Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,512
- 40,609
Katika kusoma soma kwangu kwenye hiki kitabu 'biblia' nikakutana na maneno haya ''Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake, kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
Sasa najiuliza, hawa wote wanaomiliki fahari za dunia, wameamua kumsujudia shetani, na shetani naye akawapa utajiri?
Je, shetani ana mamlaka gani ya kumiliki mali zote za dunia?
Sasa najiuliza, hawa wote wanaomiliki fahari za dunia, wameamua kumsujudia shetani, na shetani naye akawapa utajiri?
Je, shetani ana mamlaka gani ya kumiliki mali zote za dunia?