kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
Mkuu,
Ningependa kuchangia lakini nikiri kuwa mchango wangu unaweza kuwa too general kutokana na kutojua umri wa anayeuliza swali na kufikiri anakokuongelea, ukiniwekea rank ya miaka yako (say 20-35) ushauri nitakaoutoa utatofautiana na ule wa 36-50 na pia utatofautiana na wa 51-75 and even above.
Hivyo, kabla sijaenda mbali, waweza kunifungua macho namshauri mtu wa wastani gani wa umri? Kuna article niliwahi kuiweka hapa JF, kama ni kijana mdogo (below 20yrs) basi hii inaweza kukusaidia.
Mhhhh... Mkuu kama hii iliachwa: https://www.jamiiforums.com/busines...3-haki-miliki-ya-bidhaa-ya-condom-kwa-jf.htmlTembelea hii website ya bbc BBC - Science & Nature - Human Body and Mind - Memory Tester
Nimewai kutaka kuiweka hii post hapa ikakataliwa na waendesha jamvi
Nimekusoma mkuu, naandaa kwa 20-45 hapa... Ntaweka soon. Hiyo article nayo ntaweka link mwishoniMkuu Invisible kama hutajali wakati mtoa mada akiwa anajiandaa kukupa rank ya umri wake, naomba utoe ushauri kwetu tulio kwenye rank ya 20-35.. Pia naomba utupatie link uliyosema ya kijana wa below 20 labda itawasaidia pia wadogo zangu wa umri huo.
Shukrani
Mhhhh... Mkuu kama hii iliachwa: https://www.jamiiforums.com/busines...3-haki-miliki-ya-bidhaa-ya-condom-kwa-jf.html
Ije kuwa kitu kama hicho kiondolewe? Labda flash kama iligoma kucheza tu........
mhhhh... Mkuu kama hii iliachwa: https://www.jamiiforums.com/busines...3-haki-miliki-ya-bidhaa-ya-condom-kwa-jf.html
ije kuwa kitu kama hicho kiondolewe? Labda flash kama iligoma kucheza tu.
Nimekusoma mkuu, naandaa kwa 20-45 hapa... Ntaweka soon. Hiyo article nayo ntaweka link mwishoni
invisible mimi ni 37 na ni mwanamke,uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa mwanaume mwenye age yangu?halafu kwa nini wazungu uwezo wao uko juu sana,naongea hili kwa sababu nimefanya nao kazi na nimeona mwenyewe jinsi walivyo na uwezo mkubwa!!!!
kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
hebu amoeba kanusha hapo
Very true sijui anazungumzia wazungu gani hao?Au expatriates? hivi wewe unajua kuna wazungu bogus wa kupitiliza? Zaidi ya wapiga debe? Nadhani pia anatatizo la kujiamini mbele ya hao wazungu. Inabidi ajitahidi kubadili mentality.Mtu mwenye uwezo lau average wa kufikiria hawezi kutamka kuwa WAZUNGU WANA UWEZO ZAIDI WA KUFIKIRI! Au wewe unaona imekaaje hiyo?
kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
Mtu mwenye uwezo lau average wa kufikiria hawezi kutamka kuwa WAZUNGU WANA UWEZO ZAIDI WA KUFIKIRI! Au wewe unaona imekaaje hiyo?
kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help