Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Tunakazana sana kusema TULIKUWA. hatuhangaiki na Kusema TUKOJE sasa na TUTAKUWAJE.
ukiona watu wanavyohangaika kusema waisrael walikuwa weusi. Unajiuliza so what?or then what happened?
Ukisoma watu wanavyohangaika kusema wa misri walikuwa weusi then unajiuliza so what ?or what happened?
Tunabaki kudandia dandia watu maarufu,makabila maarufu n.k ila ukitizama kwa sasa huoni tunachofanya ku prove hayo kivitendo.akili zilizotumika kujenga pyramids zilipotelea wapi?
Waarabu wangapi na wazungu walikuja kukututawala sisi wengi huku kwetu?na tukashiriki kuuzana,kupigana?hatukuwa na akili.ndo maana utaona mwarabu mmoja au watatu wanaswaga kundi kubwa la watumwa weusi kwenda kuwauza.
Sisi toka zamani ni kama ng'ombe tu ashakum si matusi. Unaweza ona ng'ombe 100 wanaswagwa na mtu mmoja mwenye fimbo.
Akili tulizokuwa nazo awali zimeenda wapi? Asilimia 95 ya vitu tunavyotumia asili yake mzungu au mu asia.sasa sisi tunachoweza ni nini?kila siku tunakuja hapa na nyuzi.yesu alikuwa mweusi, waisrael ni weusi, wamisri ni weusi...so what?
Miaka 50 baada ya kutawaliwa bado nchi zetu ni maskini lakini bado tunalaumu wazungu.ile kututawala tu inaonesha walituzidi akili kwa hiyo sisi hatuna akili.haya baada ya uhuru bado tunapo fail tunasingizia wazungu.
Sisi waafrika tunaringia nini hasa dunia hii?tuseme tu ukweli.tupo tupo tu na ujinga umetujaa. Ndo maana kila kitu kizuri kinahusishwa na weupe.na nadra sana kukuta hata weupe wanahangaika ili wawe weusi.
Au kuwasikia wakidai nyerere au mandela alikuwa mweupe.sisi ni watu wa madai tu.madai tu. Hatusongi mbele.wakati tunahangaika ku prove yesu au waisrael walikuwa weusi wazungu wao wanatengeneza ndege na ku improve technolojia.sisi tunapambana kuthibitisha kuwa yale mapyramids yalikuwa na pua nene zikakatwa.
Tafiti tunazofanya tunatumia vifaa vya mzungu/mtu mweupe.kila kitu bado tunachotaka kuthibitisha weusi wetu tunatumia cha mzungu.
Nadhani hii dhana ya yule alikuwa mweusi na wale walikuwa weusi ni aina ya uchawi wameturogezea tena wazungu.ili sisi tupambane katika hayo huku wao wakisonga mbele.
Tukija kushtuka miaka imepita.haya yesu alikuwa mweusi, waisrael wa asili ni weusi.misri waarabu walikuwa weusi. Mafarao walikuwa weusi.
So what? Mnasema mnaweka sawa historia.then? Badala ya kupambana tujikwamue na kudhihirisha black superiority tunajikuta tunapambana ku claim vitu ambavyo wont help us.
ukiona watu wanavyohangaika kusema waisrael walikuwa weusi. Unajiuliza so what?or then what happened?
Ukisoma watu wanavyohangaika kusema wa misri walikuwa weusi then unajiuliza so what ?or what happened?
Tunabaki kudandia dandia watu maarufu,makabila maarufu n.k ila ukitizama kwa sasa huoni tunachofanya ku prove hayo kivitendo.akili zilizotumika kujenga pyramids zilipotelea wapi?
Waarabu wangapi na wazungu walikuja kukututawala sisi wengi huku kwetu?na tukashiriki kuuzana,kupigana?hatukuwa na akili.ndo maana utaona mwarabu mmoja au watatu wanaswaga kundi kubwa la watumwa weusi kwenda kuwauza.
Sisi toka zamani ni kama ng'ombe tu ashakum si matusi. Unaweza ona ng'ombe 100 wanaswagwa na mtu mmoja mwenye fimbo.
Akili tulizokuwa nazo awali zimeenda wapi? Asilimia 95 ya vitu tunavyotumia asili yake mzungu au mu asia.sasa sisi tunachoweza ni nini?kila siku tunakuja hapa na nyuzi.yesu alikuwa mweusi, waisrael ni weusi, wamisri ni weusi...so what?
Miaka 50 baada ya kutawaliwa bado nchi zetu ni maskini lakini bado tunalaumu wazungu.ile kututawala tu inaonesha walituzidi akili kwa hiyo sisi hatuna akili.haya baada ya uhuru bado tunapo fail tunasingizia wazungu.
Sisi waafrika tunaringia nini hasa dunia hii?tuseme tu ukweli.tupo tupo tu na ujinga umetujaa. Ndo maana kila kitu kizuri kinahusishwa na weupe.na nadra sana kukuta hata weupe wanahangaika ili wawe weusi.
Au kuwasikia wakidai nyerere au mandela alikuwa mweupe.sisi ni watu wa madai tu.madai tu. Hatusongi mbele.wakati tunahangaika ku prove yesu au waisrael walikuwa weusi wazungu wao wanatengeneza ndege na ku improve technolojia.sisi tunapambana kuthibitisha kuwa yale mapyramids yalikuwa na pua nene zikakatwa.
Tafiti tunazofanya tunatumia vifaa vya mzungu/mtu mweupe.kila kitu bado tunachotaka kuthibitisha weusi wetu tunatumia cha mzungu.
Nadhani hii dhana ya yule alikuwa mweusi na wale walikuwa weusi ni aina ya uchawi wameturogezea tena wazungu.ili sisi tupambane katika hayo huku wao wakisonga mbele.
Tukija kushtuka miaka imepita.haya yesu alikuwa mweusi, waisrael wa asili ni weusi.misri waarabu walikuwa weusi. Mafarao walikuwa weusi.
So what? Mnasema mnaweka sawa historia.then? Badala ya kupambana tujikwamue na kudhihirisha black superiority tunajikuta tunapambana ku claim vitu ambavyo wont help us.