Kama kusingekuwa na kifo au binadamu wakiacha kufa leo hii kitu gani kikubwa cha kwanza ungekifanya ambacho sasa hivi hukifanyi kwa sababu ya hofu ya kifo?
Pia kitu gani usingeendelea kufanya...
1) Vita ya Nyuklia (Nuclear Armagedon)
Bomu moja la Nyuklia lina uwezo wa kusababisha kifo kwa asilimia 80 hadi 95 kutoka eneo lililoripuliwa kuelekea umbali wa kipenyo cha Km 4 ingawa uharibifu...
Umofia kwenu wakuu,
Wapo watu ambao wanapenda kujua maana au tafsiri za ndoto kwa kuwa nyingi huwa zinakuja kwa mtindo wa mafumbo. Wapo wanaoamini kuwa ndoto zina taarifa zenye miongozo au kutoa...
Wakuu salama, Kwanza kabisa nianze kwa kusema Elimu pekee ndio itakayomkomboa Mwanadamu katika sayari hii, Uwezo wa kutatua changamoto upo ndani yake mwenyewe, Hakuna Msaada wowote utakaotokea...
Miaka kadhaa tangu kutolewa kwa filamu ya Apocalypto(mwaka 2006),bado nimeguswa kuandika makala yangu ya kwanza kwenye blogu hii kuhusu filamu hiyo.Ninaipenda sana filamu hii.
Mel Gibson na...
Sio katika misingi yote dunia imekuwa ikiongozwa katika usahihi!,zipo taarifa ambazo zimekuwa zikileta utata na imekuwa hivyo kwa makusudi ya watu fulanifulani.
Zipo nadharia, taarifa na imani...
PALINDROME ni neno au tarakimu zinazosomeka sawa kutoka upande wowote ule, wa kushoto au wa kulia.Mfano wa maneno ambayo ni palindrome ni kama:
Are we not pure? "No sir!" Panama's moody Noriega...
Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.
He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling...
NASA Yaingia Katika Angahewa ya Jua kwa Mara ya Kwanza, Ikileta Uvumbuzi Mpya
Kwa mara ya kwanza katika historia, chombo cha anga kimegusa Jua. Uchunguzi wa NASA wa Parker Solar sasa umepitia...
Habarini za Alhamisi natumaini mpo vizuri sana, poleni kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema. kama ilivyo kawaida yangu ya kuwaletea makala za kutambua mambo mbalimbali kuhusu jamii kadhaa hapa...
Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga...
Niliwahi kupata simulizi fulani kuhusu watu kushiriki kwenye misheni za kijasusi bila ya wao wenyewe kufahamu kuwa wanatumika kwenye misheni hizo. Pengine hata wewe msomaji ni mmoja kati ya hao...
Moja ya jambo ambalo nakaaa muda na kuwaza ni kuwa Maisha na vilivyomo ndani yake.
Niukweli usio pingika na Uko wazi kuwa haya maisha yanatuendesha yatakavyo.
Naukifuatilia kwa karibu ni kuwa...
B-2 bomber ndio ndege hatari zaidi ya kivita kuwahi kutengenezwa duniani, ndege hii hujulikana sana kwa jina la (Popo) kwa sababu inafanana na popo kiumbo. Ilianza kutengenezwa kipindi cha vita...
Nami Josephat Keraryo Nyambeya.
Kama nilivyoahidi juzi baada ya kutoa uchambuzi kiduchu juu ya bomber (B-2) ya Marekani nilisema nitakuja na uchambuzi kiduchu juu ya Tu-160 kutoka Urusi ili...
Leo sita andika mada ndefu bali nitatoa ufafanuzi mfupi kuhusiana na hii namba ya mnyama 666. Nitatumia mstari ulioipa umaarufu mkubwa hii namba kutoka katika kitabu cha biblia.
Namba ya mnyama...
Hapo Mwanzo kulipangwa tusiwe na Mwisho ila kwa sababu ya kuto kutii kwetu basi tunahukumu
Juu ya kile chochote tukifanyacho kwa kukusudia au kwa bila kukusudia iwe jema au baya yoote yanalipiwa...
ADOLF HITLER NI NANI KTK HISTORIA YA DUNIA?
Wanahistoria Na Watu wengi Duniani wamekuwa wakisimulia kuhusu Maisha ya Dikteta Adolf Hitler Wa Ujerumani .Leo Ninamuelezea kwa kifupi Hitler...
Habarini za muda huu,
Kumekuwa na Vita nchini Ukraine ambapo majeshi ya Ukraine yanalinda nchi Yao dhidi ya uvamizi wa Rassia katika nchi Yao.
Dhamira ya nje ya Ukraine ni kujilinda dhidi ya...
Lengo kuu la kujamiana ni moja tu nalo ni kuzalisha binadamu wengine ili waje hapa duniani. Unajamiana ili uzalishe tu watoto hapa duniani ambao hata wewe mwenyewe hujui kwa nini unazaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.