Hukutoka na zana wala hukubeba kitu kiletacho umauti mikononi mwako, ulipokwenda kumpelekea Daudi wana wa Isirael nyumbani kwake, apate kuwatawala na kuwamiliki sawasawa na neno la bwana...
Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010.
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri...
YAFUATAYO NI MAUAJI TISA (9) YA HALAIKI MAKUBWA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA AMBAYO HAYAZUNGUMZWI SANA.
Ukisikia mauaji ya Halaiki (genocide) akili inakimbilia Rwanda , Soweto na Holocaust (waisrael...
Nimekaa nikatathimini kuhusu ustaarabu naona tunasafari ndefu sana!, na hili ni moja kati ya swala nyeti maana linagusa katika kila sehemu!.
iwe ni maendeleo,siasa,michezo,tamaduni,imani n.k...
"Maandamano ya kupinga ada ya vyuo vikuu Afrika Kusini"
Wiki iliyopita, wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Afrika Kusini walianza kufanya maandamano ya kupinga ongezeko la ada kwa asilimia 10.5 katika...
KWANZA UKISOMA KWA PC AU COMPUTER NYINGINE IPO BORA KULIKO KWA SIMU
Fanya Research yeyote ya underground utagundua All Roads lead to Rome Vatican. Diplomatic roads .Nk
Kati ya vitu vilivyo wahi...
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba amani na utulivu wetu kama nchi mwisho wake ulikuwa 1995
Baada ya hapo amani na utulivu wetu tuliviweka rehani pale tulipoanza kubinafsisha kila kilicho chetu kwa...
Wakuu,
Jana tarehe 27 Novemba 2025, Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) limepitisha azimio zito ambalo kidiplomasia tunaweza kuliita "Kadi Nyekundu" kwa Serikali ya Tanzania.
Nimepitia...
Tunasema kwamba binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Mimi nakataa kumfikiria Mungu aliye fukara, mjinga, mshirikina, mwoga, dhalili, mnafiki nk, ambayo ndiyo hali ya walio wengi kati ya wale...
Taarifa za kijasusi zinadai kuwa, baadhi ya mawaziri wa Tanzania, Uganda na Kenya wapo kwenye Payroll ya siri ya Misri.
Misri mara kadhaa imekuwa ikiapa kuwa itayalinda maji ya mto Nile hata kwa...
Hii ni article ya Cezary Pietrasik; Nachelea kusema ni kweli kuna rise of Mass Stupidity na Decline of Critical Thinking inayosababishwa na information overload hivyo watu kuacha kutumia muda wa...
Habari wakuu,
Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third...
Muhtasari
Katika dunia ya leo, ishara za kuporomoka kwa nchi hazitokei kwa ghafla; huanza kama mitetemo midogo inayosikika tu kwa wale wenye jicho la kiintelijensia. Wakati siri za jeshi...
Heshima zenu wakuu!
Kwanza ninapenda kuweka wazi kwamba, nimewiwa kuandika mada hii kwa lengo la kutafakari kwa pamoja. Sijanuia kumuudhi, kumkwanza mtu wala kuibua hisia chungu kwa yeyote awaye...
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni...
Mimi si nabii wala mtabiri lakini huwa naota ndoto ambazo sizielewi. Naomba wataalamu wa tafsiri wanisaidie.
Nimeona katika ndoto ndugu Stephen Masele na mtu mwingine ambaye simkumbuki vizuri...
Viongozi wa dini za Kiislam pamoja na Kikristo TANZANIA wanatia aibu kwa kukaa kimya bila kukemea jinsi serikali ilivyo wasahau wananchi NA maskendo yanayohusiana na RUSHWA yalivyokithiri
Na...
Habari zenu waungwana.....
Order Out of Chaos (au Ordo ab Chao ) kama ilivyosemwa kwa Kilatini, ni moja ya kauli maarufu na Kauli hii ina maana kwamba mgogoro au machafuko yanaweza kutumika kama...
Tumesikia na kushuhudia aina mbalimbali za Serikali duniani. Ikitia ndani tawara za Kifalume, Kidikteta, Kijeshi na hata Demokrasia.
Katika historia hakuna zama zilizotawara kwa muda mrefu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.