CCM haijatangaza kiasi gani walitumia wakati wa Uchaguzi wa Mwaka 2010
Bado wanaendelea na Mikutano kugawa Zawadi?
*In most communities it is illegal to cry "fire" in a crowded assembly...
obama na mkewe wakiwa buckingham palace kuonana na wanaufalme wa uingereza.Ukisikia wenye kutawala dunia ndio hawa US na UK na wanapendeleana wao kwa wao kwa kila kitu, kibiashara,kiulinzi n.k.
"Askofu" "Jamal Hussein"........ Mbona Jina, tittle, na vitendo havifanani? Anamdanganya nani huyu?
...............................Ashindwe kwa Jina la Yesu...:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty:
Dada yetu yuko proud kuwa Mtanzania na kutuwakilisha katika anga zingine. Nimeangalia hii picha nikaona kama kuna kasoro. Je wewe unaona kuna kasoro gani katika hii picha?
Waungwana kutokana na ujio wa hii Teknolojia ya picha nadhani kuna baadhi ya mambo ambayo hayakustahili kuonekana na jamii flani lakini inatokea yanawekwa wazi baada ya picha kupigwa kwenye tukio...
Daima tutawakumbuka. Pia kumbukumbu hii imkumbushe rais Kikwete kutimiza ahadi yake ya meli kubwa zaidi katika ziwa Victoria kama alivyoahidi katika kampeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.