Ndoa ndiyo taasisi hatari kuundwa duniani kwa lengo kutesa maisha ya binadamu

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Ni hivi, hakuna msomaji yoyote yule wa uzi huu ndani ya JF aliyepata furaha ya maisha kutokana ya yeye kuoa au kuolewa na hii inatokana na ukweli kwamba lengo lililojificha la ndoa ni kufarakanisha watu na sio kuunganisha watu kama watu wengi walivyoaminishwa.

Baada ya kifo kitu kingine kinachotenganisha familia nyingi na kuleta migogoro mingi ndani ya jamii nyingi ni hii taasisi ya ndoa.

Waanzishi wa taasisi hii ya ndoa(vitabu vinavyodaiwa kuwa ni vya Mungu) walificha ukweli kwamba nwanamke na mwanaume kwa asili ni maadui hivyo hawawezi kukaa pamoja kwa muda mrefu bila ya kuleta maafa makubwa.

Hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume kwani kwa asili watu hawa ni maadui sasa kuwaweka pamoja na kuwafanya waishi pamoja kwa dhana ya ndoa ni kuwasababishia maafa makubwa.

Narudia tena, lengo la taasisi ya ndoa sio kuleta upendo kwa waliooana bali ni kuleta maafa kwa waliooana na huu ni ukweli uliofichwa siku nyingi. Ndio maana:
i/ Watu wengi wameuawa sababu ya ndoa.
ii/ Familia nyingi zinateseka sababu ya ndoa.
iii/ Familia nyingi zimefarakana sababu ya ndoa.
iv/ Watu wengi wana uadui wa kudumu sababu ya ndoa.
v/ Watu wengi ni walemavu wa kudumu kwa sababu ya ndoa.
vi/ Watu wengi wamerogana sababu ya ndoa.
vii/ Watu wengi wamebeba visasi vya kudumu sababu ya ndoa.
viii/ Watu wengi wamejiua sababu ya ndoa.
ix/ Watu wengi wapo magerezani sababu ya ndoa.
x/ Watu wengi wamekosa furaha ya kuishi duniani sababu ya ndoa.
xi/ And the like.

Hakuna mwanamke anayeweza kumilikiwa na mwanaume mmoja kwa dhana ya ndoa. Na vivyo hivyo hakuna mwanaume anayeweza kumilikiwa na mwanamke mmoja kwa dhana ya ndoa kwani ukweli ni kwamba hapa duniani hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume.

Ukitaka kujua taasisi ya ndoa ni hatari sana hapa duniani wewe angalia tu mwenendo wa ndoa yako.
 
Dhana ya ndoa ni ngumu , waliowaza ndoa za mikataba walifikria beyond the reality,...!! Ukweli ni kuwa ndoa imejengwa kwenye mazingira ya U-Mungu , Hawa alipozingua na Adamu nae akaunga tera , ule U-Mungu ukaondka , na ndoa haiwez kukaa mkaelewana pasipo huyo Mungu kuwaunganishaa , tatizo linakuja kumtumainia Mungu katika mazingira tuliyo nayo ni tough task kuliko maelezo ...!! Na hvyo ndoa ndo sehemu Bora kabisa ya kujipatia stress za kutosha .
 
Uzuri Ni jambo la hiari.
Uzi umejibiwa vizuri na ni vyema uishie hapa.

Inamaana hata ndege wanamzidi maarifa na akili kwa kuwa wawili wawili mleta mada?

Hujui Binadamu ni kiumbe dhaifu ambaye ukamilifu wake unahitaji jinsi pinzani(Ke/Me) ili ukamilike kimaisha ktk hii dunia kwa kusaidiana?

Au kila jinsi inahitaji uwepo wa jinsi nyingine kimahusiano ili iweze kuwa na amani kimaisha?

Huitaji ndoa achana nayo isikupotezee muda, sababu Mungu hajalazimisha Binadamu awe na mwenzi wa ndoa bali ni hiyari, isipokuwa unatakiwa uishi kiuaminifu bila ya kujihusisha na uzinzi wala uasherati ili yasije kukukuta madhara ya kutokuwa na ndoa kama umaskini, magonjwa, ubakaji, ulawiti, malezi mabovu ya watoto ukampatia Mungu lawama zisizo na mashiko.
 
Uzi umejibiwa vizuri na ni vyema uishie hapa.

Inamaana hata ndege wanamzidi maarifa na akili kwa kuwa wawili wawili mleta mada?

Hujui Binadamu ni kiumbe dhaifu ambaye ukamilifu wake unahitaji jinsi pinzani(Ke/Me) ili ukamilike kimaisha ktk hii dunia kwa kusaidiana?

Au kila jinsi inahitaji uwepo wa jinsi nyingine kimahusiano ili iweze kuwa na amani kimaisha?

Huitaji ndoa achana nayo isikupotezee muda, sababu Mungu hajalazimisha Binadamu awe na mwenzi wa ndoa bali ni hiyari, isipokuwa unatakiwa uishi kiuaminifu bila ya kujihusisha na uzinzi wala uasherati ili yasije kukukuta madhara ya kutokuwa na ndoa kama umaskini, magonjwa, ubakaji, ulawiti, malezi mabovu ya watoto ukampatia Mungu lawama zisizo na mashiko.
Lawama zisizo na mashiko
 
Ni hivi, hakuna msomaji yoyote yule wa uzi huu ndani ya JF aliyepata furaha ya maisha kutokana ya yeye kuoa au kuolewa na hii inatokana na ukweli kwamba lengo lililojificha la ndoa ni kufarakanisha watu na sio kuunganisha watu kama watu wengi walivyoaminishwa.

Baada ya kifo kitu kingine kinachotenganisha familia nyingi na kuleta migogoro mingi ndani ya jamii nyingi ni hii taasisi ya ndoa.

Waanzishi wa taasisi hii ya ndoa(vitabu vinavyodaiwa kuwa ni vya Mungu) walificha ukweli kwamba nwanamke na mwanaume kwa asili ni maadui hivyo hawawezi kukaa pamoja kwa muda mrefu bila ya kuleta maafa makubwa.

Hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume kwani kwa asili watu hawa ni maadui sasa kuwaweka pamoja na kuwafanya waishi pamoja kwa dhana ya ndoa ni kuwasababishia maafa makubwa.

Narudia tena, lengo la taasisi ya ndoa sio kuleta upendo kwa waliooana bali ni kuleta maafa kwa waliooana na huu ni ukweli uliofichwa siku nyingi. Ndio maana:
i/ Watu wengi wameuawa sababu ya ndoa.
ii/ Familia nyingi zinateseka sababu ya ndoa.
iii/ Familia nyingi zimefarakana sababu ya ndoa.
iv/ Watu wengi wana uadui wa kudumu sababu ya ndoa.
v/ Watu wengi ni walemavu wa kudumu kwa sababu ya ndoa.
vi/ Watu wengi wamerogana sababu ya ndoa.
vii/ Watu wengi wamebeba visasi vya kudumu sababu ya ndoa.
viii/ Watu wengi wamejiua sababu ya ndoa.
ix/ Watu wengi wapo magerezani sababu ya ndoa.
x/ Watu wengi wamekosa furaha ya kuishi duniani sababu ya ndoa.
xi/ And the like.

Hakuna mwanamke anayeweza kumilikiwa na mwanaume mmoja kwa dhana ya ndoa. Na vivyo hivyo hakuna mwanaume anayeweza kumilikiwa na mwanamke mmoja kwa dhana ya ndoa kwani ukweli ni kwamba hapa duniani hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume.

Ukitaka kujua taasisi ya ndoa ni hatari sana hapa duniani wewe angalia tu mwenendo wa ndoa yako.
Mh MAGALLAH R nianze kwa kukupongeza kwa muono wako juu ya ndoa. Nami nikuulize;
Pikipiki tunazotumia kusafiria kutufikisha sehemu kwa haraka na uzima mpaka mashambani na vichochoroni zimesababisha vifo vingi Sana. Kila siku Kuna ajali nyingi za pikipiki sehemu mbalimbali zinasababisha vifo na pikipiki hizi zimesababisha vilema. Wengine wameungua sehemu za miili yao. Ukienda hospital za wilaya ukaona waliotundikwa miguu juu kwa sababu ya ajali ni wengi.
Lakini:
Je pikipiki ni mbaya?
Je hakuna waliondesha na kusafiri kwa pikipiki miaka nenda Rudi na hawajapata ajali?
Je kwa kusababisha ajali kadhaa tutoe hitimisho kwamba pikipiki hazifai kupandwa na binadamu?
 
Mh MAGALLAH R nianze kwa kukupongeza kwa muono wako juu ya ndoa. Nami nikuulize;
Pikipiki tunazotumia kusafiria kutufikisha sehemu kwa haraka na uzima mpaka mashambani na vichochoroni zimesababisha vifo vingi Sana. Kila siku Kuna ajali nyingi za pikipiki sehemu mbalimbali zinasababisha vifo na pikipiki hizi zimesababisha vilema. Wengine wameungua sehemu za miili yao. Ukienda hospital za wilaya ukaona waliotundikwa miguu juu kwa sababu ya ajali ni wengi.
Lakini:
Je pikipiki ni mbaya?
Je hakuna waliondesha na kusafiri kwa pikipiki miaka nenda Rudi na hawajapata ajali?
Je kwa kusababisha ajali kadhaa tutoe hitimisho kwamba pikipiki hazifai kupandwa na binadamu?
Mkuu katika ndoa hakuna mtu anayeweza kufika salama hata siku moja huwa ni suala la muda tu mkuu.

Ndoa ni taasisi hatari sana haijawahi kutokea duniani hivyo huwezi kufananisha na chochote kile.
 
Mkuu katika ndoa hakuna mtu anayeweza kufika salama hata siku moja huwa ni suala la muda tu mkuu.

Ndoa ni taasisi hatari sana haijawahi kutokea duniani hivyo huwezi kufananisha na chochote kile.
Mimi hapa Ninayo mifano mingi ya watu walioishi vizuri kwenye ndoa zao mpaka wakafika mwisho, mmoja akatangulia kufa. Na walio hai bado wako na furaha wakiwa na miaka 30+ kwenye ndoa zao
 
Ni hivi, hakuna msomaji yoyote yule wa uzi huu ndani ya JF aliyepata furaha ya maisha kutokana ya yeye kuoa au kuolewa na hii inatokana na ukweli kwamba lengo lililojificha la ndoa ni kufarakanisha watu na sio kuunganisha watu kama watu wengi walivyoaminishwa.

Baada ya kifo kitu kingine kinachotenganisha familia nyingi na kuleta migogoro mingi ndani ya jamii nyingi ni hii taasisi ya ndoa.

Waanzishi wa taasisi hii ya ndoa(vitabu vinavyodaiwa kuwa ni vya Mungu) walificha ukweli kwamba nwanamke na mwanaume kwa asili ni maadui hivyo hawawezi kukaa pamoja kwa muda mrefu bila ya kuleta maafa makubwa.

Hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume kwani kwa asili watu hawa ni maadui sasa kuwaweka pamoja na kuwafanya waishi pamoja kwa dhana ya ndoa ni kuwasababishia maafa makubwa.

Narudia tena, lengo la taasisi ya ndoa sio kuleta upendo kwa waliooana bali ni kuleta maafa kwa waliooana na huu ni ukweli uliofichwa siku nyingi. Ndio maana:
i/ Watu wengi wameuawa sababu ya ndoa.
ii/ Familia nyingi zinateseka sababu ya ndoa.
iii/ Familia nyingi zimefarakana sababu ya ndoa.
iv/ Watu wengi wana uadui wa kudumu sababu ya ndoa.
v/ Watu wengi ni walemavu wa kudumu kwa sababu ya ndoa.
vi/ Watu wengi wamerogana sababu ya ndoa.
vii/ Watu wengi wamebeba visasi vya kudumu sababu ya ndoa.
viii/ Watu wengi wamejiua sababu ya ndoa.
ix/ Watu wengi wapo magerezani sababu ya ndoa.
x/ Watu wengi wamekosa furaha ya kuishi duniani sababu ya ndoa.
xi/ And the like.

Hakuna mwanamke anayeweza kumilikiwa na mwanaume mmoja kwa dhana ya ndoa. Na vivyo hivyo hakuna mwanaume anayeweza kumilikiwa na mwanamke mmoja kwa dhana ya ndoa kwani ukweli ni kwamba hapa duniani hakuna urafiki wa kudumu kati ya mwanamke na mwanaume.

Ukitaka kujua taasisi ya ndoa ni hatari sana hapa duniani wewe angalia tu mwenendo wa ndoa yako.
Bw.MAGALLAHR !
Hivi wewe umezaliwa nje ya ndoa nini?
Hivi kweli unamjua Baba yako wewe au ndo wametimuana na Bi Mkubwa kabla hujakuwa?
Pole sana.
Research yako haina Datas zozote, ni dhana na mihemko tuu.
Mimi Kijijini kwangu nimeshuhudia Familia karibuni zote zikiwa na Baba na Mama na hatimae kuzikana ndani ya ndoa kwa furaha.
Ni familia 1 katika 200 ndio hutokea majanga unayo yasema, na ukufuatilia sababu utagundua Ushetaniumetamalaki kwa mmoja wao.
Babu yangu alikuwa na wake 3, sijawahi sikia Mizozo mpaka kufa kwao.
Baba yangu alioa wake 4 na alizaa na watatu na mmoja alisepa kwa kuwa na wivu kupita kiasi. Na hali ilikuwa shwari hadi leo watoto tunashirikiana vema kabisa.
Mama yangu ndie mkubwa kuliko wote , na yeye aliwavumilia nakuwapokea wenzawake.
kweli kuna hali ya kuoneana wivu hapa na pale , lakini ndiyo ladha yenyewe ya ndoa ya MITALA.
Mimi na Mama watoto wangu tunaingia mwaka wa 18 sasa, na siwezi kumkosa hata dakika moja.
Yeye pia yuko poa kwangu.
Ndoa inatufunza kujua Malengo ya Maisha. Kuzaa watoto na kutunza familia kwa upendo,
Ndoa ni zaidi ya SEX na mapenzi,
Bali ndoa ni Kitengo cha kutengeneza Binadamu wa kesho wenye Maadili na Utu.
Kama wazazi wako walikutelekeza Pole sana.
 
Ni hivi, hakuna msomaji yoyote yule wa uzi huu ndani ya JF aliyepata furaha ya maisha kutokana ya yeye kuoa au kuolewa na hii inatokana na ukweli kwamba lengo lililojificha la ndoa ni kufarakanisha watu na sio kuunganisha watu kama watu wengi walivyoaminishwa.
Hili halina ukweli wowote....ndoa ni taasisi nzuri kabisa.
 
Ndoa ni taasisi Safi kabisa stress na misuguano hutokea pale tu tamaa zikianza kwa mmojawapo but kama wote wakisatisfy kwa vyote wanavyopata mali, Penzi, watoto Habari imeisha, ridhika, ukipata watoto wakike wote ridhika, wakiume wote ridhika, pesa chache ridhika nazo. Acheni tamaa mambo yatasonga
 
Dhana ya ndoa ni ngumu , waliowaza ndoa za mikataba walifikria beyond the reality,...!! Ukweli ni kuwa ndoa imejengwa kwenye mazingira ya U-Mungu , Hawa alipozingua na Adamu nae akaunga tera , ule U-Mungu ukaondka , na ndoa haiwez kukaa mkaelewana pasipo huyo Mungu kuwaunganishaa , tatizo linakuja kumtumainia Mungu katika mazingira tuliyo nayo ni tough task kuliko maelezo ...!! Na hvyo ndoa ndo sehemu Bora kabisa ya kujipatia stress za kutosha .
Ndoa ndo sehemu bora kabisa ya kujipatia stress!!!!!
 
Mh MAGALLAH R nianze kwa kukupongeza kwa muono wako juu ya ndoa. Nami nikuulize;
Pikipiki tunazotumia kusafiria kutufikisha sehemu kwa haraka na uzima mpaka mashambani na vichochoroni zimesababisha vifo vingi Sana. Kila siku Kuna ajali nyingi za pikipiki sehemu mbalimbali zinasababisha vifo na pikipiki hizi zimesababisha vilema. Wengine wameungua sehemu za miili yao. Ukienda hospital za wilaya ukaona waliotundikwa miguu juu kwa sababu ya ajali ni wengi.
Lakini:
Je pikipiki ni mbaya?
Je hakuna waliondesha na kusafiri kwa pikipiki miaka nenda Rudi na hawajapata ajali?
Je kwa kusababisha ajali kadhaa tutoe hitimisho kwamba pikipiki hazifai kupandwa na binadamu?
Ila ukweli nikwamba pikipiki hazifai kupandwa na binadamu ila ugumu wa maisha tu ndo chanzo cha kuzipada ndugu yangu
 
Katika sociology ndoa ni Taasisi iliyoundwa baada ya binadamu kuanza kumiliki mali. Kwa kifupi ndoa ni mfumo wa kibeberu. Unaoa ili upate watu watakao rithi mali zako.
 
Back
Top Bottom