Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔ Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji ...
19 Reactions
156 Replies
10K Views
Kabla sijaelezea kinagaubaga kuhusu kichwa cha uzi ningependa Kwanza niandike mtazamo wangu na jinsi ninavyoelewa kuhusu Mungu. Kiufupi unaweza nitafsiri kama "Agnostic",lakini tafsiri hii...
6 Reactions
166 Replies
11K Views
Kufukiza ubani. Kwa wakatoliki, sijui kuhusu makanisa mengine; ubani ni sehemu muhimu katika ibada ya misa. Nimeona na kusikia pia, ubani hutumika katika kuyaita/kuyapunga majini. Sasa swali...
7 Reactions
83 Replies
54K Views
Naombeni mnijulishe ....kidono/kinkuti ni kiti gani?
3 Reactions
343 Replies
52K Views
Ni simulizi ya ulaji njama ambayo bila shaka imevuma zaidi kushinda njama nyingine zote. Ni wachache sana ambao hawajawahi kusikia kuwahusu Illuminati. Huaminika kuwa kundi maalum la watu ambao...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
what do you have you to say on this incidence? One story about Jesus in the bible that is confusing and incoherent is the story of the fig tree. Matthew 21:18-19 states, "Early in the morning, as...
11 Reactions
324 Replies
22K Views
Habari zenu wakuu Poleni na majukumu ya kujenga taifa . Kuna video hii ya [link] YouTube,[\link] Baada ya kuitazama ningependa tuitathimini Kwa pamoja humu Uhalisia wake ??? na Technology...
1 Reactions
1 Replies
546 Views
Destiny yaani karma au hatima ya mwanadamu ni jambo linalothibitisha juu ya uwepo wa ukomo wa kila jambo katika ulimwengu huu, hivyo basi hili kuzuia hatima isiendelee kukuwinda ni lazima u-push...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu ni hiki, kila unayemuona hapa duniani jua kabisa ana Batch Namba yake. Hatupo duniani hapa kiholelaholela tu. Tuna batch namba ambazo zimebeba taarifa zetu zote. Aliyekuleta hapa duniani...
8 Reactions
58 Replies
4K Views
You can be identified by your heartbeat and your gait. You can be identified by your fingerprints and iris patterns. And you can always be identified by your smartphone broadcast unique number...
11 Reactions
28 Replies
4K Views
Part 1 Mchana mmoja mwanzoni wa mwezi Disemba mwaka 1954 ndege ya mizigo ilikuwa ikiendelea kuranda randa katika bahari ya Mediterranian upande wa Mashariki. Rubani wa ndege hiyo alipohakikisha...
15 Reactions
36 Replies
8K Views
Kwa hali ya kawaida tunapata usiku, mchana, jioni na asubuhi hutokana na uwepo wa jua. Sasa napenda kujua wadau wa jukwaa hili. Ukisoma biblia katika uumbaji tunaona hata zile siku tatu za mwanzo...
16 Reactions
154 Replies
17K Views
Siku moja nikiwa usingizini ndipo maono yakaniijia kama ilivyokuwa kwa yohana wa ufunuo tofauti yake na mimi ikawa ndogo yeye alifunuliwa(aliambiwa maana ila mimi sikuambiwa maana zaidi ya...
4 Reactions
35 Replies
14K Views
Pengine ndiyo maana walipokuwa wakiwatokea binadamu walikuwa wakisema, "Usiogope." Soma Ezekieli Sura ya 1.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Jina la kitabu.ABRAMOVICH THE BILLIONAIRE FROM NOWHERE Mwandishi.DominicMidgley and ChrisHutchins Mchambuzi.Nanyaro EJ Utangulizi Mwandishi anasema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1999...
15 Reactions
55 Replies
12K Views
Addressing editors this week in Kigali, president kagame said he was shocked by Kikwete's statement, more so as he gave it in the wake of the most venomous hate speech made my Chris Mtikila. He...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
GTs na wadau wote wa JamiiForums kwa ujumla, habarini! Kabla ya yote, niombe ukaribu wenu hapa katika hiki ninachokwenda kukiwasilisha kwenu. Natumai tutakuwa pamoja kuanzia mwanzo hadi mwisho...
56 Reactions
205 Replies
23K Views
Umofia Kwenu! Nilipokuwa nikipitia baadhi ya stori za wadau mbalimbali nami nikahamasika kuweza kuandika walaka huu kwa kufuata mawazo na fikra zangu binafsi kuweza kuweka mbegu mpya au mtazamo...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimeona wimbi la mapinduzi limeanza upya Afrika hasa Afrika Magharibi lakini kote vinara wa mapinduzi ni maofisa wa Jeshi wenyevyeo vya kati kama Makanali, Mameja na Makepteni. Tazama Historia na...
12 Reactions
20 Replies
3K Views
OPERATION GOTHIC SERPENT: NGUVU YA ITIKADI, IMANI NA USHUJAA ULIOTUKUKA Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani...
61 Reactions
225 Replies
73K Views
Back
Top Bottom