Sijui kwanini tunazungushana na kudai watu wote walioatajwa kwenye orodha ya Ufisadi wanastahili isipokuwa Rais Kikwete! Hata viongozi wanaotambua baadhi ya uzito wa tuhuma zilizotolewa na...
11/12/2025 when i was sleeping during midnight
I saw ♦️ red crystal from the sky was falling toward the road.
One servant of God said
“She is in the process to have death“
Pray for Tanzania...
JESUS NEVER WALKED ON WATER. IT IS SYMBOLIC
Jesus was walking on top of the veil of the ether (astral projecting).
The ether is the 5th element, also known as spirit. It’s a substance that has...
Habari zenu ...
Kama mtakuwa tayari kuwapa hii elimu adimu ambayo huwezi kuipata popote pale iwe shule au wapi,ila kwa mtu anayefikiria kwa kina sana, sia kila kitu anakubali tu na kushindwa...
Hali ya ukungu na baridi kiasi ulioitawala June 6 2019 haikuzuia misafara isiyoisha ya magari ya jeshi katika mji wa khartoum. na kila walipopita nyuma waliacha miili ya mamia ya raia imelala...
Kupotea kwa mwanasiasa Ben Saanane takribani miaka miwili iliyopita pamoja na kupotea kwa mwanahabari Azory Agwanda mwaka mmoja uliopita,kuliwashtua Watanzania walio wengi na kuibua minong'ono juu...
Hukutoka na zana wala hukubeba kitu kiletacho umauti mikononi mwako, ulipokwenda kumpelekea Daudi wana wa Isirael nyumbani kwake, apate kuwatawala na kuwamiliki sawasawa na neno la bwana...
Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010.
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri...
YAFUATAYO NI MAUAJI TISA (9) YA HALAIKI MAKUBWA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA AMBAYO HAYAZUNGUMZWI SANA.
Ukisikia mauaji ya Halaiki (genocide) akili inakimbilia Rwanda , Soweto na Holocaust (waisrael...
Nimekaa nikatathimini kuhusu ustaarabu naona tunasafari ndefu sana!, na hili ni moja kati ya swala nyeti maana linagusa katika kila sehemu!.
iwe ni maendeleo,siasa,michezo,tamaduni,imani n.k...
"Maandamano ya kupinga ada ya vyuo vikuu Afrika Kusini"
Wiki iliyopita, wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Afrika Kusini walianza kufanya maandamano ya kupinga ongezeko la ada kwa asilimia 10.5 katika...
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba amani na utulivu wetu kama nchi mwisho wake ulikuwa 1995
Baada ya hapo amani na utulivu wetu tuliviweka rehani pale tulipoanza kubinafsisha kila kilicho chetu kwa...
Wakuu,
Jana tarehe 27 Novemba 2025, Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) limepitisha azimio zito ambalo kidiplomasia tunaweza kuliita "Kadi Nyekundu" kwa Serikali ya Tanzania.
Nimepitia...
Tunasema kwamba binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Mimi nakataa kumfikiria Mungu aliye fukara, mjinga, mshirikina, mwoga, dhalili, mnafiki nk, ambayo ndiyo hali ya walio wengi kati ya wale...
Taarifa za kijasusi zinadai kuwa, baadhi ya mawaziri wa Tanzania, Uganda na Kenya wapo kwenye Payroll ya siri ya Misri.
Misri mara kadhaa imekuwa ikiapa kuwa itayalinda maji ya mto Nile hata kwa...
Hii ni article ya Cezary Pietrasik; Nachelea kusema ni kweli kuna rise of Mass Stupidity na Decline of Critical Thinking inayosababishwa na information overload hivyo watu kuacha kutumia muda wa...
Habari wakuu,
Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third...
Muhtasari
Katika dunia ya leo, ishara za kuporomoka kwa nchi hazitokei kwa ghafla; huanza kama mitetemo midogo inayosikika tu kwa wale wenye jicho la kiintelijensia. Wakati siri za jeshi...
Heshima zenu wakuu!
Kwanza ninapenda kuweka wazi kwamba, nimewiwa kuandika mada hii kwa lengo la kutafakari kwa pamoja. Sijanuia kumuudhi, kumkwanza mtu wala kuibua hisia chungu kwa yeyote awaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.