Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma, kuhusu mchango wa Shilingi milioni 100 uliotolewa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), siku ya tarehe 12/08/2025. Mchango ule...
7 Reactions
66 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU mtakatifu sana Badala ya upendo umeleta chuki Badala ya umoja umeleta mgawanyiko Haya yote yametokea baada ya wewe kutaka usifiwe na kila...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Huyu BINTI inasemekana ni mtoto WA Aishi manual asee mboga safi kabisa respect to you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏manula sipunde UNAENDA kuitwa Babu Kwishaaaaaa
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Ni Dhahiri kwamba wamevunja sheria za Shirikisho la Soka la Africa, kwa timu hiyo kushiriki siasa za Majukwaani za Chama kilicholeta kila aina ya dhiki Nchini Tanzania CAF haijawahi kusajili...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Sasa ni rasmi Timu ya Manchester United inamaliza msimu wa 2024/25 ikiwa mikono mitupu, hiyo ni baada ya kupoteza kwa Goli 1-0 katika Fainali ya Europa League dhidi ya Tottenham Hotspur ambayo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Taifa Stars Kufunga Kundi B CHAN 2024 Leo Leo, Agosti 16, 2025, Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars inashuka dimbani kumenyana na Central Africa (Jamhuri ya Kati) katika mchezo wa mwisho wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
[emoji460]️ Rayon Sports FC[emoji739]Young Africans SC [emoji2522] Amahoro Stadium, Kigali [emoji2783] 15.08.2025 [emoji313] Rayon Sports Day Saa 1:00 usiku Our starting lineup to take on Rayon...
9 Reactions
95 Replies
7K Views
I will be short 1. Yanga amna kocha 2 . Conte wenge nyingi sana anaitaji game time 3. Ecu sio mchezaji mzuri ni mchezaji machachali 4. jezi ni mbaya may be za mazoezi 5 . Pacome ni mtu...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari ndo hiyo.. Yule msomalia kashinda tena
4 Reactions
43 Replies
2K Views
1. Hernest Malonga anajua boli kumshinda Mohamed Hussein Tsshabalala 2.Hernest Malonga anacheza beki wa kushoto, anacheza winga wa kulia anacheza winga wa kushoto 3.Hernest Malonga anajua kukaba...
9 Reactions
23 Replies
2K Views
Natoka pongezi Kwa uongozi wa Yanga Kwa kukiri kosa na kuomba radhi Wanachama kuhusu mgongano wa mawazo uliotokea kwa Yanga kuchangia milion 100 kampeni za CCM Sisi kama Wanachama wa Yanga tusio...
6 Reactions
213 Replies
5K Views
Klabu ya Yanga imechagia milioni 100 CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Hivi huyu ni msemaji wa Yanga au msemaji wa Hersi? Kwani haelewi kwamba kuna Hersi rais wa Yanga na Hersi Said mwenye maisha yake binafsi? Suala la kugombea ni suala binafsi la Hersi linaihusu...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Yaani tunashindwa kujaza hata nusu ya viti kwenye uwanja wa Mkapa, wakati wenzetu KLenya na Uganda wanjaza mpaka watu wanaoksa pa kukaaa? Ni aibu kabisa, halafu eti tunataka tuhost ufunguzi au...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
ndiyo hivyo bhana tunazo hizo kete mbili nazo ni king,#5 imejaziliwa kuwa #6 mchezeshaji anazitwaa(kuzila) hizo chap, hesabu zimeshapigwa na mpaka kufikia hesabu ya namba za hizo kete mbili...
2 Reactions
4 Replies
478 Views
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tulizilea hizi timu katika mtindo huo na sio rahisi leo kuzitenganisha na CCM, chombo pekee kinachoweza kufanya hivyo ni FIFA kuzipa onyo na kuendelea kuzifuatilia...
3 Reactions
6 Replies
426 Views
Umegombea ubunge Kigamboni Chama kikakupiga chini, ukachangia mil.100 Kwa jina la Yanga kelele zikatoka Kila mahali kukshambulia. Katikati ya kelele hizo bila kupima madhara yake ghafla unajikeza...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Jifanyeni tu mpaka sasa bado hamna Matokeo wakati mapema tu tayari Kipa Mjibinuaji Onyesha Boksa keshawekwa 1...!
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Dalili zote zilianza mapema sana kufanywa na GSM kupitia Engineer Hersi kuitumia klabu ya Yanga kama kichaka cha kufanikiwa kisiasa na kutakatishia pesa. Hitimisho likawa juzi kwenye harambee ya...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Yanga SC kupitia Msemaji wao wamekanusha vikali kuwa hawajachangia Shilingi Milioni 100 kwa CCM na kusema kuwa aliyechangia ni GSM na wala siyo Yanga SC. Lala salama Ruge Mutahaba kwani ile Kauli...
3 Reactions
3 Replies
764 Views
Back
Top Bottom