GTs na wadau wote wa JamiiForums kwa ujumla, habarini!
Kabla ya yote, niombe ukaribu wenu hapa katika hiki ninachokwenda kukiwasilisha kwenu. Natumai tutakuwa pamoja kuanzia mwanzo hadi mwisho...
Umofia Kwenu!
Nilipokuwa nikipitia baadhi ya stori za wadau mbalimbali nami nikahamasika kuweza kuandika walaka huu kwa kufuata mawazo na fikra zangu binafsi kuweza kuweka mbegu mpya au mtazamo...
Nimeona wimbi la mapinduzi limeanza upya Afrika hasa Afrika Magharibi lakini kote vinara wa mapinduzi ni maofisa wa Jeshi wenyevyeo vya kati kama Makanali, Mameja na Makepteni.
Tazama Historia na...
OPERATION GOTHIC SERPENT: NGUVU YA ITIKADI, IMANI NA USHUJAA ULIOTUKUKA
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani...
Kwa mujibu wa uislam mtu anapokaribia kufariki huonyeshwa matendo yote alofanya katika maisha yake. Kisha huonyeshwa mafikio yake eidha motoni au peponi. Sasa wanasayansi wa leo wame prove hilo...
Habari wakuu?
Rejea kichwa cha thread hapo juu..
In summary Espionage by definition: Is the discovering of secrets, especially political or military information of another country or the...
Nawasalimia wote JF.
Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari.
Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na...
Russia the militaries stack up.
Russia has been ranked as the second-most-powerful military power in the world.
Russia is a formidable military power, with large numbers of ground troops and a...
JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE
Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini...
Naomba niingie kwenye maada mojakwamoja,
Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya...
666 Sio namba ya Uovu! Hakuna cha chapa ya shetani wala nini! Shetani wanaye mmaanisha wazungu ni Mtu Mweusi! Ndio maana kila kitu cheusi kwao ni uovu.
666 = MELANIN, MTU MWEUSI
Melanin ni...
Ni ukweli ulio wazi kwamba jamii ya binadamu imegawanyika katika makundi mbalimbali kiakili kuna binadamu wachache huwa wana uwezo wa juu sana wa akili katika nyanja mbalimbali na hufanya mambo...
Habari za wakati huu wakuu?
Natamani kujua, maana kuna Watu unaweza kudokezewa kuwa ni pandikizi but ukiwaangalia hawako strong,yaani ni wa kawaida tu kama mtu ambae hajapitia mafunzo. Je,kuna...
Haina haja la salam maana na jua hampo salama.(tozo 😅) Ni we direct kidogo tusipoteze muda, pia niwaombe wasomaji mtakao kuwa mnafahamu kuhusu hii issue bac mm na jukwaa kwa ujumla tuna subiri...
Najiuliza mwenyewe nakosa jibu. Nimesoma thread za time travel nikahisi ni unabii
1. Nikiwa mdogo miaka ya 84 mzee wa nzengo alituambia tukiwa watu wengi alituambia ya kuwa, kwenye mkuyu ule...
Tunazaliwa, tunakua tunazeeka tunakufa!
Lengo la sie kuwa hapa duniani ni nini?
Kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi, kwanini tunaishi hapa??
Kwa nini tunazaa watoto?
Tunawazaa Waje wafanye...
Baada ya rasimu kukamilika basi ni muda muafaka wa kuanza kujadili utekelezaji wa mambo muhimu yaliyomo katika rasimu.leo hii nimejikita kwenye suala nyeti la ulinzi na usalama hasa hasa...
Mfahamu Dick Cheney aliyepata kuwa Makamu wa Rais wa 46 nchini Marekani katika utawala wa Rais George W. Bush
1. Jina lake kamili ni Richard Bruce Cheney, mzaliwa wa Lincoln huko Nebraska nchini...
Anaendelea tulivofika Rusumo tuliambiwa kwamba kuna uchaguzi utafanyika Uko Tanzania lakin kuna chama kimoja ambacho kilipanga mkakati tokea miaka ya 1995 na mgombea mmoja alionekana kukubalika...
Kuna watu maalum, ambao wao kazi yao ni moja tu! Kuondosha uhai kwa njia ya risasi ama ajali ya kutengenezwa.. Kiingereza wanaitwa HIT MEN (HM). Hawa wana kibali kinaitwa license to kill (LTK)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.