Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
BBC wa ajabu Sana hawa. Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12. 1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7...
17 Reactions
160 Replies
25K Views
Niseme tu ukweli kwamba kiasi fulani nakereka na hii imani ya kuchorana chorana na majivu kwa hii siku inaitwa Jumatano ya majivu. Hebu nieleweshwe labda nikielewa ntaiona sawa.. =======...
24 Reactions
181 Replies
42K Views
An alleged secret network of especially nonelected government officials and sometimes private entities (as in the financial services and defense industries) operating extralegally to influence and...
6 Reactions
73 Replies
14K Views
Habari za asbuhi wana jukwaa, niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema je Giants/Majitu makubwa yanayoelezwa kufika hadi futi 45 waliwahi kuishi hapa duniani?? na kama...
28 Reactions
276 Replies
52K Views
Habari, Katika hali ya kawaida leo nimeona tuandike hili kidogo kwamba kwa maandiko Shetani aliasi Mbinguni Mwenyezi Mungu akamleta Duniani kama adhabu, Leo hii tunaaswa tuishi katika kumpendeza...
18 Reactions
266 Replies
33K Views
15 December 2021 Dr Mpoki Ulisubisya (A former Cardiac Anaesthesiologist) - What caused COVID 19's vaccine to be developed so fast?" Tanzanian's High Commissioner to Canada - Answering...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nianze tu kwa kusema sijui ni kwanini na ni nini katika maisha yangu toka nikiwa mdogo. Nimekuwa na tabia ya kuota nafanya kitu flan na itapita miaka kama mitano hivi au zaidi nakutana na kile...
6 Reactions
44 Replies
7K Views
Salaam nyingi sana kwenu wadau wa Jukwaa hili linalotumia ubongo mwingi sana huku nguvu za Mwili zikiwa kisoda. Katika mambo ambayo nimewahi kuyafikiria na sikuwahi kupata majibu au kukaribiana...
8 Reactions
35 Replies
6K Views
‘Hupo msimu wa mvua na mafuriko katika maisha ambapo sisimizi hugeuka chakula cha samaki, pia hupo msimu wa kiangazi na ukame samaki nao hugeuka chakula cha sisimizi” (Mabaya ya mwisho hufanya...
27 Reactions
52 Replies
10K Views
Ye yote anayetafakari kwa kina, aliye na elimu ya vitu na uelewa wa mambo hawezi kuzingatia akilini mwake kwamba mtu wa kwanza alikuwa na rangi gani; au alianza kuishi eneo au bara gani. Rangi ya...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amewataka Watanzania kupuuzia taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa jeshi hilo kupitia Mkuu wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Nimeona nije hapa na hii kitu ambayo bila shaka kila mmoja wetu amewahi kukisikia au hata kushiriki ktk matumizi ya vitu hivyo kwenye sayansi ya uchawi. Mara nyingi ukienda kwa mganga...
6 Reactions
64 Replies
29K Views
Kwa mamlaka husiku. kuna gorofa inajengwa sinza mpakani karibu kabisa na ukumbi wa princess hall sinza mapambano katika uchunguzi wangu niliofanya. Wazo la awali lilikua ni kujenga guest house...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Happy New year 2022. In Fact, we start anything from a particular point. Sometimes a starting point could hardly be articulated due to a failure to track it earlier in its Development Circle...
2 Reactions
1 Replies
679 Views
Ufunuo 13:2 BHN Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake kama ya dubu na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu...
9 Reactions
184 Replies
20K Views
Akili ya Mungu ni kubwa sana haichunguziki lakini ametupa sisi wanadamu akili ya udadisi Udadisi wetu mpaka sasa umetuletea majibu mengi sana ambayo mengine yanatutoa knock out kabisa kwenye...
15 Reactions
111 Replies
13K Views
Ni kama kila kitu bado ni fumbo. Si mwanzo wala si hatima ya mtu, maisha ya mtu bado ni fumbo. Kuna hatua muhimu za kujivunia katika kuelewa mwanzo na hatima ya mtu. Lakini, hatahivyo juhudi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ilikuwa ni tarehe 13-10-1917 muda wa saa saba na nusu hivi za mchana, wakazi wa mji wa Fatima huko Portugal walikuwa wamekusanyika katika eneo linaloitwa Cova Da Iria, nje kidogo ya mji wa Fatima...
26 Reactions
832 Replies
114K Views
IJUE MITEGO 3 YA KICHAWI Wachawi hutumia mbinu mbalimbali katika kufanikisha mipango yao ya kichawi kwa watu walio kusudia kuwadhuru kwa uchawi. Leo nitaizungumzia mitego mikuu mitatu ambayo...
27 Reactions
152 Replies
75K Views
SALUTE Kwa mara ya kwanza nili introduce kitu hiki kwenye uzi wangu unaitwa "The Joker Film:Jinsi maneno yanayo udhi yanavyoweza kumfanya mtu awe mbaya". Kwenye uzi huu sikwenda ndani zaidi...
25 Reactions
70 Replies
20K Views
Back
Top Bottom