Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Nitachangia kutokana na ufahamu wangu wa mambo hasa kutokana na hii dunia kuendeshwa kwa siri kubwa sana .. Kila mchoro hapo umewekwa kurepresent jambo flani kulingana na umuhimi wa mchoro au...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
  • Redirect
Ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za...
11 Reactions
Replies
Views
MHANGA WA KUJICHOMA MOTO HADI KUFA (SELF-IMMOLATION) Tangu kuzaliwa kwa dola za kisiasa, historia ya Ulimwengu imerekodi kumbukumbu chungutele za mbinu anuai ambazo wananchi wamezitumia...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa NASA kwa kutumia Telescope yao kubwa hadi sasa wamegundua kuna sayari zaidi ya Billioni 30 katika Milkway Galaxy yetu, pia hadi sasa wamegundua kuwa kuna Sayari Billioni Miamoja...
15 Reactions
111 Replies
16K Views
Huu ni ulimwengu wa kanuni, taratibu na sheria ambazo kufuatwa ni wajibu wa kila mtu ingawa zipo kanuni, taratibu na sheria nyingine zinaajabisha sana na ninazo hapa sheria 8 kwenye sehemu...
14 Reactions
38 Replies
13K Views
Wengi wamezoea kuiona picha yake kama alama ya ukombozi na mapinduzi ya kweli lakini ni wachache wanaomjua vizuri. Jina lake halisi anaitwa Ernesto ‘Che’ Guevara, alizaliwa Juni 14, 1928, Rosario...
44 Reactions
96 Replies
24K Views
Mwanzoni kabisa, dunia ilikuwa ikitumia kalenda ya mtawala wa Kiroma aliyeitwa Julius Caesar. Kalenda hiyo ilianzishwa mwaka 46 Kabla ya Kristo. Kalenda hiyo ilikuwa na siku 465 na masaa 6...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
*Akili haikui kwa umri, bali kwa taarifa na maarifa sahihi unayoingiza akilini kwa wakati sahihi* Lakini pia kuwa na maarifa mengi kichwani usiyofanyia kazi inakua haina tofauti na punda...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Nikiwa napitia topic kadhaa katika jukwaa hili nikakutana na topic moja inayohusu roho (soul) kwamba iko katika kiungo gani katika mwili wa binadamu akiuliza bwana Petro E. Mselewa . Katika kusoma...
17 Reactions
81 Replies
18K Views
Miradi ambayo kama nchi za Afrika zingeifanya ili kuondoa utegemezi wa nchi za Magharibi.: 1.Kama kungefanikishwa uanzishaji wa kampuni ya RASCOM 1992.Ambayo ingeendesha satelaiti ya pamoja na...
17 Reactions
44 Replies
6K Views
Wachawi mara nyingi hufanya kazi katika ulimwengu wa roho yaani ulimwengu ambao huwezi kuuona kwa macho ya kimwili. Kwahiyo ili kuuona ni lazma uwe na macho ya kichawi au macho ya kiroho,Wachawi...
12 Reactions
160 Replies
58K Views
Ni swali pengine wengi wetu tumekuwa tukijiuliza kama ilivyo kwetu sisi waafrika na waarabu Je,wazungu(Europeans) makabila yao ni yapi? Nini kilitokea kwa makabila hayo? Ukweli ni kwamba wazungu...
7 Reactions
4 Replies
4K Views
Ni kutoka katika Jitambue Sasa. Unaweza ukaziita Ni KANUNI AU SHERIA AU LAWS. Akili ya mwanadamu ni sehemu ambayo watafiti wengi wamekuwa wakihamasika kuielewa. Akili ni sehemu pana sana kwa...
23 Reactions
89 Replies
28K Views
Mnamo karne ya 18, Franz Joseph Gall, akiwa mwanafunzi alitazama vichwa vya wanafunzi wenzake na kuunza kuhusisha uhusiano uliopo baina ya baadhi ya tabia za akili pamoja na size na shape ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
We ve all heard of the US Air Force's high-security, super-secret base in Nevada, known simply as "Area 51?" Late one afternoon, the Air Force folks out at Area 51 were very surprised to see a...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Toka tunapata uhuru 1961 kipaumbele chetu kama taifa ni Kilimo. Kauli mbiu kubwa ilikuwa ni kilimo ni uti wa mgongo, hadi sasa japo ni lugha tu ya mdomoni hila hatuitendei haki kauli hii. Kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama wewe ni mmojawapo kati ya watu wanaopenda kwenda kwa waganga kwa ajili ya kutafuta dawa za kuwawezesha kuwaona viumbe wenzetu wachawi wakiwa kwenye harakati zao za kila siku hii...
1 Reactions
32 Replies
14K Views
Maana nilizozitumia Ufahamu - Consciousness Akili - Mind Ninaposema Akili sina maana ya uwezo wa kufikiri au Intelligence. Ninamaanisha uwezo wa kutambua, kuweka kumbukumbu, kutafakari na ufahamu...
12 Reactions
15 Replies
13K Views
Mkutano umeanza leo na waendelea mjini Munich. Kuna mikutano maalum wa masuala ua usalama unaoanza kufanyika mjini Munich nchini Ujerumani ambapo viongozi wapatao 35 kutoka nchi mbalimbali...
2 Reactions
98 Replies
6K Views
Huu ni muendelezo wa Taratibu na Sheria za akili na ufahamu. Akili ya mwanadamu ni sehemu ambayo watafiti wengi wamekuwa wakihamasika kuielewa. Akili ni sehemu pana sana kwa mwanadamu. Ni...
16 Reactions
39 Replies
19K Views
Back
Top Bottom