Mr Zombie
Member
- Jan 26, 2022
- 83
- 44
Hapa napata maswali mengi sana ya kujiuliza je kama kweli yatupasa binadamu tusamehe.
Na ni amri kutoka kwa mungu.
Swali ni kwamba je huyo mungu alietuambia sisi tuweze kusamehe
Kwanini yeye hakuweza kuwasamehe kizazi cha sodoma na gomora na kizazi cha enzi za Nuhu?
Na ni amri kutoka kwa mungu.
Swali ni kwamba je huyo mungu alietuambia sisi tuweze kusamehe
Kwanini yeye hakuweza kuwasamehe kizazi cha sodoma na gomora na kizazi cha enzi za Nuhu?