Mara nyingi michango ya wanawake katika sekta muhimu kama Teknolojia na sayansi haionekani lakini historia inaonesha jinsi gani wanawake walivyotoa mchango mkubwa hasa katika karne ya mapinduzi ya...
Hili Ni tukio la kweli katika Maisha halisi.
Siku ya November 24 mwaka 1971, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mji wa Portland jamaa aliyevaa suti nyeusi na koti refu jeusi kwa juu akiwa...
Wakubwa wa hili jukwaa heshima kwenu,
Katika kuperuzi kwangu mtandaoni nimekutana na mjadala mzito kuhusiana na kifo cha Mrembo maarufu aliyepata kutokea huko Marekani bibie Marilyn Monroe...
Habari za jioni wana JF mada ya leo ni sensitive kidogo hivyo ningependa tuisome kwa umakini,tujifikirishe na tujadiliane kwa mapana bila kashfa za kidini,kejeli,matusi,hasira n.k maana mada hii...
Khabari zenu wana JF, shikamoni wakubwa!
Me nasumbuliwa na hili suala mda mrefu sasa. Aries ndo nyota yangu ila ninajaribu kufatilia hii nyota sijapata ufafanuzi wa kutosha kwetu sisi wanaume...
Take some time to read, its worth reading , Please share after reading......
STORY BEHIND YOUR DATE OF BIRTH !!!! Interesting !!
Hey this is really true and see it will work for you too
If U...
Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo.
Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao...
Kuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu.
Ukiangalia movement ambazo Mungu...
Taifa namba moja ulimwenguni, lenye nguvu kubwa kiuchumi na kijeshi. Ambapo ni mfano kwa maitaifa mengine unafikiri ni kwa namna gani kiongozi wa taifa hilo anasafiri. Safari moja ya rais wa...
Jana Rais wa Marekani Joe Biden kampigia simu Rais wa Ukraine na kumweleza kuwa awe na amani na asihofu vitisho vya Urusi baada ya Urusi kuweka vikosi vya kijeshi kwenye mpaka wa Ukraine, Rais Joe...
Jicho la tatu!
Kwa nini maandiko kwenye biblia yalieza kuumbwa kwa mtu kabla ya siku saba ambazo alimaliza kuumba.mwanzo 1:26-31
Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa...
Sodoma na Gomorrah ni miji iliyokuja kuangamizwa kwa sababu wakazi wake walifanya kufuru ya starehe mpaka kumsahau Mungu kabisa....na kibaya zaidi ni ile dhambi ya kutenda kinyume na maumbile...
Kama nilivyo ahidi Huu ni mwendelezo wa mada ya kuwajua viumbe hawa, kabla hujasoma hii ni vyema ukasoma mada yangu inahusu Wananiuliza Devil ni nani. Baada ya kumjua devil ni zamu ya lucifer...
1. JUA KUISHIWA NA ENERGY YAKE INAYOTOA MWANGA.
Kumbuka jua inatumia nguvu ya kinyuklia (Fusion and Fission energy) kati ya Hydrogen na Helium zilizo katika Core yake katika kutengeneza joto na...
Tukirejea katika utawala wa Roman Empire nguvu yao kubwa ilikua imebase sana kwenye misingi ya sheria na nguvu ya kiuchumi (kama ilivyo marekani leo hii)
Waliitajika watu wakweli na wawazi katika...
Ni kwa nini Israel ina jeshi la kisasa zaidi kwa teknolojia duniani
Israel ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mauzo ya silaha duniani, ikiwa inauza silaha zenye thamani ya dola za kimarekani...
Kwa miaka miaka mingi imekuwepo 'nadharia dhahania' pasipo ushahidi wala vielelezo kuhusu namna ambavyo shirika la Ujasusi la nchini marekani CIA wanavyo uendesha ulimwengu vile watakavyo kwa...
Baada ya vumbuzi 7 zilizokuja kubadili kabisa dunia ya leo na ile ya kabla ya 1760 huku mwaka 1820 mapinduzi ya viwanda yakiipeleka dunia kwa kasi na kupelekea maendeleo makubwa ya...
US military's top 10 weird gizmos and gadgets
As a laser weapon capable of shooting down enemy drones is developed by the US military, we look at other weird gizmos and gadgets soon to be rolled...
The World’s Biggest Arms Importing Countries In 2018
The world’s ten biggest arms importing countries received arms worth more than $15bn from overseas in 2018.
Army-technology.com ranks the top...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.