Wakuu,
Nimeona nije hapa na hii kitu ambayo bila shaka kila mmoja wetu amewahi kukisikia au hata kushiriki ktk matumizi ya vitu hivyo kwenye sayansi ya uchawi.
Mara nyingi ukienda kwa mganga...
Kwa mamlaka husiku.
kuna gorofa inajengwa sinza mpakani karibu kabisa na ukumbi wa princess hall sinza mapambano
katika uchunguzi wangu niliofanya. Wazo la awali lilikua ni kujenga guest house...
Happy New year 2022.
In Fact, we start anything from a particular point. Sometimes a starting point could hardly be articulated due to a failure to track it earlier in its Development Circle...
Ufunuo 13:2 BHN
Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake kama ya dubu na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu...
Akili ya Mungu ni kubwa sana haichunguziki lakini ametupa sisi wanadamu akili ya udadisi
Udadisi wetu mpaka sasa umetuletea majibu mengi sana ambayo mengine yanatutoa knock out kabisa kwenye...
Ni kama kila kitu bado ni fumbo. Si mwanzo wala si hatima ya mtu, maisha ya mtu bado ni fumbo.
Kuna hatua muhimu za kujivunia katika kuelewa mwanzo na hatima ya mtu. Lakini, hatahivyo juhudi...
Ilikuwa ni tarehe 13-10-1917 muda wa saa saba na nusu hivi za mchana, wakazi wa mji wa Fatima huko Portugal walikuwa wamekusanyika katika eneo linaloitwa Cova Da Iria, nje kidogo ya mji wa Fatima...
IJUE MITEGO 3 YA KICHAWI
Wachawi hutumia mbinu mbalimbali katika kufanikisha mipango yao ya kichawi kwa watu walio kusudia kuwadhuru kwa uchawi.
Leo nitaizungumzia mitego mikuu mitatu ambayo...
SALUTE
Kwa mara ya kwanza nili introduce kitu hiki kwenye uzi wangu unaitwa "The Joker Film:Jinsi maneno yanayo udhi yanavyoweza kumfanya mtu awe mbaya". Kwenye uzi huu sikwenda ndani zaidi...
UTEKAJI (KIDNAPPING): CHATU ANAYEITAFUNA TANZANIA:
Nianze kwa msemo wa Kiswahili kuwa "Chatu ukimfuga ili ameze watu, ipo siku atameza watoto wako kama si wewe mwenyewe".
Tukio la kutekwa...
1.MFALME WA VIVULI
Sehemu ya kwanza
Wakuu naomba niwatafsirie kitabu kilichoandikwa na Michael Bar-Zohar na Nissim Mishal 'The greatest mission of the Israel secret service Mossad'...
Maisha ya hapa Duniani yana siri nyingi sana na yanaonekana kuwa na uhusiano wa Moja kwa moja au niseme Connection na ulimwengu mwingine ambao ni wa siri sana yaani ulimwengu usio wa hadharani...
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365...
"Matunda ya kila mti wa bustani unaweza kula mpaka ushibe. Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula,utakufa hakika" (mwanzo 2:16,17)
Lakini je...
Uchawi upo au haupo ?
Umeshawahi kurogwa ?
Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo ?
Najibu kaa nayo tu moyoni mwako maana hayanihusu na sio kusudio langu la kuanzidha mada
Binafsi siamini...
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Kiufupi wao waliamini kila ifikapo asubuhi mungu wa jua huamka na kufukuza giza lote pamoja nyota na mwezi na hivyo kuondoa nguvu zote za giza na kuleta mwanga.
Pia waliamini Mungu huyu huwa...
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO?
Ndiyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.