii
Hapa nipo Banda umiza,ukitaka kukaa kwenye kiti uwe na kinywaji,kauli mbiu ni mwenye kinywaji na aheshimiwe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom