"Askofu" "Jamal Hussein"........ Mbona Jina, tittle, na vitendo havifanani? Anamdanganya nani huyu?
...............................Ashindwe kwa Jina la Yesu...:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty:
Wengi wamegundua kuhubiri ni sawa na kufanya kazi ktk ngo fulani yaani ni ajira kama ajira nyingine. Watz tuwe macho na madhehebu yanayoibuka kila kukicha!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.