Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
SALUTE Kwa mara ya kwanza nili introduce kitu hiki kwenye uzi wangu unaitwa "The Joker Film:Jinsi maneno yanayo udhi yanavyoweza kumfanya mtu awe mbaya". Kwenye uzi huu sikwenda ndani zaidi...
25 Reactions
70 Replies
20K Views
UTEKAJI (KIDNAPPING): CHATU ANAYEITAFUNA TANZANIA: Nianze kwa msemo wa Kiswahili kuwa "Chatu ukimfuga ili ameze watu, ipo siku atameza watoto wako kama si wewe mwenyewe". Tukio la kutekwa...
25 Reactions
112 Replies
15K Views
1.MFALME WA VIVULI Sehemu ya kwanza Wakuu naomba niwatafsirie kitabu kilichoandikwa na Michael Bar-Zohar na Nissim Mishal 'The greatest mission of the Israel secret service Mossad'...
16 Reactions
166 Replies
25K Views
Maisha ya hapa Duniani yana siri nyingi sana na yanaonekana kuwa na uhusiano wa Moja kwa moja au niseme Connection na ulimwengu mwingine ambao ni wa siri sana yaani ulimwengu usio wa hadharani...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365...
10 Reactions
12 Replies
2K Views
"Matunda ya kila mti wa bustani unaweza kula mpaka ushibe. Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula,utakufa hakika" (mwanzo 2:16,17) Lakini je...
11 Reactions
156 Replies
26K Views
Uchawi upo au haupo ? Umeshawahi kurogwa ? Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo ? Najibu kaa nayo tu moyoni mwako maana hayanihusu na sio kusudio langu la kuanzidha mada Binafsi siamini...
14 Reactions
143 Replies
103K Views
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
7 Reactions
43 Replies
12K Views
Kiufupi wao waliamini kila ifikapo asubuhi mungu wa jua huamka na kufukuza giza lote pamoja nyota na mwezi na hivyo kuondoa nguvu zote za giza na kuleta mwanga. Pia waliamini Mungu huyu huwa...
9 Reactions
56 Replies
17K Views
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO? Ndiyo ni...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
Habari zenu wanaJF naimani wote mkoa poa tukisheherekea sikukuu ya miaka 60 ya Uhuru Ndugu zangu kama ilivyo kawaida kila ifikapo 9 Desemba vikosi mbalimbali vya kijeshi huenda kutoa burudani...
17 Reactions
216 Replies
27K Views
WanaJF intelligence habari za asbuhi.... Bila kupoteza muda ningependa kwenda mojamoja kwenye mada ...... Je upi ni ukweli kuhusu philadelphia experiment? Inasemekana mnamo october 28, 1943 meli...
4 Reactions
25 Replies
8K Views
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa. 1)...
41 Reactions
905 Replies
100K Views
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi...
11 Reactions
88 Replies
13K Views
1. MUHAMMAD (a.i.j.y/p.b.u.h/s.a.w) Huyu ni mtume wa Mungu katika imani ya Dini ya Kiislam. Ndiye aliyeteremshiwa kitabu cha Quran Tukufu na kuasisi Dini ya Uislam. Matendo yake, maisha yake...
5 Reactions
63 Replies
6K Views
Wadau salamu!. Kumekuwa na matukio mengi ya askari kuua na kusema waliouawa ni majambazi na hakuna uchunguzi zaidi kuchukuliwa. Mimi naomba leo tujadili Dhumuni la kuunda Jeshi la Polisi hapa...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wana wa Mungu Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu. Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu...
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Katika kuperuzzi vitabu library leo nimevutiwa kukushirikisha kuisoma KAMUSI YA SHETANI (By Bierce A.), nakuomba tuongozane pamoja katika tafsiri ya baadhi ya maneno niliyoona kwa namna moja au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam, katika Biblia ya kikatoliki, kuna kitabu cha Judith, huyu alikuwa msichana wa kiyahudi aliyejifanya kahaba ili anunuliwe na mfalme pinzani wa Israel, inasemekana aliponunuliwa akamkata...
7 Reactions
64 Replies
6K Views
Back
Top Bottom