Ijumaa hiyooo!!

Mwalimu

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
1,581
1,069
Hapa hata ije EL NINO tunakamua tu...
 

Attachments

  • image001.jpg
    image001.jpg
    55.5 KB · Views: 1,183
Hii kali !
Kweli wa TZ mmekubaliana na hari bora kwa kila mtanzania.
Mh maji hayo sio yale ya kwetu uswazini?
Hapa kipindupindu tutapona?
 
Hii kali !
Kweli wa TZ mmekubaliana na hari bora kwa kila mtanzania.
Mh maji hayo sio yale ya kwetu uswazini?
Hapa kipindupindu tutapona?

Mambo haya lazima iwe uswazi...
 
attachment.php


Ulabu ukishakolea kila kitu machoni huonekana murua tu...na hapo hao wanaweza kukesha na kuamkia hapo hapo maana maji huko miguuni yana-neutr
alize hiyo kachusa/machozi ya simba/supu ya mawe...etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom