Shambulio la 9/11, mwaka 2001, maarufu kama September ,11 attacks.
Hili ndio shambulio la kigaidi liliouwa watu wengi kwa mara moja katika historia ya dunia ,watu 2,977 walikufa na zaidi ya...
I have never questioned the faith of a person when it comes to someone’s religion. Your beliefs are your own. But when things like this pass you by, you have to start to think the validity of that...
Napenda niongee kifupi kuwasilisha hoja yangu iliyokaa kama swali.
Nimekuwa nikisikia hasa waumini wa Kristo wakisema maneno kama Mungu nipiganie,Mungu amenipigania,Yesu amevishinda vita rohoni...
Ni wazi kuwa imani imeanzishwa mahususi kuwa sera kuu ya kampeni inayofanywa na kikundi cha viumbe tusiowafahamu vizuri iwe kwa ubii, wajihi au maumbile zaidi ya kuamini mapokeo ya kile...
EROTOMANIA.
Hili Ni Tatizo La Kisaikolojia Ambapo Mtu Anakua Na Imani Kwamba Mtu Fulani Ananipenda Mfano Mimi Naamini Kabisa Kwamba Msichana/Mwanamke Fulani Ananipenda Wakati Sio Na Wala Hana Ata...
Habari zenu nyote,
Bila shaka wote mmesikia, mmeona juhudi za binadamu katika harakati za kutafuta sayari nyingine tofauti na dunia ambayo ina hali kama dunia yetu, chombo cha Marekani kishafika...
JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?.
Na.Comred Mbwana Allyamtu
Sunday -26/5/2019.
Kyala Marangu...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huku...
Tangu tumekuwa katika hii sayari tumekuwa tukifikiri Kuna hichi kitu "Freewill!".
Ukweli mchungu ni huu,mazingira hayajatupa hiyo nafasi yakuwa na uhuru wa maamuzi ktk kila kitu ama kwa asilimia...
Ukiamua kutega bega ni juu yako na ukikataa kutega bega shauri yako. Kupanga ni kuchagua tusilazimishane kufa Na kuishi. Ni bora tugawane mbao. Tiba ya ugonjwa ni uamuzi wa mtu binafsi.
Kuna watu...
Ni hivi, hakuna msomaji yoyote yule wa uzi huu ndani ya JF aliyepata furaha ya maisha kutokana ya yeye kuoa au kuolewa na hii inatokana na ukweli kwamba lengo lililojificha la ndoa ni...
Friday, 16 July 2010 08:31
Fidelis Butahe na Aziza Masoud wa Mwananchi
MTOTO wa Profesa jwan Mwaikusa ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nje ya nyumba yake, amesema hahusishi mauaji hayo...
PSYCHOLOGIST WARN: NEVER USE THESE 5 PHRASES WHEN TALKING TO YOUR CHILD
It is a fact that no one is perfect and all people make mistakes. But, parents should be aware of the fact that in the eyes...
Siku za hivi karibuni wameibuka watu mbalimbali wanaoitwa inspirational speakers ambao hutoa mihadhara sehemu mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii.Sina ugomvi na watu hawa na ninaheshimu kazi...
Wakuu habari zenu kwa mpigo. Ninafahamu kuwa wengi wetu tunafahamu maana ya neno IGNORANCE. Kama hamkumbuki basi maana yake kwa kimombo ni hii " Ignorance does not mean lack of knowledge but of...
Wasalaam.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua iliwezekanaje safina ambayo ina urefu wa futi 500 waweze kuingia wanyama wote hao? Tena na chakula chao?
Naamini jukwaani hapa kuna wajuzi wengi...
Sote tumesikia hadithi nyingi zinazozungumzia Atlantis, jiji la kubuni ambalo Wagiriki waliandika juu yake katika fasihi zao. Iliaminika kuwa walikuwa wa hali ya juu ya ustaarabu kwa wakati wao...
Shetani au ibilisi kama kweli yupo duniani na sio dhana tu ya wajanja wa dunia ili wapige hela basi atakuwa amebeba faida kuntu kuliko hasara zake.
Moja ya faida kuntu za kuwepo shetani duniani...
Hi Guys!
Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita.
Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na...
Hapa napata maswali mengi sana ya kujiuliza je kama kweli yatupasa binadamu tusamehe.
Na ni amri kutoka kwa mungu.
Swali ni kwamba je huyo mungu alietuambia sisi tuweze kusamehe
Kwanini yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.