lakini mbona awapati taji la Miss Afrika? hayo ni maumbile mazuri kwa watanzania tuu ingekuwa watanzania ndio majaji wa mashindano wageshika nafasi ya kwanza....
<br />
<br />
CRAP CRAP. WENYE MVUTO NI HAO WANAUME WAWILI WENYE NYWELE ASILI ZA MWAFRIKA. Kuna thread mahali fulani humu JF inayopinga sana uvaaji wa "artificial hair"kwa wanawake wa Kiafrika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.