TANMO
Platinum Member
- Apr 12, 2008
- 12,145
- 12,886
Waungwana kutokana na ujio wa hii Teknolojia ya picha nadhani kuna baadhi ya mambo ambayo hayakustahili kuonekana na jamii flani lakini inatokea yanawekwa wazi baada ya picha kupigwa kwenye tukio husika..
Kwa mfano, kwa mujibu wa utamaduni wa dini ya Kiislamu ni kuwa wanawake hawaruhusiwi kushiriki maziko makaburini. Nilivyoziona hizi picha ndiyo nikapata swali kuwa haiwezekani ikawa tunavunja miiko ya dini kwa kuchukua picha za tukio ambalo kuna watu hawakutakiwa kufahamu jinsi jambo linavyofanyika? (Naomba kueleweshwa juu ya hili)
Nyingine ni kitendo cha picha za maiti kwenye jeneza zikitundikwa kwenye Blogs, hivi ni sawa kweli au niko nyuma kimaendeleo?
Rejea hizi picha:



Kwa mfano, kwa mujibu wa utamaduni wa dini ya Kiislamu ni kuwa wanawake hawaruhusiwi kushiriki maziko makaburini. Nilivyoziona hizi picha ndiyo nikapata swali kuwa haiwezekani ikawa tunavunja miiko ya dini kwa kuchukua picha za tukio ambalo kuna watu hawakutakiwa kufahamu jinsi jambo linavyofanyika? (Naomba kueleweshwa juu ya hili)
Nyingine ni kitendo cha picha za maiti kwenye jeneza zikitundikwa kwenye Blogs, hivi ni sawa kweli au niko nyuma kimaendeleo?
Rejea hizi picha:


