Nilipoangalia mfululizo/series hizi – The Godfather. Game of Thrones. Breaking Bad. Ozark. Snowfall. Narcos. Better Call Saul – nilikuwa natafuta burudani. Lakini niliyokutana nayo ni ukweli...
Number one means beginning
New things will happen
Number one means uniqueness
It will be unique year
Number one means wholeness
2026
2+ 0 + 2 + 6 = 10
1+0
= 1
-Also there will be new president...
CountCapone
Kabla ya mwaka 1961 hakukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Tanzania kwenye ramani
1-1885 Ardhi ya Tanzania haikua na dola moja inayotawala bali jamii nyingi zilizogawanyika
1885-1919...
The intelligence battle soft(see👁️ A vs hard power(kilo 1024mega bytes).
Mambo mengi muda mchache na-jumpstart to the conclusion, then tukipata wasaa tutarudi; intro, na dhima ya POWER...
Naam hili jambo nilikuwa nalichukulia poa...lakini baada ya kuamua kufuatilia kidogo naanza kupata uthibitisho pasi kuwa na shaka juu ya mzunguko wa maisha ya viumbe sisi bin adamu.
Kwa kifupi...
Waswahili husema ulemavu mbaya ni wa akili wakiwa na maana kwamba ukiwa chizi/taahira hutoweza kufanya jambo lolote la maana maisjani japo viungo vyako vitakuwa vinafanya kazi
Sasa tuwaangalie...
Omnipotence
Limetokana na maneno mawili ya kigiriki "omni na potens " ambayo yaana maanisha mwenye nguvu zote
Moja kati ya maswali ambayo ukimuuliza muumini wa dini yeyote ile mkristo au...
Utangulizi na Angalizo: Kuna mengi hatujayafahamu bado na kama tukiyafahamu bila maandalizi yanaweza kutuyumbisha kiimani kama tusipokuwa werevu lakini pia yanaweza kutupa maarifa mapya ambayo...
Wanasema wengi waliona Tofaa linaanguka ila mmoja (wachache ndio waliuliza kwanini) - Ingawa hizi story huwa zina chumvi nyingi na uongo wa hapa na pale lakini hii ya Gauss inafurahisha
Katika...
Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza.
Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba...
Huu mjadala nitahitaji ukae hivi mapema kabisa ili niweze kueleweka kabla sijagusia kitu chochote!.
Maswali mengi tunayojiuliza na hatujapata majibu mpaka sasa juu ya chanzo cha ulimwengu na...
Katika enzi ya Vita Baridi, dunia ilitazama Chess kama mchezo wa kawaida tu. Lakini kwa Umoja wa Kisovieti, michezo ya Chess haikuwa michezo tu. Ilikuwa sayansi ya akili, silaha ya kisiasa, na...
Ilikuwa ni siku ya jumatatu ya mwezi wa 9 mwaka 1983. Siku ambayo anga lilikuwa angavu na bluu ikimaanisha hali ya joto kiasi ndani ya makao makuu ya nchi ya marekani Washington d.c. Hakika...
Salaam kwenu Wana great thinker.
Naomba niwashirikishe kwenye mijadala huu KIJASUSI zaidi kwasababu jamii forum ni hom of great thinkers,hatuchukulii jambo juu juu.
Wakuu,Jana,sote tunatambua...
Let us think inside the box, outside the box and trash the box and think without a box as well.
Inside the box
CCM wamepanga njama ya kulipua bomu kwenye mkutano wa CHADEMA ili wananchi waogope...
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa...
Sijui kwanini tunazungushana na kudai watu wote walioatajwa kwenye orodha ya Ufisadi wanastahili isipokuwa Rais Kikwete! Hata viongozi wanaotambua baadhi ya uzito wa tuhuma zilizotolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.