BABA BOMBASTIC
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 349
- 570
Habari ndo hiyo..
Yule msomalia kashinda tena
Yule msomalia kashinda tena
Alikuwa anashindana na nani?Habari ndo hiyo..
Yule msomalia kashinda tena
Wasomali ni waroho wa madaraka na walafi, wakipewa madaraka makubwa kuwatoa ni ngumu sana, embu angalia huyu mmoja anagombea ubunge kila jimbo lililowazi ,huku mwingine anatuhumiwa kupanga safu yake ya viongozi , mwingine kabadilisha hadi katiba ya tff ili agombee muhula wa tatu na kazuia wenzake wote wasigombee upuuzi mtupuHabari ndo hiyo..
Yule msomalia kashinda tena
Na jiweSorry! Alikuwa anagombea na nani mkuu?
Putin vipi?Alikuwa anashindana na nani?
Ngozi nyeusi kwenye madaraka kama nzi na kidonda.
Tena sana kupambana na fitna za kariakoo angalau kaleta heshima ya mpira na bado anapambanaKaria anastahili kuendesha mpira wetu kwa mda mrefu sana...
Competing against your self ni sawa na CCM................. lazima washindeAlikuwa anashindana na nani?
Ngozi nyeusi kwenye madaraka kama nzi na kidonda.
Ukifuatilia watu wasiomtaka Karia ni ambao hawajawahi kuufanyia chochote mpira wetu licha ya kuwa na nafasi sehemu tofauti tofauti...Tena sana kupambana na fitna za kariakoo angalau kaleta heshima ya mpira na bado anapambana
Nakala kwa utopoloHabari ndo hiyo..
Yule msomalia kashinda tena
Wapigaji hao wao wanawaza hela za fifaUkifuatilia watu wasiomtaka Karia ni ambao hawajawahi kuufanyia chochote mpira wetu licha ya kuwa na nafasi sehemu tofauti tofauti...