Be inspired but with caution

Be inspired but with caution

kinshwi

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
48
Reaction score
173
Siku za hivi karibuni wameibuka watu mbalimbali wanaoitwa inspirational speakers ambao hutoa mihadhara sehemu mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii.Sina ugomvi na watu hawa na ninaheshimu kazi yao, lakini unfortunately watu wengi hasa vijana wameingia katika mtego wa kujihisi wamechelewa sana kimaisha kutokana na maneno ya hawa jamaa, vijana wengi hasa vyuoni wanajiunga na biashara ambazo at times ni very impractical ili kuyaishi maneno ya hawa jamaa, they are finding mistakes in about everything you do and they are really trying to define life for you, at times they speak things that they can't even themselves can't do, they cause unnecessary depression and anxiety to their audience.

Be inspired but be cautious!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hilo ndio tatizo una inspire watu wakati mwenyewe hujawa inspired, watakuwa inspired vipi, wajinga tu ndio watakuwa motivated na ujinga huo. Cha msingi ni kukaa chini na kuongea na nafsi yako MUONE munakwama wapi kisha uyafanyie kazi yale muliyo kubaliana, na sio kuwa trapped na outsiders kirahisi hivyo.
 
Hakika, nmekuwa msomaji mzuri wa vitabu na machapisho ya aina hiyo lakini nabadilika kuwa mkosoaji na mchambuzi ninapokaribia kumaliza kitabu, naona kuna kuwa na vitu vingi ambavyo ni impractical.
 
SINAGA MUDA WA KUWASIKILIZA MIMI! NIKISOMA VITABU VYA NAPOLEON, OG MANDINO, ROBERT KIYOSAKI MAMBO YANAENDA TU! NAPOLEON AMEBADILI MTAZAMO WANGU WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA NA MAFANIKIO!
 
Siku za hivi karibuni wameibuka watu mbalimbali wanaoitwa inspirational speakers ambao hutoa mihadhara sehemu mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii.Sina ugomvi na watu hawa na ninaheshimu kazi yao, lakini unfortunately watu wengi hasa vijana wameingia katika mtego wa kujihisi wamechelewa sana kimaisha kutokana na maneno ya hawa jamaa, vijana wengi hasa vyuoni wanajiunga na biashara ambazo at times ni very impractical ili kuyaishi maneno ya hawa jamaa, they are finding mistakes in about everything you do and they are really trying to define life for you, at times they speak things that they can't even themselves can't do, they cause unnecessary depression and anxiety to their audience.
Be inspired but be cautious!

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sahihi, na ninapata shida kidogo kama walio wengi wataiona hoja yako hapa. Ni kwamba unachosema ni kuwa kwa mfano, mtoto wa chekechea aanze kuwa challenged na mwalimu wake darasani kuwa hajui hesabu za kuzidisha, wakati hesabu hizo ziko darasa la 5 na yeye yuko kwenye umri ambao hauruhusu hata kuwa darasa la kwanza. Ni kama kum-challange Tutorial Assistant mwenye umri wa miaka 18 kuwa kwa nini siyo Professor, wakati umri wake na muda wake aliuoutumia kwenye academics unaonyesha kuwa NI IMPOSSIBLE kuweza kufikia katika rank hiyo kwa muda huo, ISIPOKUWA BAADAYE ndiyo itawezekana, given time. Hawa watu wanatumia hit points za target group ya UMRI FULANI, halafu wanazi-generalised kwenye ages karibia zote ukiondoa watoto. Ni kosa la msingi linafanyika hapa na ni vigumu vijana wengi wanaochipukia kuweza kuliona, na hata watu wengine pia
 
Siku za hivi karibuni wameibuka watu mbalimbali wanaoitwa inspirational speakers ambao hutoa mihadhara sehemu mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii.Sina ugomvi na watu hawa na ninaheshimu kazi yao, lakini unfortunately watu wengi hasa vijana wameingia katika mtego wa kujihisi wamechelewa sana kimaisha kutokana na maneno ya hawa jamaa, vijana wengi hasa vyuoni wanajiunga na biashara ambazo at times ni very impractical ili kuyaishi maneno ya hawa jamaa, they are finding mistakes in about everything you do and they are really trying to define life for you, at times they speak things that they can't even themselves can't do, they cause unnecessary depression and anxiety to their audience.
Be inspired but be cautious!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja
 
SINAGA MUDA WA KUWASIKILIZA MIMI! NIKISOMA VITABU VYA NAPOLEON, OG MANDINO, ROBERT KIYOSAKI MAMBO YANAENDA TU! NAPOLEON AMEBADILI MTAZAMO WANGU WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA NA MAFANIKIO!
Kitabu gani mkuu share nasi hapa tufaidike.

Kinazungumzia nini hiko tupe japo kiufupi kaka
 
Back
Top Bottom