Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,645
Unaposoma sayansi ya utambuzi wa mwili tunaambiwa kuwa mwili unauwezo wa kujikinga na mashambulizi ya kiufahamu na usidhuriwe na nguvu yoyote toka nje ishu ya laana imekuwa na tafiti nyingi zenye majibu tofauti yaliyoacha maswali mengi, baadhi ya maswali hayo ni kama haya,
1.je mwili unaweza kujidhuru?
2. Je kuna nguvu gani kati ya mtoa laana na mlaaniwa?
3.je ukilaaniwa kwa jambo la uongo laana yaweza shika?
4. Je mtu baki anaweza kukulaani na ukalaanika?
5. Je jambo la haki linalaanika?
6. Je kuna nguvu gani katika maneno yatolewayo na mtoa laana?
Maswali ni mengi lakini tunaweza kujadili hayo machache kwanza.
1.je mwili unaweza kujidhuru?
2. Je kuna nguvu gani kati ya mtoa laana na mlaaniwa?
3.je ukilaaniwa kwa jambo la uongo laana yaweza shika?
4. Je mtu baki anaweza kukulaani na ukalaanika?
5. Je jambo la haki linalaanika?
6. Je kuna nguvu gani katika maneno yatolewayo na mtoa laana?
Maswali ni mengi lakini tunaweza kujadili hayo machache kwanza.