mtarimbo
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,529
- 3,919
Habarini wakuu.
E bwana kuna kitu nimekifuma mahali nimeona nikilete mezani najua tutajuzana mengi.
Ni hivi kuna dhana kuwa,shetani alikuwepo duniani kabla binadamu hajaumbwa.
Kivipi,baada ya ile vita kuu mbinguni kutokea ,na shetani akashindwa ,alitupwa duniani ambapo kulikua ukiwa na pamechoka sana,yaani jangwa tupu ,sasa Mungu akapiga hesabu ,namna gani atamuaibisha huyu kiumbe ,baada ya huyu kiumbe kujinadi malaika si chochote maana aliwapa kichapo si mchezo. Mungu akaona ili kumwonesha shetani kuwa yeye huwa hategemei malaka wenye nguvu ili kumshinda bali hata kiumbe chochote dhaifu kinaweza mshinda ,maana imeandikwa si kwa uwezo wa silaha ulizo nazo bali ni kwa uwezo wa Mungu.
Basi Mungu akaumba kiumbe kimoja ambacho ni binadamu kwa kutumia udongo yaani malighafi dhaifu sana katika maswala ya uumbaji.
Baada ya kumuumba huyu binadamu sikiliza dongo alilolituma sasa .
Akamwambia nenda ukatawale viumbe vyote vya baharini,nchi kavu na angani ,hapo kumbuka na shetani yumo duniani hapo wakati Mungu anampa binadamu mamlaka hayo! .pia jiulize kwa akili yako Mungu alituumba ili tukatawale samaki,kumbikumbi,nguruwe,panya na wengineo embu funguka akili yako.
Hapo sasa ndipo ukaanza mtiti si unajua huyu kiumbe ni mtata,?
Zikapigwa wee mwishowe Mungu akamwambia shetani hutamshinda huyu kiumbe kamwe maana nitaweka Roho yangu juu yake.
Bwana hii vita bado inaendelea hadi sasa baina ya binadamu wenye Roho ya Mungu na shetani ,ndio maana duniani hakukaliki ,ukikaa kizembe unawahishwa .
Watch and pray hali so hali
E bwana kuna kitu nimekifuma mahali nimeona nikilete mezani najua tutajuzana mengi.
Ni hivi kuna dhana kuwa,shetani alikuwepo duniani kabla binadamu hajaumbwa.
Kivipi,baada ya ile vita kuu mbinguni kutokea ,na shetani akashindwa ,alitupwa duniani ambapo kulikua ukiwa na pamechoka sana,yaani jangwa tupu ,sasa Mungu akapiga hesabu ,namna gani atamuaibisha huyu kiumbe ,baada ya huyu kiumbe kujinadi malaika si chochote maana aliwapa kichapo si mchezo. Mungu akaona ili kumwonesha shetani kuwa yeye huwa hategemei malaka wenye nguvu ili kumshinda bali hata kiumbe chochote dhaifu kinaweza mshinda ,maana imeandikwa si kwa uwezo wa silaha ulizo nazo bali ni kwa uwezo wa Mungu.
Basi Mungu akaumba kiumbe kimoja ambacho ni binadamu kwa kutumia udongo yaani malighafi dhaifu sana katika maswala ya uumbaji.
Baada ya kumuumba huyu binadamu sikiliza dongo alilolituma sasa .
Akamwambia nenda ukatawale viumbe vyote vya baharini,nchi kavu na angani ,hapo kumbuka na shetani yumo duniani hapo wakati Mungu anampa binadamu mamlaka hayo! .pia jiulize kwa akili yako Mungu alituumba ili tukatawale samaki,kumbikumbi,nguruwe,panya na wengineo embu funguka akili yako.
Hapo sasa ndipo ukaanza mtiti si unajua huyu kiumbe ni mtata,?
Zikapigwa wee mwishowe Mungu akamwambia shetani hutamshinda huyu kiumbe kamwe maana nitaweka Roho yangu juu yake.
Bwana hii vita bado inaendelea hadi sasa baina ya binadamu wenye Roho ya Mungu na shetani ,ndio maana duniani hakukaliki ,ukikaa kizembe unawahishwa .
Watch and pray hali so hali