Kaumbika kwa kweli.....
"Yes" anakitumbua cha kufa mtu si mchezo nimeona.
......jamani kitumbua ndio nini au kiko wapi? Me sikioni.....
nahisi anataka akipigiwa iwe inavibrat then......... samahani nimeshikwa na kwikwi... koh! koh! ehe na kikohozi nacho
mbona anaonekana mchovu sana kama vile anaumwa au kalazimishwa kupiga picha
Ukubwa dawa mkuu, akili kumkichwa hrbu kitafute hicho kitumbua hata mimi nimekiona,......jamani kitumbua ndio nini au kiko wapi? Me sikioni.....