Kwanini Wanaoamini Uwepo wa Mungu, Hukosoa Hoja na Mawazo ya Atheist?

Infropreneur

JF-Expert Member
Aug 15, 2022
5,250
10,747
Habari ndugu wana jamii forums.

Kwa muda mrefu sana watu wasio amini uwepo wa Mungu "Atheist" wamekuwa wakipingwa, kukosolewa na kuonekana kama watu wa ajabu kutokana na mitazamo yao tofauti kuhusu swala la uwepo wa Mungu.

Jamii ya watu wanao amini Uwepo wa Mungu na waamini wa dini mbalimbali wamekuwa wakipinga Hoja za "Atheist" kwa nguvu kubwa na kukataa kabisa kukubali Hoja na mawazo ya Atheist na Huona na huchukulia Hoja za "Atheism" kama ni za kipuuzi na zisizo faa wala kuwa na mantiki, kutokana na Mitazamo yao ya Kidini na kiimani.

Dhana ya "Uwepo wa Mungu" ama "kutokuwepo kwa Mungu" vyote ni HISIA NA MAWAZO YA KIBINADAMU.Wapo wanadamu waliwaza na wanahisi Mungu yupo na hawana ushahidi wala uthibitisho kamili wa kuonekana kwa macho kuthibitisha uwepo wa Mungu, ila wana Hisia na Imani tu iliyo kwenye maandiko wanayodai ni maandiko ya huyo Mungu, Maandiko ambayo pia hayana ukweli wala uthibitisho wowote.Maandiko ya kiimani (vitabu vya kidini) vinatumika na "waamini Mungu yupo" kwamba ndio Kielelezo na Hoja tosha na thabiti za kudhihirisha na kuelezea uwepo wa Mungu na Maandiko haya haya ya kiimani (Kidini) hutumiwa na waamini Mungu yupo kukosoa na kupinga Hoja za "Atheist" wanapo jaribu na wao kutoa hoja zao kuhusu kutokuwepo Mungu.

Wanao amini "Mungu Yupo" hutumia Vitu na maswali yaliyo washinda kupata majibu kwa kufikiri, kuwaza ama kwa kuvifanya wao, kama kigezo cha kudai "uwepo wa Mungu"na Hubakia kusema kwamba chanzo na majibu ya vitu hivi ni MUNGU bila kuwa na uhakika, ushahidi wala uthibitisho wa wakisemacho.

Mfano, Baada ya watu kushindwa kupata majibu ya Nani aliumba Dunia na vilivyomo ndani yake kama:Jua, Nyota, Mwezi,Bahari,Mito,Maziwa, Wanyama, Mimea, Ardhi,Anga,n.k pia maswali kama kwa nini tulizaliwa na tunakufa? Kwa nini tusi ishi milele? Watu hawa sasa, Wakaja na kuunda dhana kwamba Mungu ndiye chanzo cha haya yote lakini hawana uthibitisho wala ushahidi wa dhana hii, Wanabaki wanahisi tu Mungu ndiye chanzo cha uumbaji..Pia kwa vile ni Hisia, imani na mawazo tu ya kibinadamu Hakuna ULAZIMA wa Dunia na Vilivyomo ndani yake kuwa viliumbwa na Mungu kwa sababu hamna aliye na uthibitisho kila mtu ana hisi tu jinsi aonavyo yeye.. pengine kuna kitu kingine tofauti na Mungu ndio kilifanya Dunia iwepo.

Akili ya kila mwanadamu huwaza chochote ikipendacho na ipo huru kufanya hivyo..Anayewaza "Mungu yupo" Asimkosoe anaye waza "Mungu hayupo" maana wote wanawaza tu, Na wote wapo huru kimawazo na hamna aliye na mamlaka ya kukosoa mawazo ya mwenzake, ....."Atheist" pia wana mawazo na hoja zao za kupinga "Kutokuwepo kwa Mungu" na wapo huru kufanya hivyo maana wao pia wana Hisia za "Kutokuwepo Mungu"

Hivyo basi kama Huna uthibitisho,na ushahidi wa Uwepo wa Mungu USIJE kuona na kudhani hisia zako ndio sahihi kuliko za mwingine asiye amini Uwepo wa Mungu.

Usihalalishe Imani, Dini,Hisia, mawazo na mtazamo wako wa "Uwepo wa Mungu" kuwa mawazo ya kila mtu na jamii nzima kwa kigezo cha mafundisho uliyofunzwa au Hofu zako tu,na kuona Imani, hisia, mawazo na mtazamo wa "Kutokuwepo Mungu" kwa upande wa Atheist kuwa sio sahihi maana utakuwa unajaribu kulazimisha Akili na ubongo wa mtu kufuata jinsi Akili yako inavyo waza.Lazima utambue kwamba kila mtu yupo huru kufikiri na mawazo ya binadamu yanatofautiana hivyo kupinga hoja za Atheist kwa kigezo cha Imani au Dini yako ilivyo kufunza ni upofu wa fikra na uelewa mdogo wa kiakili.

Hitimisho, Ukisema "Mungu yupo" kwa vile unahisi tu, Au una amini hivyo kulingana na ulivyo aminishwa, Hiyo inabaki imani na mtazamo wako visivyo na ushahidi wala uthibitisho wowote bali ni imani na Hisia zako tu,..Vivyo hivyo usije kukosoa mawazo, mitazamo na Hisia za Atheist za "kutokuwepo Mungu" kwa hofu zako tu bila kuwa na uthibitisho kamili maana wote "Wanao amini Mungu yupo" na "Wasio amini Mungu Yupo",Tunawaza tu na kukisia mawazo yetu, bila kuwa na uthibitisho nayo.

Hivyo hisia,imani na mawazo ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani hayawezi kuthibitishwa na kuhalalishwa kama mawazo ya jamii nzima.. Atheist wapo sahihi, Na wanao amini Mungu Yupo pia wapo sahihi kila mtu kulingana na jinsi aonavyo yeye.. KILA MTU YUPO HURU KUFIKIRI...!!

BE A FREE THINKER...
 
Habari ndugu wana jamii forums.

Kwa muda mrefu sana watu wasio amini uwepo wa Mungu "Atheist" wamekuwa wakipingwa, kukosolewa na kuonekana kama watu wa ajabu kutokana na mitazamo yao tofauti kuhusu swala la uwepo wa Mungu.

Jamii ya watu wanao amini Uwepo wa Mungu na waamini wa dini mbalimbali wamekuwa wakipinga Hoja za "Atheist" kwa nguvu kubwa na kukataa kabisa kukubali Hoja na mawazo ya Atheist na Huona na huchukulia Hoja za "Atheism" kama ni za kipuuzi na zisizo faa wala kuwa na mantiki, kutokana na Mitazamo yao ya Kidini na kiimani.

Dhana ya "Uwepo wa Mungu" ama "kutokuwepo kwa Mungu" vyote ni HISIA NA MAWAZO YA KIBINADAMU.Wapo wanadamu waliwaza na wanahisi Mungu yupo na hawana ushahidi wala uthibitisho kamili wa kuonekana kwa macho kuthibitisha uwepo wa Mungu, ila wana Hisia na Imani tu iliyo kwenye maandiko wanayodai ni maandiko ya huyo Mungu, Maandiko ambayo pia hayana ukweli wala uthibitisho wowote.Maandiko ya kiimani (vitabu vya kidini) vinatumika na "waamini Mungu yupo" kwamba ndio Kielelezo na Hoja tosha na thabiti za kudhihirisha na kuelezea uwepo wa Mungu na Maandiko haya haya ya kiimani (Kidini) hutumiwa na waamini Mungu yupo kukosoa na kupinga Hoja za "Atheist" wanapo jaribu na wao kutoa hoja zao kuhusu kutokuwepo Mungu.

Wanao amini "Mungu Yupo" hutumia Vitu na maswali yaliyo washinda kupata majibu kwa kufikiri, kuwaza ama kwa kuvifanya wao, kama kigezo cha kudai "uwepo wa Mungu"na Hubakia kusema kwamba chanzo na majibu ya vitu hivi ni MUNGU bila kuwa na uhakika, ushahidi wala uthibitisho wa wakisemacho.

Mfano, Baada ya watu kushindwa kupata majibu ya Nani aliumba Dunia na vilivyomo ndani yake kama:Jua, Nyota, Mwezi,Bahari,Mito,Maziwa, Wanyama, Mimea, Ardhi,Anga,n.k pia maswali kama kwa nini tulizaliwa na tunakufa? Kwa nini tusi ishi milele? Watu hawa sasa, Wakaja na kuunda dhana kwamba Mungu ndiye chanzo cha haya yote lakini hawana uthibitisho wala ushahidi wa dhana hii, Wanabaki wanahisi tu Mungu ndiye chanzo cha uumbaji..Pia kwa vile ni Hisia, imani na mawazo tu ya kibinadamu Hakuna ULAZIMA wa Dunia na Vilivyomo ndani yake kuwa viliumbwa na Mungu kwa sababu hamna aliye na uthibitisho kila mtu ana hisi tu jinsi aonavyo yeye.. pengine kuna kitu kingine tofauti na Mungu ndio kilifanya Dunia iwepo.

Akili ya kila mwanadamu huwaza chochote ikipendacho na ipo huru kufanya hivyo..Anayewaza "Mungu yupo" Asimkosoe anaye waza "Mungu hayupo" maana wote wanawaza tu, Na wote wapo huru kimawazo na hamna aliye na mamlaka ya kukosoa mawazo ya mwenzake, ....."Atheist" pia wana mawazo na hoja zao za kupinga "Kutokuwepo kwa Mungu" na wapo huru kufanya hivyo maana wao pia wana Hisia za "Kutokuwepo Mungu"

Hivyo basi kama Huna uthibitisho,na ushahidi wa Uwepo wa Mungu USIJE kuona na kudhani hisia zako ndio sahihi kuliko za mwingine asiye amini Uwepo wa Mungu.

Usihalalishe Imani, Dini,Hisia, mawazo na mtazamo wako wa "Uwepo wa Mungu" kuwa mawazo ya kila mtu na jamii nzima kwa kigezo cha mafundisho uliyofunzwa au Hofu zako tu,na kuona Imani, hisia, mawazo na mtazamo wa "Kutokuwepo Mungu" kwa upande wa Atheist kuwa sio sahihi maana utakuwa unajaribu kulazimisha Akili na ubongo wa mtu kufuata jinsi Akili yako inavyo waza.Lazima utambue kwamba kila mtu yupo huru kufikiri na mawazo ya binadamu yanatofautiana hivyo kupinga hoja za Atheist kwa kigezo cha Imani au Dini yako ilivyo kufunza ni upofu wa fikra na uelewa mdogo wa kiakili.

Hitimisho, Ukisema "Mungu yupo" kwa vile unahisi tu, Au una amini hivyo kulingana na ulivyo aminishwa, Hiyo inabaki imani na mtazamo wako visivyo na ushahidi wala uthibitisho wowote bali ni imani na Hisia zako tu,..Vivyo hivyo usije kukosoa mawazo, mitazamo na Hisia za Atheist za "kutokuwepo Mungu" kwa hofu zako tu bila kuwa na uthibitisho kamili maana wote "Wanao amini Mungu yupo" na "Wasio amini Mungu Yupo",Tunawaza tu na kukisia mawazo yetu, bila kuwa na uthibitisho nayo.

Hivyo hisia,imani na mawazo ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani hayawezi kuthibitishwa na kuhalalishwa kama mawazo ya jamii nzima.. Atheist wapo sahihi, Na wanao amini Mungu Yupo pia wapo sahihi kila mtu kulingana na jinsi aonavyo yeye.. KILA MTU YUPO HURU KUFIKIRI...!!

BE A FREE THINKER...
Hivyo hisia,imani na mawazo ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani hayawezi kuthibitishwa na kuhalalishwa kama mawazo ya jamii nzima.. Atheist wapo sahihi, Na wanao amini Mungu Yupo pia wapo sahihi kila mtu kulingana na jinsi aonavyo yeye.. KILA MTU YUPO HURU KUFIKIRI...!!
 
Habari ndugu wana jamii forums.

Kwa muda mrefu sana watu wasio amini uwepo wa Mungu "Atheist" wamekuwa wakipingwa, kukosolewa na kuonekana kama watu wa ajabu kutokana na mitazamo yao tofauti kuhusu swala la uwepo wa Mungu.

Jamii ya watu wanao amini Uwepo wa Mungu na waamini wa dini mbalimbali wamekuwa wakipinga Hoja za "Atheist" kwa nguvu kubwa na kukataa kabisa kukubali Hoja na mawazo ya Atheist na Huona na huchukulia Hoja za "Atheism" kama ni za kipuuzi na zisizo faa wala kuwa na mantiki, kutokana na Mitazamo yao ya Kidini na kiimani.

Dhana ya "Uwepo wa Mungu" ama "kutokuwepo kwa Mungu" vyote ni HISIA NA MAWAZO YA KIBINADAMU.Wapo wanadamu waliwaza na wanahisi Mungu yupo na hawana ushahidi wala uthibitisho kamili wa kuonekana kwa macho kuthibitisha uwepo wa Mungu, ila wana Hisia na Imani tu iliyo kwenye maandiko wanayodai ni maandiko ya huyo Mungu, Maandiko ambayo pia hayana ukweli wala uthibitisho wowote.Maandiko ya kiimani (vitabu vya kidini) vinatumika na "waamini Mungu yupo" kwamba ndio Kielelezo na Hoja tosha na thabiti za kudhihirisha na kuelezea uwepo wa Mungu na Maandiko haya haya ya kiimani (Kidini) hutumiwa na waamini Mungu yupo kukosoa na kupinga Hoja za "Atheist" wanapo jaribu na wao kutoa hoja zao kuhusu kutokuwepo Mungu.

Wanao amini "Mungu Yupo" hutumia Vitu na maswali yaliyo washinda kupata majibu kwa kufikiri, kuwaza ama kwa kuvifanya wao, kama kigezo cha kudai "uwepo wa Mungu"na Hubakia kusema kwamba chanzo na majibu ya vitu hivi ni MUNGU bila kuwa na uhakika, ushahidi wala uthibitisho wa wakisemacho.

Mfano, Baada ya watu kushindwa kupata majibu ya Nani aliumba Dunia na vilivyomo ndani yake kama:Jua, Nyota, Mwezi,Bahari,Mito,Maziwa, Wanyama, Mimea, Ardhi,Anga,n.k pia maswali kama kwa nini tulizaliwa na tunakufa? Kwa nini tusi ishi milele? Watu hawa sasa, Wakaja na kuunda dhana kwamba Mungu ndiye chanzo cha haya yote lakini hawana uthibitisho wala ushahidi wa dhana hii, Wanabaki wanahisi tu Mungu ndiye chanzo cha uumbaji..Pia kwa vile ni Hisia, imani na mawazo tu ya kibinadamu Hakuna ULAZIMA wa Dunia na Vilivyomo ndani yake kuwa viliumbwa na Mungu kwa sababu hamna aliye na uthibitisho kila mtu ana hisi tu jinsi aonavyo yeye.. pengine kuna kitu kingine tofauti na Mungu ndio kilifanya Dunia iwepo.

Akili ya kila mwanadamu huwaza chochote ikipendacho na ipo huru kufanya hivyo..Anayewaza "Mungu yupo" Asimkosoe anaye waza "Mungu hayupo" maana wote wanawaza tu, Na wote wapo huru kimawazo na hamna aliye na mamlaka ya kukosoa mawazo ya mwenzake, ....."Atheist" pia wana mawazo na hoja zao za kupinga "Kutokuwepo kwa Mungu" na wapo huru kufanya hivyo maana wao pia wana Hisia za "Kutokuwepo Mungu"

Hivyo basi kama Huna uthibitisho,na ushahidi wa Uwepo wa Mungu USIJE kuona na kudhani hisia zako ndio sahihi kuliko za mwingine asiye amini Uwepo wa Mungu.

Usihalalishe Imani, Dini,Hisia, mawazo na mtazamo wako wa "Uwepo wa Mungu" kuwa mawazo ya kila mtu na jamii nzima kwa kigezo cha mafundisho uliyofunzwa au Hofu zako tu,na kuona Imani, hisia, mawazo na mtazamo wa "Kutokuwepo Mungu" kwa upande wa Atheist kuwa sio sahihi maana utakuwa unajaribu kulazimisha Akili na ubongo wa mtu kufuata jinsi Akili yako inavyo waza.Lazima utambue kwamba kila mtu yupo huru kufikiri na mawazo ya binadamu yanatofautiana hivyo kupinga hoja za Atheist kwa kigezo cha Imani au Dini yako ilivyo kufunza ni upofu wa fikra na uelewa mdogo wa kiakili.

Hitimisho, Ukisema "Mungu yupo" kwa vile unahisi tu, Au una amini hivyo kulingana na ulivyo aminishwa, Hiyo inabaki imani na mtazamo wako visivyo na ushahidi wala uthibitisho wowote bali ni imani na Hisia zako tu,..Vivyo hivyo usije kukosoa mawazo, mitazamo na Hisia za Atheist za "kutokuwepo Mungu" kwa hofu zako tu bila kuwa na uthibitisho kamili maana wote "Wanao amini Mungu yupo" na "Wasio amini Mungu Yupo",Tunawaza tu na kukisia mawazo yetu, bila kuwa na uthibitisho nayo.

Hivyo hisia,imani na mawazo ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani hayawezi kuthibitishwa na kuhalalishwa kama mawazo ya jamii nzima.. Atheist wapo sahihi, Na wanao amini Mungu Yupo pia wapo sahihi kila mtu kulingana na jinsi aonavyo yeye.. KILA MTU YUPO HURU KUFIKIRI...!!

BE A FREE THINKER...
Kuna chakula kizuri chenye kuvutia kinachojipika chenyewe?

Ndivyo ilivyo kwa uumbaje wake na uzuri wake havijaja vyenyewe vimeumbwa na Mungu. Na hicho ndicho tunao amini kuna Mungu tunawapinga atheist.

Hakuna kitu kinachojiumba chenyewe, lazima kuwe na creating power behind it. Na tusiseme mambo ya blackholes na maneno mengine ya kisayansi sababu dunia ni moja ya uzuri huu kwenye galaxies.
 
Kuna chakula kizuri chenye kuvutia kinachojipika chenyewe?

Ndivyo ilivyo kwa uumbaje wake na uzuri wake havijaja vyenyewe vimeumbwa na Mungu. Na hicho ndicho tunao amini kuna Mungu tunawapinga atheist.

Hakuna kitu kinachojiumba chenyewe, lazima kuwe na creating power behind it. Na tusiseme mambo ya blackholes na maneno mengine ya kisayansi sababu dunia ni moja ya uzuri huu kwenye galaxies.
The home of great thinkers, sumsung, Apple, Nokia, Toyota, Bmw, all of these vina mwanzo na wagunduzi wake, chanzo cha upepo ni pressure mbalimbali chanzo cha prssure ni nini? Chanzo cha bahari, mto na ziwa? Chanzo cha sayari na nyota?, Utaniambia ni nature???? Chanzo cha nature??
 
The home of great thinkers, sumsung, Apple, Nokia, Toyota, Bmw, all of these vina mwanzo na wagunduzi wake, chanzo cha upepo ni pressure mbalimbali chanzo cha prssure ni nini? Chanzo cha bahari, mto na ziwa? Chanzo cha sayari na nyota?, Utaniambia ni nature???? Chanzo cha nature??
God is creative na tumeumbwa kwa mfano wake. Ukisoma kitabu cha mwanzo kinaelezea.


Vyote hivyo tulivyotengeneza wanadamu ni sababu tuna utashi wa kufikiri, kubuni na kuumba. Na uwezo wetu mpaka sasa umefikia kwenye kutatua matatizo yetu lakini sio kuongeza siku za kuishi wala kumfanya mtu aishi milele.

Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo wanadamu anaongezeka maarifa. Wanadamu wa sasa hawana tofauti wa watu wa babilon waliojenga mnara kumfwata muumba wao.
 
God is creative na tumeumbwa kwa mfano wake. Ukisoma kitabu cha mwanzo kinaelezea.


Vyote hivyo tulivyotengeneza wanadamu ni sababu tuna utashi wa kufikiri, kubuni na kuumba. Na uwezo wetu mpaka sasa umefikia kwenye kutatua matatizo yetu lakini sio kuongeza siku za kuishi wala kumfanya mtu aishi milele.

Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo wanadamu anaongezeka maarifa. Wanadamu wa sasa hawana tofauti wa watu wa babilon waliojenga mnara kumfwata muumba wao.
Na wewe unaamini upuuzi Kama huo kwamba watu walijenga mnara Waka maribia muumba wao?
 
Kuna chakula kizuri chenye kuvutia kinachojipika chenyewe?

Ndivyo ilivyo kwa uumbaje wake na uzuri wake havijaja vyenyewe vimeumbwa na Mungu. Na hicho ndicho tunao amini kuna Mungu tunawapinga atheist.

Hakuna kitu kinachojiumba chenyewe, lazima kuwe na creating power behind it. Na tusiseme mambo ya blackholes na maneno mengine ya kisayansi sababu dunia ni moja ya uzuri huu kwenye galaxies.
Una uhakika wewe umeumbwa Tuanzie hapo kwanza?
 
Una uhakika wewe umeumbwa Tuanzie hapo kwanza?
Fikiri zako umeziacha wapi mpaka kuuliza swali lisilo na mashiko.

-Wewe, mimi pamoja na watu wote Billion 8.1 duniani tumeumbwa ndio maana hatuna control juu ya kifo. Kama umejiumba au kutokea tu, mpaka sasa ungeweza kujiongezea siku za kuishi.

-Swali kwako na kwa wote; Je Chakula kizuri chenye kupendeza macho kinaweza kujipika chenyewe au ni lazima kuwe na mpishi wa kukiandaa??
 
The home of great thinkers, sumsung, Apple, Nokia, Toyota, Bmw, all of these vina mwanzo na wagunduzi wake, chanzo cha upepo ni pressure mbalimbali chanzo cha prssure ni nini? Chanzo cha bahari, mto na ziwa? Chanzo cha sayari na nyota?, Utaniambia ni nature???? Chanzo cha nature??
Hao wote wamesha kufa pamoja na kuvimbisha vichwa kusema hakuna the Greater One ila bado kifo ambacho hakijilikani kinatokea mlango upi kiliwabeba.

-Bisheni hata mkiweza kuvimba. Jambo usiloweza kulimudu huwezi kushindana nalo hivyo hivyo kwa Muumba wetu, we have no control over Him ndio maana kuna vitu kama mwanadamu viko beyond your imagination and thinking capacity.

- NASA have recently acknowledged there is a Supreme power that has made the galaxies in the beauty as they seem to be. In the space everything is aligned in perfect form and order.

-
 
Fikiri zako umeziacha wapi mpaka kuuliza swali lisilo na mashiko.

-Wewe, mimi pamoja na watu wote Billion 8.1 duniani tumeumbwa ndio maana hatuna control juu ya kifo. Kama umejiumba au kutokea tu, mpaka sasa ungeweza kujiongezea siku za kuishi.

-Swali kwako na kwa wote; Je Chakula kizuri chenye kupendeza macho kinaweza kujipika chenyewe au ni lazima kuwe na mpishi wa kukiandaa??
Cha ajabu ni kwamba kuna vyakula ambavyo havina mpishi na vinalika sio kila chakula ukadhani kinapikwa...

Inafikirisha mtu kuniambia kaumbwa wakati tukimuuliza mama yake atatuambia kwamba kwa hakika yeye amemzaa na atahadithia jinsi alivyomzaa na jinsi alivyokuwa mpaka kufikia hapo...
Ni ajabu mtu kukana hicho chote na kuniambia swala zima kwamba ....

DINI NI LAZIMA UJITOE UFHAMU ILI UPINGE VYOTE AMBAVYO UNAHISI VITAENDA KINYUME NA UKWELI ILI KUFANYA IMANI YAKO ULIYOJIWEKEA KWENYE MAWAZO IWE YA UKWELI...
AU KWA NAMNA NYINGINE...

DINI NI SAWA NA KUTAFUTA SARAFU (AMBAYO KIUHALISIA HAIPO) KWENYE CHUMBA, CHENYE GIZA BILA KUWA NA TAA NA WAKATI HUO HUO KURUKARUKA NA KUSEMA UMEIONA SARAFU KWENYE GIZA BILA TAA NA ISIYOKUWEPO...
HALELUYAAA.....TAKBIR
 
Hao wote wamesha kufa pamoja na kuvimbisha vichwa kusema hakuna the Greater One ila bado kifo ambacho hakijilikani kinatokea mlango upi kiliwabeba.

-Bisheni hata mkiweza kuvimba. Jambo usiloweza kulimudu huwezi kushindana nalo hivyo hivyo kwa Muumba wetu, we have no control over Him ndio maana kuna vitu kama mwanadamu viko beyond your imagination and thinking capacity.

- NASA have recently acknowledged there is a Supreme power that has made the galaxies in the beauty as they seem to be. In the space everything is aligned in perfect form and order.

-
Kwani ukiamini Mungu haufii,

Kufa ni Hali ya kiasili ya kimaumbile,
So kuogopa kufa, kusikufanye kuambiwa ukifa utaenda mbinguni mara pepo ya Mito na asali ,ili wakusanye maokoto, na wakupe propaganda zao.

Kwa mfano huyo wa Mito ya maziwa na asali, kama angekuwa Tz , akaona Mito huko Moro inatiririsha Maji mwaka mzima , angebadili story .

Na huyo aliyesema watakwenda mbinguni akijua kwamba binadamu hatoweza Toka nje ya dunia, lakin SS ivi watu wanaenda mbinguni na kurudi.

Mungu Gani hajui vitu vyake alivyoumba
 
Back
Top Bottom