Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amewataka Watanzania kufurika na kuujaza Uwanja wa Mkapa kwenye michuano ya CHAN Msigwa ameshangaa uzito wa Watanzania kwenda uwanjani kuishangilia taifa...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Rasmi Naomba muelewe mambo ya kutuana vidole vya macho ooh karia kaipendelea timu fulan naomba niwajulishe tumefanya mabadiliko na sasa rasmi Bodi ya ligi itajitegemea na sisi tutasimamia...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Siku kadhaa zilizopita kulitokea sintofahamu baada ya chama la Yanga kuchangia kwenye harambee ya CCM Tsh milion 100 ni mengi sana yaliibuka na yanaendelea kuibuka. Kuna wale wanaoichukia Yanga...
3 Reactions
4 Replies
747 Views
"Kila ninapoingia hapa, siwezi kujizuia kumkumbuka namna alivyotembea, alivyotawala mpira. Lilikuwa jambo la kipekee kabisa; tofauti na lolote nililowahi kuona." Hayo ni maneno ya mmoja wa...
2 Reactions
1 Replies
483 Views
We welcome you back
3 Reactions
3 Replies
391 Views
Sisi ndio Host kwenye haya mashindano...na mwenyeji ana haki zake... Haki zake ni pamoja na kuhusishwa kupanga muda sahihi wa mechi kuchezwa katika nchi yake. Kucheza saa mbili usiku sio desturi...
2 Reactions
2 Replies
410 Views
Huu usajili wa azam msimu ujao unatisha.Wadau mnasemaje?
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Rais wa Yanga Eng Hersi Said ni genius katika uongozi wa football Ni kiongozi Bora Taifa limepata Ameitengeneza Yanga imara sana Leo tazama wachezaji maingizo mapya 1. Mohamed Doumbia Huyu jamaa...
13 Reactions
45 Replies
3K Views
BINGWA: liverpool MFUNGAJI BORA: halaand GK BORA: donnaruma YOUNG PLAYER OF THE YEAR: sesko MCHEZAJI BORA WA MWAKA: palmer TOP SIX: liverpool Man city Arsenal Man Utd Chelsea Tottenham
3 Reactions
15 Replies
834 Views
Chini ya 10 ungewapa alama ngapi akina mwaisa kwenye jezi zao?
22 Reactions
95 Replies
4K Views
Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema Simba Day waalikwe Yanga lakini wasiweke Kombe maana watawaaribia shughuli Yao. Ili Simba wajipime fuleshi na kikosi chao kabla ya ngao ya jamii ni shart...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
KILIMANJARO YA SWEDEN YATWAA UBINGWA WA BONANZA LA SERENGETI NCHINI UBELGIJI Na Mwandishi Wetu, Antwerp, Ubelgiji. Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa...
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Kocha Rogath John Stephen Akhwari Ashinda urais wa shirikisho la riadha Tanzania -RT kwa kura 27 na kumbwaga mpinzani wake Nsolo Malongo Mlozi aliyepata kura 20. Mpinzani wake baada ya kushindwa...
1 Reactions
2 Replies
317 Views
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira. Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
TANGA; RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteua tena Athumani Nyamlani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa shirikisho hilo. - Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, Rais...
1 Reactions
4 Replies
776 Views
Na nina uhakika CV yako kubwa na nzuri uliyoijenga huko Kwingineko inaenda Kuharibika rasmi hapa Tanzania. Mimi GENTAMYCINE ninayeandika hivi naijua Michezo michafu yote ya Simba na Yanga na ya...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Nafasi ya Urais TFF imebakia 1 nayo ni ya Wallace Karia, wagombea wengine 6 wamekosa sifa kwenye mchujo na usaili wa awali Tatizo kubwa lililowanyima sifa za kugombea Urais ni kukosa endorsement...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
TANGA; YANGA ya Dar es Salaam ni miongoni mwa klabu tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokosa sifa ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaofanyika...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau wanaoshangaa Uhaba mashabiki Uwanjani hata kama inacheza timu yao ya Taifa, wanapaswa kuelewa kwamba Soka siyo kichaka cha Siasa za CCM Timu ya Taifa ni mali ya Wananchi wote wakiwemo na...
48 Reactions
66 Replies
4K Views
Back
Top Bottom