NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji ...
Kabla sijaelezea kinagaubaga kuhusu kichwa cha uzi ningependa Kwanza niandike mtazamo wangu na jinsi ninavyoelewa kuhusu Mungu.
Kiufupi unaweza nitafsiri kama "Agnostic",lakini tafsiri hii...
Kufukiza ubani.
Kwa wakatoliki, sijui kuhusu makanisa mengine; ubani ni sehemu muhimu katika ibada ya misa.
Nimeona na kusikia pia, ubani hutumika katika kuyaita/kuyapunga majini.
Sasa swali...
Ni simulizi ya ulaji njama ambayo bila shaka imevuma zaidi kushinda njama nyingine zote. Ni wachache sana ambao hawajawahi kusikia kuwahusu Illuminati.
Huaminika kuwa kundi maalum la watu ambao...
what do you have you to say on this incidence?
One story about Jesus in the bible that is confusing and incoherent is the story of the fig tree. Matthew 21:18-19 states, "Early in the morning, as...
Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu ya kujenga taifa .
Kuna video hii ya [link] YouTube,[\link]
Baada ya kuitazama ningependa tuitathimini Kwa pamoja humu
Uhalisia wake ??? na
Technology...
Destiny yaani karma au hatima ya mwanadamu ni jambo linalothibitisha juu ya uwepo wa ukomo wa kila jambo katika ulimwengu huu, hivyo basi hili kuzuia hatima isiendelee kukuwinda ni lazima u-push...
Wakuu ni hiki, kila unayemuona hapa duniani jua kabisa ana Batch Namba yake. Hatupo duniani hapa kiholelaholela tu. Tuna batch namba ambazo zimebeba taarifa zetu zote.
Aliyekuleta hapa duniani...
You can be identified by your heartbeat and your gait. You can be identified by your fingerprints and iris patterns. And you can always be identified by your smartphone broadcast unique number...
Part 1
Mchana mmoja mwanzoni wa mwezi Disemba mwaka 1954 ndege ya mizigo ilikuwa ikiendelea kuranda randa katika bahari ya Mediterranian upande wa Mashariki. Rubani wa ndege hiyo alipohakikisha...
Kwa hali ya kawaida tunapata usiku, mchana, jioni na asubuhi hutokana na uwepo wa jua.
Sasa napenda kujua wadau wa jukwaa hili. Ukisoma biblia katika uumbaji tunaona hata zile siku tatu za mwanzo...
Siku moja nikiwa usingizini ndipo maono yakaniijia kama ilivyokuwa kwa yohana wa ufunuo tofauti yake na mimi ikawa ndogo yeye alifunuliwa(aliambiwa maana ila mimi sikuambiwa maana zaidi ya...
Jina la kitabu.ABRAMOVICH THE BILLIONAIRE FROM NOWHERE
Mwandishi.DominicMidgley and ChrisHutchins
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anasema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1999...
Addressing editors this week in Kigali, president kagame said he was shocked by Kikwete's statement, more so as he gave it in the wake of the most venomous hate speech made my Chris Mtikila. He...
GTs na wadau wote wa JamiiForums kwa ujumla, habarini!
Kabla ya yote, niombe ukaribu wenu hapa katika hiki ninachokwenda kukiwasilisha kwenu. Natumai tutakuwa pamoja kuanzia mwanzo hadi mwisho...
Umofia Kwenu!
Nilipokuwa nikipitia baadhi ya stori za wadau mbalimbali nami nikahamasika kuweza kuandika walaka huu kwa kufuata mawazo na fikra zangu binafsi kuweza kuweka mbegu mpya au mtazamo...
Nimeona wimbi la mapinduzi limeanza upya Afrika hasa Afrika Magharibi lakini kote vinara wa mapinduzi ni maofisa wa Jeshi wenyevyeo vya kati kama Makanali, Mameja na Makepteni.
Tazama Historia na...
OPERATION GOTHIC SERPENT: NGUVU YA ITIKADI, IMANI NA USHUJAA ULIOTUKUKA
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.