Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Mpaka mwaka 2017 huu au karne ya 21 waafrika tunahangaika na mambo madogo sana ambayo wazungu walihangaika nayo miaka kenda na kenda huko nyuma. waafrika tunapigania haki ya kutambulika duniani. huu tayari ni udhaifu. ukiona mwanamume anataka atambulike kwa mkewe au watoto wake kuwa yeye ndo baba au naye ni baba basi ujue kuna shida. tumebaki na kuhangaika na vitu vya kipuuzi.leo mtu anahangaika ku prove kuwa Waisrael asilia ni weusi. so what? mpaka mtu analazimisha au hangaika kusema Yesu Kristo alikuwa mweusi. ok alikuwa so what?
wazungu au watu weupe ndo wamevumbua.
awepo mpingaji hapa atuoneshe yale ambayo tunaweza yasimamia hasa hasa sisi. kuna mtu atakuja hapa na kuanza kulaani na kutukana wazungu hawa makafiri n.k huku anatumia simu,kompyuta, magari yao,nguo walizoshona wao,viatu vyao,miwani waliyogundua wao,saa,feni,ac,umeme walivyogundua wao. ndo unagundua NI UNAFIKI TU WA MWAFRIKA na Baadhi ya Makabila ya KIASIA.

tuwapinge wazungu kweli kweli kwa kubuni vitu vyetu wenyewe na tuavhe kutumia vyao.wana nguvu sababu wao wana akili kutuzidi. wakati sisi tunafikiria zaidi kuoa na kuoana au kuazaana wao wanafikiria namna gan watabadilisha maisha ya wanadamu. hata asilimia 80 kama si 100 ya michezo maarufu duniani asili yake ni huko. au wao wameendelea nayo zaidi kuliko sisi.

waafrika hatuna akili sana kama wazungu au tuna tatizo sehemu flan. angalia chaguz zetu,angalia serikali zetu,angalia vipaumbele vyetu, angalia maisha yetu, angalia tuavyoishi kwa kuwasingizia wazungu kila kitu.

ile wao kuja kututawala tu tayari maana yake sisi hatuna akili wao wanazo nyingi imagine walikuja wangapi wakatutawala sisi wenyeji wengi kwa kuweka mifumo mbalimbali? ukisema wanatugombanisha basi ujue pia ni sababu wao wana akili kuliko sisi wapumbavu tunaogombana wenyewe kwa wenyewe. najiuliza waafrika tuna tatizo gani?

nimewaza mambo haya kwa uchungu sana na nikaja pata jibu moja tu kuwa wazungu wao wana akili zaidi kuliko sisi. miaka 50 baada ya kujitawala bado tuna mambo mengi ambayo tuna tegemea kutoka kwao au waliyotuachia miaka hiyo mingi. na bado kuna mtu anakuja kuning'iniza korodani zake tu mwili hapa anasema wafrika waafrika ukimuuliza tunafanyaje kujitoa kwenye utegemezi... hana namna isipokuwa ni kudai haki ya mtu mweusi. HAKI HAIDAWI, INAKUWEPO TU. kama ukiona unadai utambulike basi ujue we hutambuliki. leo hii magufuli au lowassa akienda sehemu na kutaka watu wamjue yeye ndo lowassa au magufuli ujue kuna shida sehemu. inatakiwa tu akienda sehemu watu wamfaham.

HIVI UNAWEZAJE KUPINGA AKILI ZA WAZUNGU IKIWA HUWEZI ISHI MAISHA YA FURAHA BILA KUTUMIA VITU VYENYE UBUNIFU WAO? TUANGALIE TU MAMBO HAYA.
1. Simu
2. laptop
3. ndege
4. magari
5. tv
6. mashine za kusaga
7. mashine za ku blend chakula
8. friji
9. ac
10. feni
11. nguo tunazovaa
12. usindikaji wa vyakula
13. madini
14. mafuta
15. umeme
16. mfumo wa maji
17. elimu
18. meli/boat
20. ujenzi wa maghorofa makubwa
21. madaraja
22. utunzaji wa vyakula
23. radio
24. matumizi ya lami
25. train
26. bunduki
27. mabomu/mizinga
28.

na mambo mengne meeeeengi sana.

yaani unakaa hapo asilimia 90 ya hivi vitu ni made by wao... sisi vingine hata ku copy kama wao tunavyodai walicopy kwetu tumeshindwa. how can we be sitting here and telling ourselves that we are smart? when everytime i look around i see things made by the europeans and asians. sisi tunaloweza sana ni kuua albino ili watusaidie tupate utajiri wa kwenda kununua vitu vya kizungu. tunaua albino ili tushinde kwenye uchaguzi, tunaua albino ili tupendwe na wananchi tufaidike kisiasa. haya ndo tunayoyafanya. we are so hopeless. tunajitahidi kujitetea but tumeshindwa. ananmbie mtu anayetumia asilimia 70 ya vitu vyake ambavyo ni ubunifu wa waafrika na kutengenezwa africa. hata kama wenzetu wamewah kupitia tuliyoyapitia kama ukoloni, shida n.k lakini wao waliweza kutoka hapo na kusonga mbele kwa nini sis bado tuishi kwenye kile kivuli ?
 
Sio kwamba waafrika hatukuwa na uvumbuzi wetu mkuu.Ila historia iliharibika baada ya kuja mzungu na muarabu.
Ila nakiri kabisa kuwa jamaa walianza kutuacha MBALI MNO toka miaka ya nyuma.Ndio maana wakaweza kuja hadi huku na kututawala hala wakiwa wachache sisi wengi.Mwenye akili na atambue hili....
 
Hata wazungu wamehangaika sana, usidhanie kuwa maendeleo waliyonayo yametokea usiku mmoja.

Ni miaka maelfu nyingi sana wamepambana. Ila, wazungu wanahujumu mbinu na mikakati mingi sana ya waafrika kujikwamua.

Kwa hiyo, kama huna akili usidhanie kuwa na watu wote ni kama wewe.
 
Historia huwa inatupa nafas ya kukitetea ila bado tuna fail.wao mpaka kuja huku tayar walikuwa wameendelea. Ukiona tu ile hali tunatawaliwa na watu wachache tena kwetu ujue wametuzidi akili. Pia teknolojia walikuwa tayar wao wapo mbali.
Ok baada ukoloni kuisha tumeendeleaje?


Sio kwamba waafrika hatukuwa na uvumbuzi wetu mkuu.Ila historia iliharibika baada ya kuja mzungu na muarabu.
Ila nakiri kabisa kuwa jamaa walianza kutuacha MBALI MNO toka miaka ya nyuma.Ndio maana wakaweza kuja hadi huku na kututawala hala wakiwa wachache sisi wengi.Mwenye akili na atambue hili....
 
Bado kwa hiz point zako unaonesha wametuzid akili. Ukiweza kumhujumu adui yako tayar wewe una akili na adui ni mpumbavu

Hata wazungu wamehangaika sana, usidhanie kuwa maendeleo waliyonayo yametokea usiku mmoja.

Ni miaka maelfu nyingi sana wamepambana. Ila, wazungu wanahujumu mbinu na mikakati mingi sana ya waafrika kujikwamua.

Kwa hiyo, kama huna akili usidhanie kuwa na watu wote ni kama wewe.
 
Watu wengi huwa wanatokwa povu na hoja hawana.wanajidai na Historia Eti muafrika amegundua moto. Watu wanatechnology nzito nzito Kama Umeme, mota, computer,radio,satelite,nuclear na vingine kibao vinavyo hitaji akili kubwa kugundua Kama Watu wanauwezo tukubali Tuu.. Ila tujipange tuone tunarekebisha wapi tunaokoa wapi Watu Kama Kina Steve Jobs, mark Zuckerberg,jeff Bezos, Bill Gates, na wengine kibao wanatumia technology ku make more money. Tusimtafute nakutokwa povu prove them wrong tujue kumbe Hata bongo wapo. Hata Soka wanatubuluza.
 
umeongea kweli tumebaki na historia butu na kujifariji miaka yoooote hii. tumekuwa wategemezi na hatuna uwezo au akili kubwa. sasa tumebaki tu kulalamika na kugombea rangi katika mambo mbali mbali... mtu anakazana kusema waafrika tulikuwa na akili ndo tulijenga pyramids , waisrael walikuwa ni weusi n.k nikiuliza well, walikuwa weusi so what? au what happened? wakatuondoa wakaleta weupe? basi bado tunabaki wapuuzi au wajinga kama walikuja wakatukuta wakatuondoa then wakatawala wao sisi maana yake ni hopeless na weak kiakil na kimwili. so tukubali wenzetu wana akili zaidi yetu. ni ukweli mchungu. nimekaa tu nikawaza hii dunia ya leo bila mzungu sisi tungekuwa wapi? kila kona naona maendeleo yaliyoanzia kwa mzungu... kila sehemu. hawa wana harakati nao wanakumbwa na jambo hilo hilo wanapiga vita wazungu ila ukiwatazama asilimia 70 mpaka 90 amejaa uzungu tu. nguo alizovaam,simu,mafuta aliyopaka,perfume,saa,miwani,pen anayotumia,vitabu anavyosoma vimechapwa na karatasi ni zao la wazungu, anatumia gari lililovumbuliwa na mzungu...ukimwona unamwona ALICHO NACHO YEYE NI UNAFIKI TU. sisemi wazungu hawana madhaifu ila nasema jamaa wamezizidi akili races zote duniani.
na bahati mbaya sisi waafrika na waarabu ndo wa mwisho mwisho.yaani kutoka mkiani tukitoka sisi wanakuja waarabu then races nyingine.


Watu wengi huwa wanatokwa povu na hoja hawana.wanajidai na Historia Eti muafrika amegundua moto. Watu wanatechnology nzito nzito Kama Umeme, mota, computer,radio,satelite,nuclear na vingine kibao vinavyo hitaji akili kubwa kugundua Kama Watu wanauwezo tukubali Tuu.. Ila tujipange tuone tunarekebisha wapi tunaokoa wapi Watu Kama Kina Steve Jobs, mark Zuckerberg,jeff Bezos, Bill Gates, na wengine kibao wanatumia technology ku make more money. Tusimtafute nakutokwa povu prove them wrong tujue kumbe Hata bongo wapo. Hata Soka wanatubuluza.
 
Timbuktu is best known for its famous Djinguereber Mosque and prestigious Sankore University, both of which were established in the early 1300s under the reign of the Mali Empire, most famous ruler, Mansa Musa.


Be proud of your race. Maisha yalianza Afrika. Ndio, kuna nchi zimeendelea na kuna nchi ambazo ziko 'nyuma' na usichukulie simple kuwa ni sababu kuna upeo mdogo wa fikra kwenye bara la Afrika. Angalia jamii zilivyojipanga, Tanzania yenyewe ina kabila na lugha ngapi? Too many to count. Sasa angalia nchi za ulaya wana makabila? wana lugha labda 3 , 4 kwa nchi ikimaanisha they are able to communicate and create more ideas sababu kila mtu anaelewana. Si kila kitu wamevumbua wao. They started from somewhere and just continued with that concept and they have a history of stealing ( humans, ideas, cultures, etc.). Hii imetokea baada ya miaka na miaka, si juzi tu. Maelfu ya miaka. Hapo kati kati kuna vitu vilitokea kama ubaguzi wa watu weusi, hiyo ndio imetuumiza sana sisi Waafrika na kutufanya tuwe nyuma, lakini ukiangalia vitu tunavyofanikiwa kufanya hata kwenye mazingira magumu, watu wanatushangaa.

Ingekuwa kweli Mwafrika hana akili tungekuwa milele na milele hatuwezi kufanya jambo lolote sawa, lakini tupo kila kona ya dunia tukifanikiwa kwenye mambo ambayo kila mtu alisema hatutaweza. We are making progress and bettering ourselves, you just choose not to believe it. The world has not been kind to us, but we can go to our graves knowing we brought nothing but kindness to others. I hope to live and see a time when we can be kind to each other , us black people. Be proud of who you are.

If you believe you are inferior then you will be treated as such.

Tukianza kujipenda na kujithamini ndipo tutakapoona maendeleo zaidi.



Mpaka mwaka 2017 huu au karne ya 21 waafrika tunahangaika na mambo madogo sana ambayo wazungu walihangaika nayo miaka kenda na kenda huko nyuma. waafrika tunapigania haki ya kutambulika duniani. huu tayari ni udhaifu. ukiona mwanamume anataka atambulike kwa mkewe au watoto wake kuwa yeye ndo baba au naye ni baba basi ujue kuna shida. tumebaki na kuhangaika na vitu vya kipuuzi.leo mtu anahangaika ku prove kuwa Waisrael asilia ni weusi. so what? mpaka mtu analazimisha au hangaika kusema Yesu Kristo alikuwa mweusi. ok alikuwa so what?
wazungu au watu weupe ndo wamevumbua.
awepo mpingaji hapa atuoneshe yale ambayo tunaweza yasimamia hasa hasa sisi. kuna mtu atakuja hapa na kuanza kulaani na kutukana wazungu hawa makafiri n.k huku anatumia simu,kompyuta, magari yao,nguo walizoshona wao,viatu vyao,miwani waliyogundua wao,saa,feni,ac,umeme walivyogundua wao. ndo unagundua NI UNAFIKI TU WA MWAFRIKA na Baadhi ya Makabila ya KIASIA.

tuwapinge wazungu kweli kweli kwa kubuni vitu vyetu wenyewe na tuavhe kutumia vyao.wana nguvu sababu wao wana akili kutuzidi. wakati sisi tunafikiria zaidi kuoa na kuoana au kuazaana wao wanafikiria namna gan watabadilisha maisha ya wanadamu. hata asilimia 80 kama si 100 ya michezo maarufu duniani asili yake ni huko. au wao wameendelea nayo zaidi kuliko sisi.

waafrika hatuna akili sana kama wazungu au tuna tatizo sehemu flan. angalia chaguz zetu,angalia serikali zetu,angalia vipaumbele vyetu, angalia maisha yetu, angalia tuavyoishi kwa kuwasingizia wazungu kila kitu.

ile wao kuja kututawala tu tayari maana yake sisi hatuna akili wao wanazo nyingi imagine walikuja wangapi wakatutawala sisi wenyeji wengi kwa kuweka mifumo mbalimbali? ukisema wanatugombanisha basi ujue pia ni sababu wao wana akili kuliko sisi wapumbavu tunaogombana wenyewe kwa wenyewe. najiuliza waafrika tuna tatizo gani?

nimewaza mambo haya kwa uchungu sana na nikaja pata jibu moja tu kuwa wazungu wao wana akili zaidi kuliko sisi. miaka 50 baada ya kujitawala bado tuna mambo mengi ambayo tuna tegemea kutoka kwao au waliyotuachia miaka hiyo mingi. na bado kuna mtu anakuja kuning'iniza korodani zake tu mwili hapa anasema wafrika waafrika ukimuuliza tunafanyaje kujitoa kwenye utegemezi... hana namna isipokuwa ni kudai haki ya mtu mweusi. HAKI HAIDAWI, INAKUWEPO TU. kama ukiona unadai utambulike basi ujue we hutambuliki. leo hii magufuli au lowassa akienda sehemu na kutaka watu wamjue yeye ndo lowassa au magufuli ujue kuna shida sehemu. inatakiwa tu akienda sehemu watu wamfaham.
 
Mtu akija nyumbani kwako usiku umelala akaja akakuchinja wewe na familia yako kisha akachukua mji wako, ina maana wewe ni dhaifu au fala? Mwenye laana ni yupi?

Sidhani kama unafahamu historia ya waafrika na watu kutoka ulaya. Maisha ya mwafrika yalikuwa simple na yanaendana na mazingira yetu. We took from the earth what we needed from it. Our environment was sustainable. The earth provided food,we made clothes, and we had basic shelter.

Kumbuka maendeleo ya wazungu pia yanaleta matatizo mengi ambayo bado hakuna suluhisho lolote.
Nitatoa mifano:
Computers: electronic waste; slave conditions in mines in Africa for minerals to create electronics
Cell phone: cancer
Processed food from factories: cancer, obesity, heart disease
Air plane, trains, cars, most forms of transportation: pollution & global warming

These are just a few examples of issues we now have to deal with in the name of 'advancement'. I find it problematic that you measure your success as a human based on these things.

As for invention of music , white people didn't invent music, neither did they invent astrology or how to tell time, sports etc. Every culture has had its own method of doing their own thing since the beginning of time, but to some of you low-self esteem having people, "the white man's ice is colder".

Many Africans have an inferior sense of self, which explains they way some of our countries are being run.

I NEED BLACK MEN TO START LOVING THEMSELVES.






umeongea kweli tumebaki na historia butu na kujifariji miaka yoooote hii. tumekuwa wategemezi na hatuna uwezo au akili kubwa. sasa tumebaki tu kulalamika na kugombea rangi katika mambo mbali mbali... mtu anakazana kusema waafrika tulikuwa na akili ndo tulijenga pyramids , waisrael walikuwa ni weusi n.k nikiuliza well, walikuwa weusi so what? au what happened? wakatuondoa wakaleta weupe? basi bado tunabaki wapuuzi au wajinga kama walikuja wakatukuta wakatuondoa then wakatawala wao sisi maana yake ni hopeless na weak kiakil na kimwili. so tukubali wenzetu wana akili zaidi yetu. ni ukweli mchungu. nimekaa tu nikawaza hii dunia ya leo bila mzungu sisi tungekuwa wapi? kila kona naona maendeleo yaliyoanzia kwa mzungu... kila sehemu. hawa wana harakati nao wanakumbwa na jambo hilo hilo wanapiga vita wazungu ila ukiwatazama asilimia 70 mpaka 90 amejaa uzungu tu. nguo alizovaam,simu,mafuta aliyopaka,perfume,saa,miwani,pen anayotumia,vitabu anavyosoma vimechapwa na karatasi ni zao la wazungu, anatumia gari lililovumbuliwa na mzungu...ukimwona unamwona ALICHO NACHO YEYE NI UNAFIKI TU. sisemi wazungu hawana madhaifu ila nasema jamaa wamezizidi akili races zote duniani.
na bahati mbaya sisi waafrika na waarabu ndo wa mwisho mwisho.yaani kutoka mkiani tukitoka sisi wanakuja waarabu then races nyingine.
 
Hata wazungu wamehangaika sana, usidhanie kuwa maendeleo waliyonayo yametokea usiku mmoja.

Ni miaka maelfu nyingi sana wamepambana. Ila, wazungu wanahujumu mbinu na mikakati mingi sana ya waafrika kujikwamua.

Kwa hiyo, kama huna akili usidhanie kuwa na watu wote ni kama wewe.
DUUUUUUU!!! Sijui kama umemuelewa mleta mada rudia kusoma tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timbuktu is best known for its famous Djinguereber Mosque and prestigious Sankore University, both of which were established in the early 1300s under the reign of the Mali Empire, most famous ruler, Mansa Musa.


Be proud of your race. Maisha yalianza Afrika. Ndio, kuna nchi zimeendelea na kuna nchi ambazo ziko 'nyuma' na usichukulie simple kuwa ni sababu kuna upeo mdogo wa fikra kwenye bara la Afrika. Angalia jamii zilivyojipanga, Tanzania yenyewe ina kabila na lugha ngapi? Too many to count. Sasa angalia nchi za ulaya wana makabila? wana lugha labda 3 , 4 kwa nchi ikimaanisha they are able to communicate and create more ideas sababu kila mtu anaelewana. Si kila kitu wamevumbua wao. They started from somewhere and just continued with that concept and they have a history of stealing ( humans, ideas, cultures, etc.). Hii imetokea baada ya miaka na miaka, si juzi tu. Maelfu ya miaka. Hapo kati kati kuna vitu vilitokea kama ubaguzi wa watu weusi, hiyo ndio imetuumiza sana sisi Waafrika na kutufanya tuwe nyuma, lakini ukiangalia vitu tunavyofanikiwa kufanya hata kwenye mazingira magumu, watu wanatushangaa.

Ingekuwa kweli Mwafrika hana akili tungekuwa milele na milele hatuwezi kufanya jambo lolote sawa, lakini tupo kila kona ya dunia tukifanikiwa kwenye mambo ambayo kila mtu alisema hatutaweza. We are making progress and bettering ourselves, you just choose not to believe it. The world has not been kind to us, but we can go to our graves knowing we brought nothing but kindness to others. I hope to live and see a time when we can be kind to each other , us black people. Be proud of who you are.

If you believe you are inferior then you will be treated as such.

Tukianza kujipenda na kujithamini ndipo tutakapoona maendeleo zaidi.
historia yoyote ya afrika ukiweka msikiti au kanisa unakuwa umeshaharibu...huo ni ujinga mtupu
 
mfano wako hauendani na uhalisia. black men ni weak na ndo maana wazungu na waarabu wachache walikuja na wakatutawala, wakatupeleka utumwani. lakini kile kitendo tu ch wao kutka huko kuja huku kilionesha walikuwa wametutangulia sana tu. maisha ya mwafrika ya miaka ile bado hayakuwa sawa na ya mzungu miaka ile. alikuwa tayari ameshatangulia. umekaa nyumban kwako na mkeo na watoto wako anakuja mwanaume anakudanganya anaishi ndani mwako na baadaye anakuwa baba mwenye nyumba analala kitandani mwako n.k wewe unakuwa mfanyakazi. wewe ni fala haina excuse hiyo. jamaa anachosema ni kweli sisi waafrika tuna tatizo sehemu.
Mtu akija nyumbani kwako usiku umelala akaja akakuchinja wewe na familia yako kisha akachukua mji wako, ina maana wewe ni dhaifu au fala? Mwenye laana ni yupi?

Sidhani kama unafahamu historia ya waafrika na watu kutoka ulaya. Maisha ya mwafrika yalikuwa simple na yanaendana na mazingira yetu. We took from the earth what we needed from it. Our environment was sustainable. The earth provided food,we made clothes, and we had basic shelter.

Kumbuka maendeleo ya wazungu pia yanaleta matatizo mengi ambayo bado hakuna suluhisho lolote.
Nitatoa mifano:
Computers: electronic waste; slave conditions in mines in Africa for minerals to create electronics
Cell phone: cancer
Processed food from factories: cancer, obesity, heart disease
Air plane, trains, cars, most forms of transportation: pollution & global warming

These are just a few examples of issues we now have to deal with in the name of 'advancement'. I find it problematic that you measure your success as a human based on these things.

As for invention of music , white people didn't invent music, neither did they invent astrology or how to tell time, sports etc. Every culture has had its own method of doing their own thing since the beginning of time, but to some of you low-self esteem having people, "the white man's ice is colder".

Many Africans have an inferior sense of self, which explains they way some of our countries are being run.

I NEED BLACK MEN TO START LOVING THEMSELVES.
 
Back
Top Bottom